Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ukitaka kujua kwamba tuna shida sana ya viungo, Gallagher sio natural CM. CM pekee pale ni Enzo. Kwenye sub hakuna CM. akiumia Enzo tunategemea aingia Carne Chunwuemeka ambaye sio CM. Aisee akina Kova na Kante warudi haraka. Kiangazi pia tutahitaji sana kuongeza CM
1675452211754.png
 
Ukitaka kujua kwamba tuna shida sana ya viungo, Gallagher sio natural CM. CM pekee pale ni Enzo. Kwenye sub hakuna CM. akiumia Enzo tunategemea aingia Carne Chunwuemeka ambaye sio CM. Aisee akina Kova na Kante warudi haraka. Kiangazi pia tutahitaji sana kuongeza CM
View attachment 2505280
Kiangazi lazima tusajil kiungo mwingine
 
Kuna watu wengi wanampigia chapuo Silva aajiriwe baada ya kutundika madaluga yake ya mpira ili abakie hapa hapa Chelsea kama mmojawapo wa technical staff.
Naunga mkono mada
Nini maoni yako
Inategemeana na maamuzi ya Tajiri, mfano enzi za Tajiri Abrahamovich, Didie Drogber naye alipigiwaga chapuo ili awe Mjumbe kwenye bodi ya Chelsea FC lakini halikutiki
 
Inategemeana na maamuzi ya Tajiri, mfano enzi za Tajiri Abrahamovich, Didie Drogber naye alipigiwaga chapuo ili awe Mjumbe kwenye bodi ya Chelsea FC lakini halikutiki
Ila kuna tofauti kubwa kati ya Drogba na Silva kwa maoni yangu. Silva ni kiongozi, ana influence na yuko very technical. Hizi sifa ni nje ya uwanja. Hizo attributes sioni kwa Drogba zaidi ya kuipenda Chelsea na kufanya vizuri uwanjani
 
Ila kuna tofauti kubwa kati ya Drogba na Silva kwa maoni yangu. Silva ni kiongozi, ana influence na yuko very technical. Hizi sifa ni nje ya uwanja. Hizo attributes sioni kwa Drogba zaidi ya kuipenda Chelsea na kufanya vizuri uwanjani
Silva wafanye juu chini wamebakisha kwenye benchi la ufundi siku akistaafu , Terry yupo Cobham ,hao ni malegend tayari napenda kuona vichwa kama hivi vinabaki pale Chelsea kuendeleza gurudumu .
Yule Silva ana kipaji cha uongozi pia anaweza kuwa kama trainer hasa kwa vijana wadogo wanaochipukia
 
Havertz kmamae zake limekosa nafasi tatu za wazi ,na Ziyech moja ya wazi ,kuna uzembe pale mbele , tunahitaji clinical finishing mentality Kwa hao watu wa hapo mbele aisee tunahitaji mtu ruthless mbele ya nyavu ,havertz anazingua sana
 
Falsafa na pace sio nzuri
Tunacheza ordinary football ambayo itahitaji tu brillience ya mchezaji kushinda.
Najua wageni ni wengi na watahitaji kujenga chemistry.
MOU angekuwa na wachezaji kama hawa taste ya mchezo ingekuwa tofauti
 
Ht.0-0

Niliyoyaona
Tunatumia sana upande wa Ziyech+James na kuutelekeza upande wa mudryk

Kai awe serious yani unaweza sema kichwa chake ndio huwa kinanguvu kuliko miguu.

Enzo anaonesha kitu ambacho mid yetu ilikuwa inakosa.

Badiashile + Silva

Ziyech akili kama iko Paris aingine madueke ambae ni mzuri kwenye 1v1
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom