Katangazwa man of the matchKenny Tete... mtu na nusu
Ndio yule jamaa aliyeokoa ule mpira wa Fofana uliokuwa unaingia golini nini ?Katangazwa man of the match
Naungana na wanaosema huyu kocha hataendana na hawa wachezaji, pamoja na Havertz kukosa yale magoli lakini unaona wazi kabisa approach ya game haiendani kabisa na quality ya wachezaji. We need a very demanding manager with a clear winning phylosophyBado tupo njia panda kwenye Mifumo, Mbinu na Style za uchezaji.
Potter bado ana kazi ya kufanya
Back passes za Jorginho za kijinga. kwenye mpira back passes ni sehemu ya game startegic play. hakuna humu mtu anayekataa. Za jorginho zilizidi mno na anazipiga hata bila kuangalia. Kuna moja huko nyuma hadi kamfunga Kepa kwa sababu alipiga bila kuangalia kumbe Kepa alikaa pembeni mwa goliZile back pass za Enzo angekua anapiga jorginho hapo!, mngeongea kishenz
Boss miluzi alichofanya ni kuangalia talent inayovuma Iko wap, toa hela leta.Naungana na wanaosema huyu kocha hataendana na hawa wachezaji, pamoja na Havertz kukosa yale magoli lakini unaona wazi kabisa approach ya game haiendani kabisa na quality ya wachezaji. We need a very demanding manager with a clear winning phylosophy
Kipindi cha pili mwishoni tulijitahidi kuwa quick with ball , hivyo ndicho tunachotakiwa kufanya ,hii ya kupiga back passes na kuwa slow ni tatizo kwani una mpa nafasi adui kujilindaIli kupata ushindi kwenye hii ligi ya Epl kwa sasa inabidi uwe na timu inayocheza mpira wa Fasta ,pasi fupi na ndefu kwa haraka na umakini kwenye kumalizia ,timu zote zinazofanya vizuri pale Epl zinacheza hivyo ,sisi bado tuko slow kwenye build up ya mashambulizi na hatuko clinical sasa hilo bado ni tatizo
Mountain na Havertz ni Wapumbavu sawa na akina Sawanogo na Baleke wa Makolokolo, ila nimependa performance nzuri za Gallagher na Cucu leo wamepambana hatariUnaona kabisa wachezaj wapya nikama wako one step ahead ya waliokuwepo
Kipi kinachomfanya Potter aendelee kuwangangania mount na havertz siku zote.
Kwani hawa wachezaji ni wa Potter, ebu tupe ushahidi, Potter alishakiri mwenye hausiki na usajili, yeye anasubiri halafu afanye nao kaziBoss miluzi alichofanya ni kuangalia talent inayovuma Iko wap, toa hela leta.
Mnaweza mkamtimua kocha akaja mwengine, naye akademand wachezaji wake.
Mnafanya project bila kumshirikisha kocha, Mpo serious kweli?
Labda bado anaendelea kuwaamini akina Havertz huenda watabadilika lakini si kwa ujinga ule wa kupata golden chance kisha unabutua kama Chama MakolokoloNaungana na wanaosema huyu kocha hataendana na hawa wachezaji, pamoja na Havertz kukosa yale magoli lakini unaona wazi kabisa approach ya game haiendani kabisa na quality ya wachezaji. We need a very demanding manager with a clear winning phylosophy

.Sasa nyie timu yenu karibu yote wageni, hadi ije kuclick leo?