Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wanadamu ni watu wa ajabu sana.

Ukicheza kwenye maji watasema unawatimulia vumbi.

Kuna comments HASI zinatolewa hapa mpaka unashangaa.

Kwamba wakati tunasonga mbele kufika nchi ya ahadi kubeba tena makombe,

Kuna wenzetu wanabaki nyuma nyuma wanatupiga mishale migongoni.
Ndiyo dunia hiyo Mzee Baba, tangu lini Binadamu tukawa na jema pasipo kukosoa kosoa bila ya kuwa na shukrani [emoji848][emoji2]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
am sure Hawa matajiri wenu na ujambazi itakuwa wamewahi kufanya

Day of the Mudryk hijack : Behdad Eghbali called Shakhtar CEO Sergei Palkin to say, "I'm here". Palkin replied, "What do you mean, here?" Eghbali had already checked into Shakhtar's team hotel after flying over by private jet. (@nytimes) #CFC
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kwa heshima ya Mashabiki wenzangu wote wa Chelsea FC hapa JF naomba Mr Lembu atambulike rasmi kwa jina MR CHELSEA tokana na uchambuzi wake mahiri wa soka kuhusu Chelsea Football Club.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kwenye kureport yupo vizuri Sana yaani anafaa kwenye uking wa ujournalism nakuunga mkono ila sio kwa uchambuzi
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila wewe jamaa Ni Chelsea kweli kweli ,usingizi ulikuwa hupati kabisa
Mimi nililala saa tisa hivi nikaamka saa 11 adhuhuri
Nilikuwa ofisini kwenye PC hadi saa sita usiku nikaenda nyumbani kwenye PC nilifungua browsers 2 tofauti na windows za reporters wote maarufu kuanzia kwa
1675355365894.png

Kisha browser ya pili kwenye twitter nikafungua windows inayolisha feeds za hashtag ya Chelsea, kila dk 2 au 3 narefresh, yaani hadi takataka za wale fake Fabrizio kila ikiingia presure juu
Yaani hadi uchafu wote wa akina Ghana Yesu nausoma bila chenga
1675355882099.png

Baadaye kwenye saa sab usk hivi nikagundua Fabrizio Romano alikuwa yuko live online kwenye channel yake ya Youtube nikaenda huko, ile nafungua to youtube namkuta ndio anasema kwa kuvuta "Enzo Fernandez to Chelsea HERE WE GO" Nikachanganyikiwa
 
Hakuna namna mkuu, attacking yetu inakitu inapwaya, felix n mudryk wameonesha hicho kitu kwa mda mchache waliocheza
Mkuu ile backline we unaiona ikiwa salama pamoja na Fofana mchezaji aliyeprove ni injury prone halafu unamuacha Badiashile ambaye keshaprove kuwa imara kwenye ile nafasi? Si bora huyo Fofana ndio abaki ligi kuu halafu Badiashile ndio asajiliwe UEFA.

Japokua hakuna mchezaji ambaye ni injury free ila mi nachukua Badiashile badala ya Fofana
 
Hahahaha jambazi mkuu ni huyo EGHBALI.

Huyo jamaa ni master wa madili yote.

Wanasema wakati anaanza ujasiriamali akiwa kijana mdogo, alifungua ofisi ikawa inajishughulisha tuu na kununua madili na kuyafanikisha.View attachment 2503807
Hahaaaaa ,hawatamsahau kaka jambazi -Eghbali , Barcelona dirisha lile lililopita walivunga mamafia kupora deals za wachezaji wa kusajili sasa wakae chonjo ,there is a new mafia don in town
 
Mkuu ile backline we unaiona ikiwa salama pamoja na Fofana mchezaji aliyeprove ni injury prone halafu unamuacha Badiashile ambaye keshaprove kuwa imara kwenye ile nafasi? Si bora huyo Fofana ndio abaki ligi kuu halafu Badiashile ndio asajiliwe UEFA.

Japokua hakuna mchezaji ambaye ni injury free ila mi nachukua Badiashile badala ya Fofana
Issue ya Badiashile na Felix UEFA nu pasua kichwa. Ngoja tu Kocha atumie busara yake kwa sababu lazima mmoja apungue. Ndio hasara ya kuwa na wachezaji wengi wazuri.
 
Huyo mshkaji hajuagi mpira ni mweupe kbs alikua akianza kumtetea joghino mpk unajiuliza mpira alioangalia ndio nilioangalia mimi kweli?!!
Wewe unawashwa sio bure. Naomba niletee hapa comment niliyowahi kumtetea Jorginho kama unavyosema. Katika wachezaji nimetoa comment chache na zisizokua na upande basi ni Jorginho. Kama ningekua namtetea Jorginho nisingeenda kumponda kwenye group la Arsenal.

Kuwa makini kama una shida na mimi nione mimi usiniseme kupitia watu wengine kenge wahed
 
Kwa heshima ya Mashabiki wenzangu wote wa Chelsea FC hapa JF naomba Mr Lembu atambulike rasmi kwa jina MR CHELSEA tokana na uchambuzi wake mahiri wa soka kuhusu Chelsea Football Club.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa sisi wote tuna ingia toka kama zote yeye hajawahi kukoma hili jukwaa. Yan mara zote namkuta jukwaani. Jamaa anastahili heshima kweli anajitahidi sana
 
Enzo ni binge la mchezaji kwanza ni kiraka ana uwezo wakucheza number 6, 8 na 10 kwa ubora, Pili ana uwezo binafsi wa kukaa na mpira bila kupokonywa, Tatu ni press resistance mzuri, Nne ni mzuri kwenye kupiga long passes za kubreak up back line ya wapinzani hii sifa viungo tulionao hawana, Ana kasi na Maamuzi ya haraka kupitia hii sifa atabadili hata uchezaji wa chelsea kea kiasi kikubwa Jorginho yeye alikuwa back pass nyingi hii kitu Enzo hana Sana alafu ana jicho la pass.
Pamoja na sifa ya kupiga mikwaju pia...Kwa midfielder wetu hawa regulars kina jorginho, kante (mara chache Sana), kovacic.... sio wapigaji Sana WA Mashuti kama enzi zile viungo WA shoka kina Raul meireles, essien n.k. matic naye alijaribu kiasi chake
 
Chelsea owners watch Graham Potter's side train after spending £323m in January
4 hours ago / autty
Chelsea co-owners Todd Boehly and Behdad Eghbali watched Graham Potter's side train on Thursday after spending £323m on eight new additions in January.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom