Kweli au????Jamaa baada ya kusikia Chelsea wameongeza Euro mil 10 kufidia malipo ya Instalments ikabidi jamaa afute dinah yake na kuja kunegotiate
![]()
Conor nasikia kakataa kwenda Everton badala yake yuko tayari kwenda Newcastle
New castle wao wanamtaka kwa mkopo na obligation ya kumnunua
OoooohHERE WE GO! Tayari huko
Sio kweli bhnaHERE WE GO! Tayari huko
Biashara bwana....Sasa ela zote hizo za nini? Tungesubiri June bei ingepungua zaidi.
Sasa Potter amewekewa panga shingoni...akizingua tu kidogo korodani Hana.
HERE WE GO! Tayari huko
YeahNasikia mkimaliza kumnunua Enzo mnataka na kumnunua Caicedo😳
Ili tuwafundishe Arsenal namna ya kufanya shoppingNasikia mkimaliza kumnunua Enzo mnataka na kumnunua Caicedo![]()
Ziych anaenda psg chelsea we means businessIli tuwafundishe Arsenal namna ya kufanya shopping
Asipoflop, Enzo ataleta utatuzi wa muda mrefu kwenye kiungo ambayo Fabregas aliondoka nayoHuyu ni enzo ni mchezaji wa kawaida tu ila promo ni kubwa na hela pia ni ndefu.