Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mvivu yule , Pullisic


lile dau walilokuja kumuonesha mwishoni Chelsea ndo limemtamnisha, miaka 7 mzee 200k kutoka kwenye 125k sio poaa

Aliyeweza kushinda alikua Raphinha tu kaenda barca kwa mapenzi thou chelsea walimuekeaa vitamu .
Haha mumchukue na Ziyech
Naona anapokea 125K/week baada ya tax.

Ngoja tuanze upya sasa.

Usema kweli Chelsea tulikuwa tumekosa winger , tangu aondoke Hazard tumetaabika sana
 
Arsenal na baadhi ya timu za EPL wakasirishwa na matumizi ya Chelsea kwenye usajili kuanzia mwaka jana. Wamekasirishwa na Chelsea kuhusishwa na kila mchezaji na hasira hii imekuja kulipuka baada ya Chelsea jana kudaka usajili wa mlengwa wa Arsenal, Mykhailo Mudryk kwa kiasi cha Paundi mil 88
Fcjii83XgAAJvpO.jpg
 
epl hainaga mbambamba aje tumuone
Labda akutane na changamoto nyingine, Ila Mudrky Ni mchezaji hatari Sana , anabezwa SABABU anatokea Ukraine ,ila Moto aliouwasha UCL ,sio POA

Arsenal Ni wabahili Sana ,ila ukiona tulifika €95m ujue tuliona potential kubwa

Di Zerbi kamfundisha Mudrky anasema akiwa kwenye mazingira mazuri anamuona akibeba ballon dor,
 
Kuna wachezaji wengi sokon, Chelsea wametufanyia uhuni

Sisi tunaamini katika skauti yetu, tumekosa wachezaji wangapi na tujasajili wengine wakafanya vizuri

Tulizodolewa kumkosa buendia ,tukastick na Øde

Mifano Ni mingi
Endeleeni kusema mchezaji ana mapenzi na Arsenal[emoji23][emoji23]
 
Nasikia Chelsea wanataka kuanza mchakato wa kumsajili kabisa Joao Felix kwa impression aliyoonyesha juzi kabla ya red card
Hata mimi naafiki tumnunue kabisa. Mchezaji mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi kama Felix na umri ule mdogo sio wa kumuacha kabisa

Tumecheleweshwa mno na akina Pulisic, Havertz na hao wengine wasioweza kutumia empty boxes kule mbele
 
Labda akutane na changamoto nyingine, Ila Mudrky Ni mchezaji hatari Sana , anabezwa SABABU anatokea Ukraine ,ila Moto aliouwasha UCL ,sio POA

Arsenal Ni wabahili Sana ,ila ukiona tulifika €95m ujue tuliona potential kubwa

Di Zerbi kamfundisha Mudrky anasema akiwa kwenye mazingira mazuri anamuona akibeba ballon dor,
Alifika mbali kusema ballodorrr[emoji23] lakin epl ile ligi naiheshim mnoooo
Anyway Chelsea wakae chini na kocha wajadili mbinu zake kwanz
 
Nasikia Chelsea wanataka kuanza mchakato wa kumsajili kabisa Joao Felix kwa impression aliyoonyesha juzi kabla ya red card
Hata mimi naafiki tumnunue kabisa. Mchezaji mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi kama Felix na umri ule mdogo sio wa kumuacha kabisa

Tumecheleweshwa mno na akina Pulisic, Havertz na hao wengine wasioweza kutumia empty boxes kule mbele
Na kuna taarifa mnamnyatia caicedo
 
Nasikia Chelsea wanataka kuanza mchakato wa kumsajili kabisa Joao Felix kwa impression aliyoonyesha juzi kabla ya red card
Hata mimi naafiki tumnunue kabisa. Mchezaji mwenye uwezo wa kutengeneza nafasi kama Felix na umri ule mdogo sio wa kumuacha kabisa

Tumecheleweshwa mno na akina Pulisic, Havertz na hao wengine wasioweza kutumia empty boxes kule mbele
Ngoja tuone mpka mwisho wa msim, performance yake itakuaje.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom