Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mount & Harvetz waamke usingizini wapambane kweli kweli kwa miezi 6 iliyobaki ya kumaliza msimu 2023.

BOEHLY na EGHBALI hawa matajiri wako serious kwenye kujenga timu ya ushindi, hawakawii kufanya maamuzi magumu juu yao endapo wataendeleza upuuzi uwanjani.

By the way Nkunku yuko njiani anakuja.
Chelsea kwa sasa tuna mfumo na wachezaji tofauti kabisa
Akina Havertz, Mount and co ni kama wamehamia timu nyingine
Tegemea uchezaji wa Havertz, Mount, Sterling na hao wenyeji wengine utabadilika.
Kwa ambao hawatabadilika Boehly sidhani kama atawabeba
 
Watatu waliosajiliwa dirisha hili ndio watakaongezwa
Ila kwa kubadilisha, UEFA wanataka kila timu iwe na squad ya wachezaji 25 tu
Kama timu ilikuwa na punguvu ya hiyo itakubaliwa kuwaongeza baada ya january window. Kama ilishajaza nafasi zote, itaruhusiwa kufanya mabadiliko
Squad ya sasa ni ya wachezaji 24 plus 3 wa list B (*)

Goalkeepers -3
  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Marcus Bettinelli
  3. Edouard Mendy
Defenders - 8
  1. Thiago Silva
  2. Trevoh Chalobah
  3. Ben Chilwell
  4. Reece James
  5. Kalidou Koulibaly
  6. César Azpilicueta
  7. Marc Cucurella
  8. Wesley Fofana
Midfielders 13
  1. Jorginho
  2. N'Golo Kanté
  3. Mateo Kovačić
  4. Christian Pulišić
  5. Ruben Loftus-Cheek
  6. Raheem Sterling
  7. Mason Mount
  8. Denis Zakaria
  9. Hakim Ziyech
  10. Conor Gallagher
  11. Carney Chukwuemeka
  12. Charlie Webster *
  13. Lewis Hall *
Strikers 3
  1. Pierre-Emerick Aubameyang
  2. Armando Broja *
  3. Kai Havertz
Chelsea wamekuwa wakiwatumia wachezaji 24 badala ya 25 ukiwaacha wale wa list B

Addiditional players = 3
  1. Enzo Fernandez
  2. Makhailo Mudryk
  3. Benoit Badiashile Au Felix
Ina maana
  1. Kwanza ondoa Jorgninho kahama
  2. Nafasi ya pili ilikuwa wazi
  3. Kwa hiyo Potter anatakiwa kuwaingiza let say Enzo na Mudryk moja kwa moja kwenye timu kuchukua nafasi ya Jorginho na nafasi nyingine iliyokuwa wazi
  4. Sasa kati ya Badiashile au Felix hapo itategemea priorities za kocha.
  5. Mimi ningemshauri kocha awaongeze hao wawili kumtoa Pulisic ambaye atakuwa nje kwa majeruhi kwa zaidi ya miezi miwili na awekwe Joao Felix, tumefunga mjadala
  6. Tukumbuke pia kuwa leo tarehe 2 February 2023 saa nane usiku za huku kwetu Chelsea wanatakiwa kuwajulisha UEFA hayo mabadiliko.
 
Mpira uwekwe uwanjani...mimi Nina Imani sana na wachezaji watatu tu miongoni mwa waliosajiliwa January ambao ni Enzo, Mudryk Mah na Badiashile ndo watafanya vizuri...
Karata zikichangwa vyema tunanafasi ya kuingia top 4 make utofauti wa points siyo nyingi.

Wachezaji awelezwe kabisa sababu ya wao kuwepo Chelsea...ile kazi ya mount ya kufuta nywele kila wakati aachane nayo...tabia ya Kai kujipigia tu mipira aachane nayo...
 
Ila kwa kubadilisha, UEFA wanataka kila timu iwe na squad ya wachezaji 25 tu
Kama timu ilikuwa na punguvu ya hiyo itakubaliwa kuwaongeza baada ya january window. Kama ilishajaza nafasi zote, itaruhusiwa kufanya mabadiliko
Squad ya sasa ni ya wachezaji 24 plus 3 wa list B (*)

Goalkeepers -3
  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Marcus Bettinelli
  3. Edouard Mendy
Defenders - 8
  1. Thiago Silva
  2. Trevoh Chalobah
  3. Ben Chilwell
  4. Reece James
  5. Kalidou Koulibaly
  6. César Azpilicueta
  7. Marc Cucurella
  8. Wesley Fofana
Midfielders 13
  1. Jorginho
  2. N'Golo Kanté
  3. Mateo Kovačić
  4. Christian Pulišić
  5. Ruben Loftus-Cheek
  6. Raheem Sterling
  7. Mason Mount
  8. Denis Zakaria
  9. Hakim Ziyech
  10. Conor Gallagher
  11. Carney Chukwuemeka
  12. Charlie Webster *
  13. Lewis Hall *
Strikers 3
  1. Pierre-Emerick Aubameyang
  2. Armando Broja *
  3. Kai Havertz
Chelsea wamekuwa wakiwatumia wachezaji 24 badala ya 25 ukiwaacha wale wa list B

Addiditional players = 3
  1. Enzo Fernandez
  2. Makhailo Mudryk
  3. Benoit Badiashile Au Felix
Ina maana
  1. Kwanza ondoa Jorgninho kahama
  2. Nafasi ya pili ilikuwa wazi
  3. Kwa hiyo Potter anatakiwa kuwaingiza let say Enzo na Mudryk moja kwa moja kwenye timu kuchukua nafasi ya Jorginho na nafasi nyingine iliyokuwa wazi
  4. Sasa kati ya Badiashile au Felix hapo itategemea priorities za kocha.
  5. Mimi ningemshauri kocha awaongeze hao wawili kumtoa Pulisic ambaye atakuwa nje kwa majeruhi kwa zaidi ya miezi miwili na awekwe Joao Felix, tumefunga mjadala
  6. Tukumbuke pia kuwa leo tarehe 2 February 2023 saa nane usiku za huku kwetu Chelsea wanatakiwa kuwajulisha UEFA hayo mabadiliko.
Hapo Potter achague tu Enzo,Mudryk na Felix

Hatuna kiungo zaidi ya Enzo, Kante mpaka mwez wa 3 mwanzoni.

Kwa kuwa Fofana karudi, Badiashile ningemfanya awe kwenye league huku Silva na Fofana wakirotate katika league
 
Ila wadau pamoja na sajili kubwa na nzuri tulizozifanya, nadhani pia TODDY na EGHBALI wamulike department ya matibabu kuna shida gani za kitabibu?

Haswa kwenye matibabu ya JAMES & CHILWELL, hawa wachezaji mchango wao kwenye timu sio endelevu kabisa kwa sababu ya injury.

KANTE & KOVACIC inawezekana umri ndio tatizo. Nyama na Mifupa vimeshachoka.

Kwa JAMES, CHILWELL & FOFANA sio mbaya tukaomba msaada wa kimatibabu kwenye vilabu vingine kama Barcelona venye madaktari bingwa.
Kuna taarifa zinasema kuwa baadhi ya seniour players wametoa maoni yao ya kutoiamini idara ya matibabu hasa wale walioajiriwa wapya. Kwa sababu hiyo, timu ya akinaBoehly wameamua kufanyia uchunguzi idara hiyo. Naona kama imechukua muda au sijua kama wameaza kuchunguza ila matokeo yake inaweza kusababisha idara hiyo nayo kufanyiwa overhauling kubwa tu
 
Post ya Enzo ya kuwaaga Benefica

"May the press not tarnish what we built together because it was something wonderful that I had never imagined. Thank you to everyone who works to make the institution even greater than it is.

"Thank you to my colleagues for always treating me in the best way and make me feel at home. Thanks to the club's management and especially to Roger Schmidt and his entire team for their trust and daily respect. I was very happy. Thank you, I carry Benfica forever in my heart."
-Enzo Fernandez
 
Chelsea wanarushusiwa kusajili wachezaji watatu tu kucheza UEFA knock out stage kati ya wachezaji nane waliosajiliwa January hii
Malo Gusto hatakuwepo kwa sababu yuko mkopo Lyon
Andrey Santos naye haruhusiwi kuwepo kwa sababu bado hana permit ya kuchezea Chelsea
Kwa hiyo wanabakia sita wenye kibali cha kuichezea Chelsea na katika hao Chelsea wanatakiwa kuwachagua tu watatu kati ya hawa
  1. Enzo Fernandez,
  2. Mykhaylo Mudryk,
  3. Joao Felix,
  4. Benoit Badiashile,
  5. Noni Madueke
  6. David Datro Fofana.
Kwa maoni yangu tuwachukue hawa
1) Enzo Fernandez
2) Makhailo Mudryk
3) Benoit Badiashile
Naomba unieleweshe hapo kwa Santos, mana ht hvy nimeona watu wengi hawamuweki kwenye kikosi.
 
Naomba unieleweshe hapo kwa Santos, mana ht hvy nimeona watu wengi hawamuweki kwenye kikosi.
Hujasoma post yangu vizuri, nimeeleza kwa nini Santos hatumuweki. anyway, Santos hana kibali cha kucheza nchini Uingereza, bado inashughulikiwa na haijulikani itamalizika lini na deadline ya kupeleka majina UEFA ni leo saa nane usiku. Hapo ndipo penye tatizo
 
1675328942321.png
 
Ila kwa kubadilisha, UEFA wanataka kila timu iwe na squad ya wachezaji 25 tu
Kama timu ilikuwa na punguvu ya hiyo itakubaliwa kuwaongeza baada ya january window. Kama ilishajaza nafasi zote, itaruhusiwa kufanya mabadiliko
Squad ya sasa ni ya wachezaji 24 plus 3 wa list B (*)

Goalkeepers -3
  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Marcus Bettinelli
  3. Edouard Mendy
Defenders - 8
  1. Thiago Silva
  2. Trevoh Chalobah
  3. Ben Chilwell
  4. Reece James
  5. Kalidou Koulibaly
  6. César Azpilicueta
  7. Marc Cucurella
  8. Wesley Fofana
Midfielders 13
  1. Jorginho
  2. N'Golo Kanté
  3. Mateo Kovačić
  4. Christian Pulišić
  5. Ruben Loftus-Cheek
  6. Raheem Sterling
  7. Mason Mount
  8. Denis Zakaria
  9. Hakim Ziyech
  10. Conor Gallagher
  11. Carney Chukwuemeka
  12. Charlie Webster *
  13. Lewis Hall *
Strikers 3
  1. Pierre-Emerick Aubameyang
  2. Armando Broja *
  3. Kai Havertz
Chelsea wamekuwa wakiwatumia wachezaji 24 badala ya 25 ukiwaacha wale wa list B

Addiditional players = 3
  1. Enzo Fernandez
  2. Makhailo Mudryk
  3. Benoit Badiashile Au Felix
Ina maana
  1. Kwanza ondoa Jorgninho kahama
  2. Nafasi ya pili ilikuwa wazi
  3. Kwa hiyo Potter anatakiwa kuwaingiza let say Enzo na Mudryk moja kwa moja kwenye timu kuchukua nafasi ya Jorginho na nafasi nyingine iliyokuwa wazi
  4. Sasa kati ya Badiashile au Felix hapo itategemea priorities za kocha.
  5. Mimi ningemshauri kocha awaongeze hao wawili kumtoa Pulisic ambaye atakuwa nje kwa majeruhi kwa zaidi ya miezi miwili na awekwe Joao Felix, tumefunga mjadala
  6. Tukumbuke pia kuwa leo tarehe 2 February 2023 saa nane usiku za huku kwetu Chelsea wanatakiwa kuwajulisha UEFA hayo mabadiliko.
kwan aiwezekan kuwa unregistered wale ambao waliitwa mara ya kwanza?
 
Kwa maoni yangu, Enzo ni upgrade ya Gallagher, fighting spirit ndiyo inayomsaidia ila siyo mkali kihivyo.

Kati ya Enzo na Savic, me ningeondoka na Savic
Enzo ni binge la mchezaji kwanza ni kiraka ana uwezo wakucheza number 6, 8 na 10 kwa ubora, Pili ana uwezo binafsi wa kukaa na mpira bila kupokonywa, Tatu ni press resistance mzuri, Nne ni mzuri kwenye kupiga long passes za kubreak up back line ya wapinzani hii sifa viungo tulionao hawana, Ana kasi na Maamuzi ya haraka kupitia hii sifa atabadili hata uchezaji wa chelsea kea kiasi kikubwa Jorginho yeye alikuwa back pass nyingi hii kitu Enzo hana Sana alafu ana jicho la pass.
 
kwan aiwezekan kuwa unregistered wale ambao waliitwa mara ya kwanza?
inawezekana ila kanuni ndio hiyo iliyoelezwa
kujaza nafasi za wazi ambapo sisi tuna 2 ya jorginho na iliyokuwa wqzi tu
pili kuweka jina la tatu kwa kum unregister mmoja ambaye wengi wanampendekeza pulisic kwa sababu ya majeruhi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom