Chelsea wanarushusiwa kusajili wachezaji watatu tu kucheza UEFA knock out stage kati ya wachezaji nane waliosajiliwa January hii
Malo Gusto hatakuwepo kwa sababu yuko mkopo Lyon
Andrey Santos naye haruhusiwi kuwepo kwa sababu bado hana permit ya kuchezea Chelsea
Kwa hiyo wanabakia sita wenye kibali cha kuichezea Chelsea na katika hao Chelsea wanatakiwa kuwachagua tu watatu kati ya hawa
- Enzo Fernandez,
- Mykhaylo Mudryk,
- Joao Felix,
- Benoit Badiashile,
- Noni Madueke
- David Datro Fofana.
Kwa maoni yangu tuwachukue hawa
1) Enzo Fernandez
2) Makhailo Mudryk
3) Benoit Badiashile