mi naona chelsea watoe mzigo wote kisha na wao leo wauze ili walau kubalance vitabu - naona kuwa wachezaji wawili - mmoja Arsenal na Mwingine PSGIshu sio ku-active release clause yake, ishu ipo kwenye muundo wa malipo.
The BLUES inataka kulipa hiyo 120M kwa installments ili wasiingie kwenye rungu la FFP.
Kwamba watangulize kwanza 60M inayobaki ilipwe kidogo kidogo kila mwaka.
Na wataongeza 10M nyingine (kumaintain value of money kwa kulipa kwa mafungu)
Rui Costa anataka ilipwe yote kwa pamoja 120M. Hataki mafungu mafungu.
Hapo ndipo maongezi yalipo sasa (Muundo wa malipo)
Chelsea midfielder Jorginho Arsenal and Ziech to PSG. Move ya Conor Gallagher nayo ipo on.
Leo ni busy day - mpaka ifike saa 6 usiku watu watakuwa hoi.
