Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Drogba anasema
"Walipotuita Underdogs, tulicheza kama Mabingwa"
FoB8qrQWYAAZ8a8
 
Chelsea inahitaji kiungo mmoja tu fundi mkabaji Striker tunae Nkuku na Fofana na huyo kiungo ni wa kusaidiana tu na Santos
Sorry ndg. Nkunku sio striker, yeye ni foward, anacheza cheza kama winga hasa wa kulia na au CAM
Yeye ni kama Havertz, akicheza nafasi ya striker ni false no. 9

Tunahitaji natural striker kama alivyo Haaland
Mtu clinical kwenye kutumbukiza mpira wavuni
 
Sorry ndg. Nkunku sio striker, yeye ni foward, anacheza cheza kama winga hasa wa kulia na au CAM
Yeye ni kama Havertz, akicheza nafasi ya striker ni false no. 9

Tunahitaji natural striker kama alivyo Haaland
Mtu clinical kwenye kutumbukiza mpira wavuni
Ila sasa unampata wap? Lukaku kazingua na sokoni hamna striker wa maana huyoa Auba mayai nae kashachemka ni bora tutengeneze tu team na hao false striker mfano Pep alitengeneza team bila natural striker na ikaheat ikiwa team inacheza vyema hata mtu wa kawaida atafunga tu... tuwape nafas hawa wa academy naamini tutampata mmoja wa kuaminika haswa ukizingatia league ya England ni ngumu kwa mastriker wagen imagine amekuja Falcao kafeli, Higuain, Shevchenko hata wale walioingia team zingine mfano Firmino sasa kulingana na team tuliyo nayo tujiulize iv Salah na Mane ni namba 9? Man city baada ya kuondoka Aguero ilibid wasubir hhad Haaland aje maana Jesus alishindwa kudeliver lazima tupate creative coacher ambae ataweza kuwa mbunifu kumbuka tulibea CL bila hao natural striker labda Giroud pekee
 
Hizi ni tetesi tu
Kwa dokezo la Potter, kuna kila dalili kuwa watakaoongezwa UEFA ni Enzo, Mudryk na Badiashile
Alikuwa akiulizwa juu ya ameshafanya maamuzi hiyo jana yeye alisema tutahitaji washambuliaji wawili na beki mmoja
 
Kwenye kureport yupo vizuri Sana yaani anafaa kwenye uking wa ujournalism nakuunga mkono ila sio kwa uchambuzi
Naheshimu mawazo yako Kaka, ila Mr Lembu huwa yuko vizuri sana maana hujua kumuelezea mchezaji wasifu wake katika nafasi ya uchezaji, kupanga kikosi kinachoweza kuleta matokeo chanya, kuwa na kumbukumbu za rekodi za Wachezaji wa nyuma, pia hata namna ya ufatiliaji wa taarifa za mabadiliko ya klabu mara kwa mara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom