Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hivi mnamkumbuka yule shabiki wenzetu hapa anaitwaga Enzo, wanapishanaga kauli na lembu.

Aisee yuko wapi ajitokeze kupongeza chama limemsajili wa jina Enzo.
Huyo Jamaa kweli ameadimika sana sasa hivi, huwa namchukulia kawaida pamoja na kupishana na Mr Lembu maana hakuna Binadamu atayeridhisha kila Mtu bila kukosa upinzani.
 
Drogba anasema
"Walipotuita Underdogs, tulicheza kama Mabingwa"
FoB8qrQWYAAZ8a8
Mwamba alijua kutuheshimisha
 
Kuna watu wengi wanampigia chapuo Silva aajiriwe baada ya kutundika madaluga yake ya mpira ili abakie hapa hapa Chelsea kama mmojawapo wa technical staff.
Naunga mkono mada
Nini maoni yako
anafaa jamaa ana fighting spirit na badge utasema ndo kacheza kitambo af pia anawaivisha madogo apendi tufungwe kizembe qn ye pamoja na mke wake ukiwakata ni bluu tupu
 
Chelsea website imetoa hayo majina
  1. Joao Felix,
  2. Enzo Fernandez and
  3. Mykhailo Mudryk.
Bahati mbaya sana kwa Auba, amekuwa mzigo hata jitihada za kuichezea Chelsea haonyeshi. No fighting spirit in him. Atasuburi tu kiangazi aondoke

Summer tuchel alikosea sana, kutulutea sajili za short term

Inaonekana Auba hayupo kwenye plan za Potter
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom