Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Jana usiku nililala saa 2 kama nusu, baada ya kupitia page ya Fabrizio twitter, Rui Costa bado amekuwa mgumu. Nikalala

Nikashtuka saa 5 kasoro nikawasha data, nikafungua page ya Fabrizio dah nikakuta mchakato bado mgumu. Nikalala

Nikashtuka saa 10 usiku nikawasha data nikafungua page ya Fabrizio yale mawenge ya usingizi nikaona maandishi makubwa HERE WE GO

Sikuweza kuyasoma yale maandishi mengine madogo ila kushuka chini nikaona picha ya Enzo kwenye uzi wa THE BLUES anatabasamu.

Nikakurupuka kitandani nikashuka chini kushangilia kidogo, nikaenda toilet.

Then Nikachukua simu niisome vizuri hiyo taarifa inasemaje vile kuhusu Enzo.

Dah Chelsea mpya yenye kizazi kipya cha makombe imezaliwa upya.

Ndio maana natamani dirisha kubwa lifike tumalizie kuondoa mabaki ya zamani (Pulsic, Ziyech, Azip, Cheeck na wazee Wa kimila Auba & Koulibaly) ili mwanzo mpya uwe mwanzo kweli kweli.

Kante, Kovacic & Silva hawa wazee ni wa kazi. Kijiji hakikosi wazee wachapa kazi, watiifu na wenye busara kwenye kazi
ila wewe jamaa Ni Chelsea kweli kweli ,usingizi ulikuwa hupati kabisa
 
Chelsea wanarushusiwa kusajili wachezaji watatu tu kucheza UEFA knock out stage kati ya wachezaji nane waliosajiliwa January hii
Malo Gusto hatakuwepo kwa sababu yuko mkopo Lyon
Andrey Santos naye haruhusiwi kuwepo kwa sababu bado hana permit ya kuchezea Chelsea
Kwa hiyo wanabakia sita wenye kibali cha kuichezea Chelsea na katika hao Chelsea wanatakiwa kuwachagua tu watatu kati ya hawa
  1. Enzo Fernandez,
  2. Mykhaylo Mudryk,
  3. Joao Felix,
  4. Benoit Badiashile,
  5. Noni Madueke
  6. David Datro Fofana.
Kwa maoni yangu tuwachukue hawa
1) Enzo Fernandez
2) Makhailo Mudryk
3) Benoit Badiashile
Twende na Enzo, Felix na Mudryk
 
They're just getting started.
Screenshot_20230201-193755_Twitter.jpg
 
Summary ya jinsi ya our recruitment team ilivyooperate kwenye hili dirisha.


''Paul Winstanley is the man who has been front and centre of this recruitment, contrary to some suggestions, I hear that Christopher Vivell is actually more on the data and strategic side.
Lawrence Stewart will be joining Christopher Vivell whilst Joe Shields will be heavy on the recruitment side with Paul Winstanley''

Source-David_Ornstein - The Athletic Football Podcast
 
Chelsea wanarushusiwa kusajili wachezaji watatu tu kucheza UEFA knock out stage kati ya wachezaji nane waliosajiliwa January hii
Malo Gusto hatakuwepo kwa sababu yuko mkopo Lyon
Andrey Santos naye haruhusiwi kuwepo kwa sababu bado hana permit ya kuchezea Chelsea
Kwa hiyo wanabakia sita wenye kibali cha kuichezea Chelsea na katika hao Chelsea wanatakiwa kuwachagua tu watatu kati ya hawa
  1. Enzo Fernandez,
  2. Mykhaylo Mudryk,
  3. Joao Felix,
  4. Benoit Badiashile,
  5. Noni Madueke
  6. David Datro Fofana.
Kwa maoni yangu tuwachukue hawa
1) Enzo Fernandez
2) Makhailo Mudryk
3) Benoit Badiashile
Wote wanacheza hao kuna interview moja skysports wameelezea...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Wote wanacheza hao kuna interview moja skysports wameelezea...

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Sheria ya UEFA iliyoanza kutumika 2018/19 inasema wachezaji wapya wanaoruhusiwa kuongezwa kwenye squad kwa ajili ya michuano ya mtoano ya UEFA ni watatu tu. Hiyo interview hujaielewa vizuri, ume misunderstand, nina uhakika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom