Jinga jinga wewe, unadhani mpira unatengenezwa na kutathminiwa kwa mechi 1 tu? Jinga KUU la majinga toka Mwa-CityHii timu ukiangalia sajili zao unaweza kutishika mpaka ukatamani uwape epl mapema ,ila Sasa uwanjani wanakata viuno kama yondo sisita


Meza maji ya bariiiidi na ndimu ushushie maumivu we ArsepimbiLeo nikasema nimuangalie Mudryk labda nitaendelea kujilaumu kwa nini tulimuacha aende Chelsea.. dooh!
Kumbe ni mzururaji mzuri tu.
Ngoja nisimalize maneno, huenda 2nd half akani prove wrong.

Ht.0-0
Niliyoyaona
Tunatumia sana upande wa Ziyech+James na kuutelekeza upande wa mudryk
Kai awe serious yani unaweza sema kichwa chake ndio huwa kinanguvu kuliko miguu.
Enzo anaonesha kitu ambacho mid yetu ilikuwa inakosa.
Acha makasiriko, pokea ukweli. Kwa ule uzururaji😂😂 ngoja tuone yataishia wapi.Meza maji ya bariiiidi na ndimu ushushie maumivu we Arsepimbi![]()
Na wale wanaomtetea kisa goli la uefa nawashangaa
Cuculella kajitahidi sana leo hii, japo bado pasi za mwisho kule mbele hatujawa vizuri kabisa nao akina Havertz wanapata golden chences tena wanaremba remba kama akina Sawanogo tu wa MakolokoloKuna improvement kwemye defence ,ndio kilichonivutia zaidi , uwepo wa kisiki Silva ,James na utulivu na umakini wa badiashile umesaidia sana kuondoa mapungufu ya machepele cuculella.

Timu inawachezaji ila Haina tactics,kiufupi mnachexa cheza tu bila mbinuJinga jinga wewe, unadhani mpira unatengenezwa na kutathminiwa kwa mechi 1 tu? Jinga KUU la majinga toka Mwa-City![]()


so mpaka individual brilliance ije iwaokoe ....Idiot kabisa yule , apigwe bench Datro Fofana achezeHuyo dogo watu wana mtetea sana ila hamna kitu kabisa, Havertz ni takataka sana.
Huna akili we Arsepimbi, unamtathmini mchezaji kwenye mechi 1 tu hata hajacheza zaidi ya mechi 5 au 6?Acha makasiriko, pokea ukweli. Kwa ule uzururajingoja tuone yataishia wapi.

Kakosa mbili, tusimhukumu anajitahidi sana. Pasi ya Mount beki aligusa ikamburugia targetHavertz kmamae zake limekosa nafasi tatu za wazi ,na Ziyech moja ya wazi ,kuna uzembe pale mbele , tunahitaji clinical finishing mentality Kwa hao watu wa hapo mbele aisee tunahitaji mtu ruthless mbele ya nyavu ,havertz anazingua sana
Kakosa mbili, tusimhukumu anajitahidi sana. Pasi ya Mount beki aligusa ikamburugia target
Ile ya yeye kipa alikosea kido mahesabu ikagonga mwamba. Nakibali anatakiwa kuwa clinical zaidi. Tungekuwa 2 mbele kwa HT