OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Sijacheki game siku nyingi sana kwani Chelsea tuko nafasi ya ngapi na nini kinaendelea? Hivi hata europa tutacheza kweli duh?!
Nyie ndo wale mnaamin ukiwa mzee ndo unajua kila kitu kumbe wajinga nao huzeeka kizuri huigwa hatakama ni cha janaSasa timu inayofanya vizuri baada ya miaka 20 ndio unataka tuiige ? Kwa akili yako kabisa unaamini kwamba Potter kuna wachezaji aliwahitaji wazuri kuliko hawa alio letewa? Kwamba Potter ana football philosophy yake?
Mudryk alitolewa sababu ya majeraha
Mykhailo Mudryk was subbed off at half time due to an injury picked up by twerking uncontrollably for Arsenal during the transfer window 
Ni time ya kochaHii timu walioinunua watajuta
Waliohamia watajuta pia
Ni time ya kocha kuunganisha kikosi, kazi ikimshinda lazima watamtimuaHii timu walioinunua watajuta
Waliohamia watajuta pia
Aliyenunua Chelsea na kufanya usajili anaumia moyoni.Duh msimamo unaonesha bado tupo sehemu siyo salama. Liva akishinda leo tunashuka, Aston villa akishinda leo tunashuka. Huyu takataka Potter anatupeleka wapi?

Wachezaji tulionunua baada ya kuwa na supporting technical staff (January) wako poa tatizo ni masalia ya utawala wa Lampard na TT walionunuliwa bila sport director's japo mzizi mkuu ni kocha asiyekuwa na game plan na mid table tacticsAliyenunua Chelsea na kufanya usajili anaumia moyoni.
Potter sio kocha
Wachezaji wengi tumejipiga risasi mguuni. Wengi wataflop
Sajili zote za sasa hiv zinaonekana ziko vizuri shida iko kwa Potter na vile vitoto viwili(mount n havertz)Aliyenunua Chelsea na kufanya usajili anaumia moyoni.
Potter sio kocha
Wachezaji wengi tumejipiga risasi mguuni. Wengi wataflop
Not soon, mashabiki na wafuatiliaji wazuri wa mpira wote wamestuka kocha hakuna pale. Japo kutengeneza timu sio overnight process lakini ukiangalia huoni kitu anachoboresha kwenye uchezaji wa timu. Naimani hata kina Toddy na wenzake wameshaanza kufikiria kupata kocha wa kaliba ya Chelsea Timu hata ipate kona 100 hakuna madhara sijui mazoezini wanapractise nini kuhusiana na set piecesKinachonichosha kwa Potter ni kukumbatia wachezaj ambao wanacheza vibaya
Havertz n Mount week in week out wanacheza vibaya ila cha ajabu bado wataendelea kuanza.
1.. bKwa nini wengine wakicheza vibaya anawaweka bench ila hao wawili utasema wanapicha zake za magendo
Kwa dakik 15 alizocheza Datro Fofana kafanya+ mengi kuliko dakika 90 alizocheza havertz.
Potter soon watu wataanza kutokuwa na imani nae kama ataendelea hivi hiv kuwa clueless na kukumbatia zile takatak 2
Aiseee kumbe tuna tatizo kubwa. Binafsi siangalii game zetu maana hazielewekiWachezaji tulionunua baada ya kuwa na supporting technical staff (January) wako poa tatizo ni masalia ya utawala wa Lampard na TT walionunuliwa bila sport director's japo mzizi mkuu ni kocha asiyekuwa na game plan na mid table tactics
Makubwa mkuu na wewe umeliona sasa hivi. Ulikua unantetea sana. Wakati nawaeleza kwamba huyu jama hawezi ku handle ChalseaPotter yuko clueless
Hivi kipi kinamchofanya mount aendelee kuwepo na kumtoa Mudryk?
Tunao wachezaji wengi sio kama ninyi ndorobo wa kuunga ungaChelsea kwa kupanga vikosi tu hawajambo. Hapo kila wiki tutegemee kikosi kipya.