Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vipi ENZO hakucheza??Murdyk hakucheza??Mpira wa kuuongolea JF sijui press,sijui speed unauweza sana,lakini uwanjani mataputapu tu
Ongeza sauti, sikusikii naona unapayuka payuka tu, hata mada uliyo quote haiendani kabisa na unachokiongea
 
Kinachonichosha kwa Potter ni kukumbatia wachezaj ambao wanacheza vibaya
Havertz n Mount week in week out wanacheza vibaya ila cha ajabu bado wataendelea kuanza.

1.. bKwa nini wengine wakicheza vibaya anawaweka bench ila hao wawili utasema wanapicha zake za magendo

Kwa dakik 15 alizocheza Datro Fofana kafanya+ mengi kuliko dakika 90 alizocheza havertz.

Potter soon watu wataanza kutokuwa na imani nae kama ataendelea hivi hiv kuwa clueless na kukumbatia zile takatak 2
Hata Auba angekuwa mwingereza angecheza kila siku na UEFA asingeondolewa
 
Invyoelekea Mudryk aliondolewa jana kwa sababu tu ya match fitness, kulingana na kauli ya kocha huko nyuma anatakiwa kucheza dakika chache hadi fitness yake irudi kwa sababu hakucheza tangu Nov 2022.
Nimesema haya kwa sababu hakuna taarifa zozote za majeruhi ya Mudryk
Kuna conference ya Potter nimesikia sasahivi alikuwa na Cold, mafua kwa huku kwetu
 
Invyoelekea Mudryk aliondolewa jana kwa sababu tu ya match fitness, kulingana na kauli ya kocha huko nyuma anatakiwa kucheza dakika chache hadi fitness yake irudi kwa sababu hakucheza tangu Nov 2022.
Nimesema haya kwa sababu hakuna taarifa zozote za majeruhi ya Mudryk
Kwahiyo ile mechi na Liverpool, fitness ilikuwepo.. jana ndo ikapotea😂
 
Hata Auba angekuwa mwingereza angecheza kila siku na UEFA asingeondolewa
Kweli kabisa, yani Auba kama angekuwa ni mwingireza hata acheze vibaya bado angepangwa na wala asingeondolewa kwenye kikosi cha UEFA.

Huwa nasema hiv Mount ndio star wa team ambae hapaswi kuwekwa bench.
Hajaanza kucheza vibaya leo, bali imekuwa kila gameweek.

Game ya mwisho ambaho hakucheza ilikuwa dhid ya city (league) na tulikuwa vizuri,

Ukiniambia mpk sasa kipi kinachomfanya Potter asimtumie Datro Fofana, sielewi maana mchezaj kila anapoingia anaonyesha kitu,
Jana kwa dakika 15 alizocheza kawapa tough game wale wakina Ream na Tete,
Ni tofauti na havertz miguu imekaa kama mlenda,
Oscar alikuwa soft ila hakuwa kama hivi Havertz.

Utaona wiki ijayo Mount na Havertz bado wanaanza
 
Invyoelekea Mudryk aliondolewa jana kwa sababu tu ya match fitness, kulingana na kauli ya kocha huko nyuma anatakiwa kucheza dakika chache hadi fitness yake irudi kwa sababu hakucheza tangu Nov 2022.
Nimesema haya kwa sababu hakuna taarifa zozote za majeruhi ya Mudryk

Jana mini niliona kwamba Mount alibana nafasi ya Mudryk hivyo kumuachia nafasi ndogo ya Mud kujiachia, pasi zote za Mud alikuwa anachukua Mount ndio maana ule upande wa Mud hatukuwa hatari kivile.
 
Kweli kabisa, yani Auba kama angekuwa ni mwingireza hata acheze vibaya bado angepangwa na wala asingeondolewa kwenye kikosi cha UEFA.

Huwa nasema hiv Mount ndio star wa team ambae hapaswi kuwekwa bench.
Hajaanza kucheza vibaya leo, bali imekuwa kila gameweek.

Game ya mwisho ambaho hakucheza ilikuwa dhid ya city (league) na tulikuwa vizuri,

Ukiniambia mpk sasa kipi kinachomfanya Potter asimtumie Datro Fofana, sielewi maana mchezaj kila anapoingia anaonyesha kitu,
Jana kwa dakika 15 alizocheza kawapa tough game wale wakina Ream na Tete,
Ni tofauti na havertz miguu imekaa kama mlenda,
Oscar alikuwa soft ila hakuwa kama hivi Havertz.

Utaona wiki ijayo Mount na Havertz bado wanaanza
Kwenye Youtube mashabiki wanawalalamikia wachezaji wanne hivi
  1. Ziyech
  2. Gallagher
  3. Cucurella na
  4. Havertz
Wanasema hao wachezaji hawakutakiwa kuanza kabisa
 
Invyoelekea Mudryk aliondolewa jana kwa sababu tu ya match fitness, kulingana na kauli ya kocha huko nyuma anatakiwa kucheza dakika chache hadi fitness yake irudi kwa sababu hakucheza tangu Nov 2022.
Nimesema haya kwa sababu hakuna taarifa zozote za majeruhi ya Mudryk
Kuna conference ya Potter nimesikia sasahivi alikuwa na Cold, mafua kwa huku kwetu
Potter: “Mudryk had a cold”

Kingine uwepo wa mount mda wote kwny zone yake,+ mipira kutokwenda upande wake sana
 
Jana mini niliona kwamba Mount alibana nafasi ya Mudryk hivyo kumuachia nafasi ndogo ya Mud kujiachia, pasi zote za Mud alikuwa anachukua Mount ndio maana ule upande wa Mud hatukuwa hatari kivile.
spot on
 
Maoni yangu kuhusu mechi ya Jana.

Nimeona wengi wakilalamika kuhusu viwango vya mount, kai havert na Gallagher na wengine Ziyech, unapokuwa mchambuzi na mzoefu wa kuangalia mechi ni vizuri ukaangalia tatizo la msingi kwanza kabla ujaenda kwenye matokeo nilichoona Jana chelsea ilikosa identity ya uchezaji au kwa jina lingine tunasema pattern style of playing ikafanya chelsea itumie uwezo binafsi ya wachezaji kunapokosekana Muundo sahihi wa uchezaji utafanya hata baadhi ya wachezaji wasionekane hatari mfano mzuri ni Mudryk ule upande wake haukutumika kabisa mipira ilikuwa haifikii.

Tukija kwa hawa wachezaji wanaolalamikiwa kufanya vibaya tuanze Kai huyu jamaa ni bonge la mchezaji ila anachezeshwa sehemu isiyo sahihi hadi leo Kai namtazama kama mchezaji anayeweza kucheza kwenye no 10 ila sio striker sijui kwanini kocha halioni Hili? Mount katengeneza nafasi mbili za wazi Jana lakini watu wanamponda japo hatukuwa na Muundo mzuri wa uchezaji, Gallagher kajituma Sana lakini kuna sehemu anatakiwa awe improved na kocha hasa kwenye kwenye Technical ability, Ziyech japo kaathirika na Muundo mzima wa uchezaji wa jana lakini aliweza kutoa chance nzuri Sana kwa kai lakini haikutumiwa vizuri

NB: Tuna wachezaji wazuri Sana tumewasajili na wote wameonesha Wana kitu chakuoffer kwenye team hivi pata picha Enzo acheze na Kante au Kovacic pale Kati?
Binafsi naona solution ni kumfukuza kocha kabisa hakuna njia nyingine tofauti, Moja ya sababu kuu naona Potter hatufahi chelsea imekaa wiki mbili bila kucheza game yoyote Jana ndio wakaja kucheza unajiuliza hizo wiki mbili mbona ni nyingi walikuwa wanafanya nini? Kiasi ambacho unaona kabisa imecheza kama vile walikosa msimamizi mazoezini.

juan david
lembu
Covax
Cash Money Forever
johsee
 
Kwenye Youtube mashabiki wanawalalamikia wachezaji wanne hivi
  1. Ziyech
  2. Gallagher
  3. Cucurella na
  4. Havertz
Wanasema hao wachezaji hawakutakiwa kuanza kabisa
Mashabiki wa kingereza watawataja wote ila hawawez mtaja Mount utafkiri mount ndio face ya club, atleast now kule twitter sahiv washaanza mlalamikia moumt na wanampiga spana vizuri tu na kumlalamikia potter why anaendelea kumpanga mtu ambae performance yake ni mbov hiv sasa
 
Tunao wachezaji wengi sio kama ninyi ndorobo wa kuunga unga
Bado wa majeruhi wote hawajaja
20230108_224941.jpg
 
Chuck Norris mitano tena

Anahitaji muda

Tumpe sapoti

Dirisha lijalo tusajili hawa

1. RCB
2. GK
3. LW
4. DM

Hakika tutanyanyua EPL na UEFA
JamiiForums795278747.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom