Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Aston Villa akishinda anatupita sis tukuwa kwenye 11
 
Kwani hawa wachezaji ni wa Potter, ebu tupe ushahidi, Potter alishakiri mwenye hausiki na usajili, yeye anasubiri halafu afanye nao kazi
Ndo tatizo Hilo, we huoni hata Arsenal, Edu hawezi kufanya usajili bila Arteta kupitisha.
Labda kama Kuna kocha mwengine mnafikiria kichwani
 
Ndo tatizo Hilo, we huoni hata Arsenal, Edu hawezi kufanya usajili bila Arteta kupitisha.
Labda kama Kuna kocha mwengine mnafikiria kichwani
Kwa Chelsea ni tofauti, kila timu ina utaratibu wake
Ila pia si lazima kocha awe na wachezaji wake ndipo ashinde
Conte 2017 alikuta wachezaji wengi ni wa Mou na akabeba nao EPL
 
Ndo tatizo Hilo, we huoni hata Arsenal, Edu hawezi kufanya usajili bila Arteta kupitisha.
Labda kama Kuna kocha mwengine mnafikiria kichwani
Sasa timu inayofanya vizuri baada ya miaka 20 ndio unataka tuiige ? Kwa akili yako kabisa unaamini kwamba Potter kuna wachezaji aliwahitaji wazuri kuliko hawa alio letewa? Kwamba Potter ana football philosophy yake?
 
Sasa timu inayofanya vizuri baada ya miaka 20 ndio unataka tuiige ? Kwa akili yako kabisa unaamini kwamba Potter kuna wachezaji aliwahitaji wazuri kuliko hawa alio letewa? Kwamba Potter ana football philosophy yake?
Kwani Brighton ilikuwa inacheza bila philosophy?
Hata Newcastle ili wakusajili wanaangalia kwanza phisicality Yako, ndo falsafa yao
 
mechi na westham tutegemee hivi

4-2-3-1

-------------------- Fofana ----------------------

Mudyrk --------------Felix ----------------Madueke

----------Enzo -----------------Gallagher----------

Chilwell ----- Badiashile ------ Silva ---------James

--------------------- Kepa ----------------------
 
Kwani Brighton ilikuwa inacheza bila philosophy?
Hata Newcastle ili wakusajili wanaangalia kwanza phisicality Yako, ndo falsafa yao
Embu nieleze falsafa na game plan ya Potter ni ipi? Kama sio muhamasishaji tu.kwanza wewe ni shabiki andazi maana kila kinachohusiana na Chelsea uko against.
 
mechi na westham tutegemee hivi

4-2-3-1

-------------------- Fofana ----------------------

Mudyrk --------------Felix ----------------Madueke

----------Enzo -----------------Gallagher----------

Chilwell ----- Badiashile ------ Silva ---------James

--------------------- Kepa ----------------------
Chelsea kwa kupanga vikosi tu hawajambo. Hapo kila wiki tutegemee kikosi kipya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom