Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sawa mkuu, naona maombi yako yamefika kwa matajiri kwa sababu kiangazi kuna sangari zinang'olewa hapo darajani.

Ila hawa hawatakwepa
  1. Jorginho
  2. Ziyech
  3. Auba
  4. Pulisic
  5. Azpilicueta
  6. Reuben Loftas Cheek
Bahati mbaya sana Pulisic na Cheek wana umri mdogo ila watafyekwa tu
Cheek Leicester city wamehsamwekea radar zao
Pulisic Juve wanamtaka swapa deal na Denis Zakaria
Yan hao Pulisic na Ziyech hizo failed business hata hili dirishawatafutiwe timu wajiunge.
 
Mimi nakuunga mkono pia... mi kama ilivyokua kosa kumuuza Timo.. vivyo hivyo kwa Havertz hua naaminin Chelsea haimdai kwa namna alivyotupa Uefa
 
IMG-20230116-WA0025.jpg
kosi lenu hilo, bonge la formation
 
Haha mumchukue na Ziyech
Naona anapokea 125K/week baada ya tax.

Ngoja tuanze upya sasa.

Usema kweli Chelsea tulikuwa tumekosa winger , tangu aondoke Hazard tumetaabika sana
Ziyech sio mchezaji wa kuuza yani yule hajapata nafasi na kuaminiwa ni fundi kuliko hata mount ,kai na uyo sterling
 
Newcastle are interested in signing Conor Gallagher, Ruben Loftus-Cheek and Hakim Ziyech.
1673917448077.png
 
Hata Debrune na Salah mliwauza kwa papara zenu mkifikiri uwezo wao mdogo sijui kwa nini hamjifunzi
Hao uliowataja hawakupata nafasi ya kuonesha uwezo wao. Tofauti na Pulisic na Ziyech wana uwezo mkubwa ila mtu km Pulisic kazi kuongeza mitattoo mwilini hakuna anacho deliver uwanjani
 
Nimeona tetesi kuwa yule mwanamama Dr. Eva anarudi Chelsea. Hii ni kutokana na Mipango wa kuboresha kitengo cha Udaktari.

Referee Michael Oliver ameteuliwa kuwa referee mechi yetu na Liverpool.
 
Hao uliowataja hawakupata nafasi ya kuonesha uwezo wao. Tofauti na Pulisic na Ziyech wana uwezo mkubwa ila mtu km Pulisic kazi kuongeza mitattoo mwilini hakuna anacho deliver uwanjani
Yaani umenena mkuu
Pulisic uwezo wake ni hapo
Ukitaka kujua fuatikia historia yake
Hata akiimprove haitakuwa for wonders
Ziyech ana uwezo mkubwa ila kiburi na negativity imemharibu. Alipokuja Chelsea alifikiri atafanywa mfalme kama kwenye kile kitimu kidogo alichotokea. Sasa alipokula benchi ya mara kwa mara akapandisha negativity dhidi ya kocha na timu
 
Tajiri miluzi

Kashaweka rekodi ya dunia kwenye usajili

Sheikh mansoor miaka 7 mancity kipind cha Pep €1B

Tajiri miluzi miezi 6 €500m
Kaka unaambiwa sasa hivi tunaojua kupiga danadana tusizurule hovyo,
Tajiri miruzi anazoa woteeeeee.....muda huu anakomaa na Michel Antonio huko Hummers,
Wagonga nyundo wanasema kama Mudryk wametoa 100m basi kwa Antonio si chini ya 150m ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kaka unaambiwa sasa hivi tunaojua kupiga danadana tusizurule hovyo,
Tajiri miruzi anazoa woteeeeee.....muda huu anakomaa na Michel Antonio huko Hummers,
Wagonga nyundo wanasema kama Mudryk wametoa 100m basi kwa Antonio si chini ya 150m ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee mnateseka,dah! hahahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom