juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Hall aboreshe unamaliziaj wake chance za kufunga anapata
Galagher leo kwenye double pivot alikuwa poa,mda wote anapress anatafuta space
Ziyech leo alikuwa fresh kuanzia kushambulia hadi kwenye kujilinda.
Chalobah kama rb kacheza vizuri, japo kuna mapepe flan bado anayo.
Silva sina neno kwake, nusu ya wachezaj wetu wangekuwa wanacheza kamq yeye tusingekuwa hapa tulipo.
Badiashile yuko poa hana papara akiwa na mpira hata katika ukabaji wake, natumai ataendelea hivi hivi
Havertz kama angekuwa makini leo angetoka na Hat trick,
Wiki ijayo tuko dhid ya majogoo ya jiji(liverpool) tunahitaj kushinda ili tuendelee kupata kujiamini
Galagher leo kwenye double pivot alikuwa poa,mda wote anapress anatafuta space
Ziyech leo alikuwa fresh kuanzia kushambulia hadi kwenye kujilinda.
Chalobah kama rb kacheza vizuri, japo kuna mapepe flan bado anayo.
Silva sina neno kwake, nusu ya wachezaj wetu wangekuwa wanacheza kamq yeye tusingekuwa hapa tulipo.
Badiashile yuko poa hana papara akiwa na mpira hata katika ukabaji wake, natumai ataendelea hivi hivi
Havertz kama angekuwa makini leo angetoka na Hat trick,
Wiki ijayo tuko dhid ya majogoo ya jiji(liverpool) tunahitaj kushinda ili tuendelee kupata kujiamini