juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Team ikishakaa stable hizo sajil unazozitaka ndio zitafanyika, na hiyo nikama kuanzia summer ya 2024 hapo ndio kazi yq scouting itakuwa inaonekana matumizi yq kusajil yatakuwa sio makubwa sanaTatizo chelsea hawanaga Plan B, ndio mana mchezaji tunapgwa hela ndefu. Enzo hana thamani hiyo. Ni vile hatuna plan B.
