Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

This season we mean business
Wachezaji 18 kwa USD 650M
Yajayo yanafurahisha zaidi
Well planned
No FFP worries
Fnv_j2_XoAAbleR.jpg
 
Kwa usajili huu wa dirisha dogo, Chelsea nimewakubali - ni moto - fire fire
Mmeua...

Enzo-Fernandez2-min.jpeg


Chelsea are close to agreeing a deal for Benfica's Enzo Fernandez after making a £105.6m bid - the same value as the midfielder's release clause.

Chelsea have been in talks to sign the Argentina World Cup winner throughout this month, but Benfica had refused to do business unless the Blues pay the €120m (£105.6m) release clause.
 
Deal tunazofanya na Benfica siku zote huwa zinaugumu

Kuanzia kwa David Luiz na sasa kwa Enzo

Kwa David Luiz ilibidi hadi tuweke mchezaj Nemanja Matic kipindi hiko.

Kwa Enzo mpka sasa tunasubir jibu la Rui Costa
 
Nimevutiwa na point ya huyu jamaa
Nilishasema hawa vijana wanajitahidi waonekana wanaweza ili wasajiliwe kwenye timu kubwa wakatimize ndoto zao na kupata klipato kinachoridhisha. Sasa wanapogomewa na wao wanagoma kucheza vizuri mwisho wake Timu inazorota

Case study

Everton tuliwapa mil 60 kwa Anthony Gordon wakakataa sasa wakiwa kwenye ahatari ya kushuka wamemuuza kwa mil 40 na wachezaji wanagoma kwenda kwenye jahazi linalozama

Leicester city waligoma kuwauza akina Madison na Youri Tielemans sasa nao wamekumbwa na poor form ya wachezaji na bad performance

Ndio maana makocha wanaojua hili hawawazuii hawa vijana kutoka kama wamedhamiria wasije baadaye kuwa mizigo

Brighton inaweza kuwa the next
Wasipowaruhusu akina Caicedo kutoka wataporomoka na msimu ujao watakuwa wanaishi kwa matumaini. Watakujka kumuuza Caicedo kwa mil 40

View attachment 2500485
Brighton wanazingua Sana eti NOT FOR SALE

Yatawatokea kama ya Aoaur tulifika had €50m wakagoma wanataka €60m-70m ,wakiamin summer watamuuza hiyo Bei, kilichotokea alikosa soko had akafikia €15m , na Sasa Sijui yupo wapi

Zaniolo nae anatakiwa na kina bornamouth
 
Deal tunazofanya na Benfica siku zote huwa zinaugumu

Kuanzia kwa David Luiz na sasa kwa Enzo

Kwa David Luiz ilibidi hadi tuweke mchezaj Nemanja Matic kipindi hiko.

Kwa Enzo mpka sasa tunasubir jibu la Rui Costa
Ni kama amekataa
Mazungumzo yanaendelea asubuhi hii. Shida ni kwenye fee structure
20230131_101108.jpg
 
Hakim Ziyech is currently undergoing his medical in Paris ahead of a potential move to PSG. Deal will only go ahead if two clubs agree terms. Chelsea have given Ziyech permission to travel to Paris and get the medical done. (Source:
@Santi_J_FM)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom