Kweli kabisa, yani Auba kama angekuwa ni mwingireza hata acheze vibaya bado angepangwa na wala asingeondolewa kwenye kikosi cha UEFA.
Huwa nasema hiv Mount ndio star wa team ambae hapaswi kuwekwa bench.
Hajaanza kucheza vibaya leo, bali imekuwa kila gameweek.
Game ya mwisho ambaho hakucheza ilikuwa dhid ya city (league) na tulikuwa vizuri,
Ukiniambia mpk sasa kipi kinachomfanya Potter asimtumie Datro Fofana, sielewi maana mchezaj kila anapoingia anaonyesha kitu,
Jana kwa dakika 15 alizocheza kawapa tough game wale wakina Ream na Tete,
Ni tofauti na havertz miguu imekaa kama mlenda,
Oscar alikuwa soft ila hakuwa kama hivi Havertz.
Utaona wiki ijayo Mount na Havertz bado wanaanza