Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Vipi kuhusu kibali Cha Enzo?
Sijaona sehemu ila watakuwa wameclear kwa sababu kama bado maan yake hatacheza UEFA
UEFA deadline ilikuwa leo saa nane usiku ya tareh 2 Feb 2023 na imeshapita. So naamin i hadi jana watakuwa wamesha clear. Work permit kwa wachezaji waliokwisha jenga majina na wanachezea timu za jumuiya ya Ulaya inakuwa easy tofauti na Santos ambaye hana jina na anatokea bara lingine
 
1675393159785.png
 
Hawa wachezaji wanaweza wakauzwa dirisha la kiangazi
  1. Hakim Ziyech,
  2. Christian Pulisic,
  3. Ruben Loftus-Cheek,
  4. Conor Gallagher * (anayo nafasi ya kuonyesha kuwa anastahili kuichezea Chelsea kuanzia sasa hivi hadi May 2023
  5. Callum Hudson-Odoi,
  6. Pierre-Emerick Aubameyang,
  7. Kalidou Koulibaly
  8. Edouard Mendy
 
Work Permit ya Andrey Santos
Kibali cha kufanya kazi nchini Uingereza kwa Andrey Santos ilikataliwa mara ya kwanza
Sasa Chelsea wameanza tena kuomba kibali kwa mara ya pili huku wakidhani kuwa performance nzuri ya Santos kwenye micuano ya U20 bara la Amerika ya Ksuini itawapa point nyingi ya Santos kukubaliwa kufanya kazi nchini Uingereza
Ili kibali kitolewe ni lazima baadhi ya maafisa muhimu wa serikali ya Uingereza waipe baraka kibali hicho. Mara ya mwisho kibali kilishindwa kupita kwa point moja tu

Sasa baada ya Santos kufunga goli nne kwenye mechi nne alizoechezea Brazil, Chelsea wanaamini hiyo inaweza kuwashawishi maafisa waliokataa ku-endorse kibali hicho safari hii watalainika

1675402280569.png
 
Nilichogundua wamiliki wa Chelsea ni wale Wamarekani OG wanaopenda misifa na masifa yao itakuwa na faida kwenye timu
We angalia usajili wa Mudryk na wa Enzo
Ni wale Wamarekani wa "TAKE NO TO AN ANSWER"
GP andai usajili wa ghali hautafanyika tena, na madirisha yajayo itakuwa tofauti na hii
Mimi nasema yeye hamjui Todd Boehly na Behdad Eghbali
Kuna uwezekano striker wa ghali sana akasajiliwa dirisha la kiangazi
Sioni akina Boehly wakikaa kuwategemea akian Auba na Havertz watucheleweshe pale mbele
Hata kama Datro Fofana akifanya vizuri bado tutaona Mshabuliaji mkubwa wa ghali akisajiliwa msimu ujao
  1. Kylian Mbape (24yo) hana furaha pale PSG
  2. Dusan Vlahovic (22yo) kutoka Juventus pia naye hana furaha pale
  3. Ivan Tonney (26yo) kutoka Brentford, majirani zetu
 
Kwenye hii picha, mcheki EGHBALI anavyoangalia kimafia.

Dirisha kubwa litapita panga kubwa sana.

Kweli Chelsea tumepatikana kwa matajiri wapenda soka, wapenda mafaniko, wapo tayari kutenga muda wao kuifuatilia timu mazoezini na uwanjani.

Zaidi wapo tayari kufanya uwekezaji mkubwa zaidi katika historia ya THE BLUES.
Kuna Pundit mmoja juzu alisema hiyo paundi 600m ingeweza kuinunua West Ham United nikacheka sana
Mashabiki wengine wakasema kama Rui Costa anamgomea Enzo kuhama kwa nini hao matajiri wasingeinunua Benefica, tutakuwa tumempata na enzo humohumo
 
Changamoto iliyoko ni kati ya Badiashile na Felix lazima mmoja aachwe
Sasa Felix anahitajika zaidi ya Badiashile
Halafu tukumbuke pia kuwepo kwa fowards wazuri mbele itasababisha namna tunavyoshambuliwa ibadilike pia. Sasa hivi hatutakuwa tunashambuliwa kiholela tu kama zamani. Utashangaa hata akina Koulibally wakaanza kucheza vizuri kwa sababu watacheza kule nyuma kwa utulivu huku kule mbele akina Mudryk wakiwaweka bussy timu pizani
Hiyo nafasi ya Felix si anaweza punguzwa Pulisic. Sasa kwe backline inabidi kuprune jina la beki mmoja ili Badiashile aweze kufit
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom