Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Yaani umenena mkuu
Pulisic uwexo wake ni hapo
Ukitaka kujua fuatikia historia yake
Hata akiimprove haitakuwa for wonders
Ziyech ana uwexo mkubwa ila kiburi na negativity imemharibu. Alipokuja Chelsea alifikiri atafanywa mfalme kama kwenye kile kitimu kidogo alichotokea. Sasa alipokula benchi ya mara kwa mara akapandisha negativity dhidi ya kocha na timu
Wachezaji kama Ziyech ni virusi vikubwa wao wanataka kucheza timu iwazunguke. Nilikua namuona hata timu ya taifa kipindi cha WC yan anajisikia sikia muda wote
 
Chelsea mnanini lakin? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Screenshot_20230117-154140.jpg
 
Kaka unaambiwa sasa hivi tunaojua kupiga danadana tusizurule hovyo,
Tajiri miruzi anazoa woteeeeee.....muda huu anakomaa na Michel Antonio huko Hummers,
Wagonga nyundo wanasema kama Mudryk wametoa 100m basi kwa Antonio si chini ya 150m ,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa hivi Arseanal ni fitina na umbea tu ndio mnafanya, tunamchukua Deckan Rice na popote mtakapokwenda tumo
Udhaifu wenu tumegundua upare mwingi na hamna hela ndio maana mnapiga domo sana
 
Arenal kumbe walitoa ofa kwenye addons ambazo haziwezekani kufikia kwa Mykhailo Mudryk
Chelsea sisi tulipoingia tukatoa ofa nyepesi nyepesi ambazo ni rahisi kufikia kama kushinda EPL, Kushinda UEFA nk
Wao waliweka Ballon d'Or ambayo ni ngumu kufikiwa

Cheki CEO wa Shaktar anavyofunguka

1673960451594.png

1673959852536.png
 
Arenal kumbe walitoa ofa kwenye addons ambazo haziwezekani kufikia kwa Mykhailo Mudryk
Chelsea sisi tulipoingia pamoaj na kuongeza kidogo pale Arsenal walipoishia lakini pia tukatoa ofa nyepesi nyepesi ambazo ni rahisi kufikia kama kushinda EPL, Kushinda UEFA nk
Wao waliweka Ballon d'Or ambayo ni ngumu kufikiwa

Cheki CEO wa Shaktar anavyofunguka
View attachment 2484726
Unhappy[emoji19]

Picha inaongea
 
Kuna mtaalam mmoja wa Fedha ametahadharisha kuwa Chelsea isipofaulu UEFA msimu ujao, haya matumizi makubwa ya usajili inaweza kuja ku back fire na kukinzana na FFP rules

Haya sasa, kazi ipo
 
Kuna mtaalam mmoja wa Fedha ametahadharisha kuwa Chelsea isipofaulu UEFA msimu ujao, haya matumizi makubwa ya usajili inaweza kuja ku back fire na kukinzana na FFP rules

Haya sasa, kazi ipo
Kukosa kufuzu kwa mashindano yoyote ya UEFA kunaweza kumaanisha kuwa Chelsea inaweza Kuwa waangalifu katika dirisha la usajili la kiangazi 2023.

Hii ni kwa sababu sheria za UEFA na Ligi Kuu ya Uingereza zitaathiriwa na mapato ya chini ambayo klabu ingepata. Wachezaji ambao Chelsea huenda wanajaribu kuwasajili msimu wa joto wanaweza kuwa waangalifu kuhusu kujiunga kwani wengi wanataka kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya

Juhudi za Chelsea za kupanga usajili wao ni ili kuhakikisha wanafuata sheria za Financial Fair Play (FFP) kwa kukianzisha mikataba ya miaka mingi kwa wachezaji wapya ili kuhakikisha kuwa wanaweza kutumia fedha kimkakati kila mwaka.

Sababu ya muda wa mkataba Kuwa mrefu ni Chelsea kutumia deni.

Ni tofauti kati ya kununua mchezaji mmoja kwa mkataba mkubwa au kuleta wawili au watatu wanne Kwa Mkataba mifupi.
 
Chelsea wanajiandaa kupeleka bid ya £70m kwa ajili ya Moises Caicedo wiki hii
Brighton wanataka £75m
 
Chelsea watatakiwa kuwasajili wachezaji 25 tu, hao wengine sijui kama watapelekwa development team au mkopo . Mimi sio mtaalamu wa mambo haya
 

Hii ndio jeuri yetu ya matumizi

Chelsea's big money sales over the past decade​

Player sales £10m and above

2022-23
  1. Timo Werner (RB Leipzig) £25m
  2. Emerson (West Ham) £15m
2021-22
  1. Tammy Abraham (Roma) £36m
  2. Kurt Zouma (West Ham) £31.5m
  3. Fikayo Tomori (AC Milan) £26.8m
  4. Marc Guehi (Crystal Palace) £18m
2020-21
  1. Alvaro Morata (Atletico Madrid) £58m
  2. Mario Pasalic (Atalanta) £13.5m
2019-20
  1. Eden Hazard (Real Madrid) £89m plus add-ons
2018-19
  1. Thibaut Courtois (Real Madrid) £31.5m
2017-18
  1. Diego Costa (Atletico Madrid) £50m
  2. Nemanja Matic (Manchester United) £40m
  3. Nathan Ake (Bournemouth) £20m
  4. Juan Cuadrado (Juventus) £17.3m
  5. Asmir Begovic (Bournemouth) £10m
2016-17
  1. Oscar (Shanghai SIPG) £60m
  2. Mohamed Salah (Roma) £14.5m
2015-16
  1. Ramires (Jiangsu Suning) £25m
  2. Filipe Luis (Atletico Madrid) £11.1m
  3. Petr Cech (Arsenal) £10m
2014-15
  1. David Luiz (Paris Saint-Germain) £50m
  2. Romelu Lukaku (Everton) £28m
  3. Andre Schurrle (Wolfsburg) £22m
  4. Ryan Bertrand (Southampton) £10m
2013-14
  1. Juan Mata (Manchester United) £37.1m
  2. Kevin De Bruyne (Wolfsburg) £16.5m
TOTAL = £688m
 

Mykhaylo Mudryk nearly joined Premier League for £20million before Arsenal and Chelsea war​

Chelsea have splashed out £87million, after performance-related add-ons are included, to sign Mykhaylo Mudryk from Shakhtar Donetsk this month, hijacking Arsenal's move - but the Ukrainian almost arrived in England for much cheaper last summer

Brentford thought they’d got Mykhaylo Mudryk lined up for just £20million last summer - only for agent demands to scupper the deal.

That was the fee his old club Shakhtar Donetsk were willing to let him go for just six months ago. Yet, they will now be delighted the Bees’ bid to take the winger fell apart after Chelsea agreed to pay them three times that amount up front and almost four-and-a-half times that amount in total.
 
European giants Bayern Munich are eyeing a return to Germany for the 23-year-old.

The German champions are said to be actively working behind the scenes to bring Havertz to the Allianz Arena in a potentially huge switch in the transfer window.
 
Wewe labda huangalii mpira, kamfatilie kuanzia Bundesliga ana goli 10+ ,

Anajua ku dribble na kukaa na mpira na anajua kufunga

Katika mpira ogopa Sana mchezaji anayeweza kukaa na mpira ,

Naomba huyu jamaa msimpate na asije EPL , huyo Ni balaa jingine
Hamna kitu mule, jitu zito kama furushi la viazi?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Nkunku yeye ndie anafuatia kwa ufungaji Bundesliga
Mechi 15 magoli 10 na 3 assist
Katika mechi 15 ya ligi kajihusisha na magoli 13
DFB Pokal mechi 2 goli 3 na assist 1
Katika mechi 2 za DFB Pokal kajihusisha na magoli 4
Jumla ya mashindano yote Mechi 17, goli 13, assists 4
Katika mechi 17 ya mashindano yote kajihusisha na magoli 17
Kwenye kushoot anazo shots 55 zinazomfanya kuwa wa kwanza Bundesliga na goal attepmts wa pili. Ana urefu wa 1.92M na hivyo kumfanya kuwa mzuri sana kwenye kuwania mipira ya juu
Huyo sio mchezaji wa kumbeza hata kidogo
WC asingeweza kucheza mechi nyingi mbele ya Mbape, Griezman na Olivier Giroud. Huyo wa mwisho kocha anampenda ile mbaya. Magoli mawili ya fainali ya penalti ila goli la Mbape la pili, Thuram ndie alitoa assists
Kama umefuatlia mechi za France Thuram alipocheza alikuwa ni Threat
Advantage aliyo nayo Thuram zaidi ya maforward tulio nao ni pace na nguvu na hizo nguvu zinamfanya akae na mpira zaidi. Yeye anacheza no. 10, CAM na No. 9 (striker)
Nafikiri scouting team kuna kitu wameona. Adavantege kub wa yake pia anauzwa wakati mkataba wake unaisha kwa hiyo b ei yake sio kubwa. Huyo angesaini mkataba halafu ndio sisi tukaingia pale tungepigwa sio chini ya mil 60
EPL si sawa na bundles Liga, kumbuka hizi statistics hata Timo Werner aliletwa nazo Chelsea na uliona kilichompata.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
EPL si sawa na bundles Liga, kumbuka hizi statistics hata Timo Werner aliletwa nazo Chelsea na uliona kilichompata.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Flop ni individual case haihusiani na ligi alikotoak mchezaji, wako wanoatoka huko wakaja kufanya vizuri na wako waliotoka EPL wakiwa wazuri wakaenda kuflop kwenye hizo ligi unazozizarau.
Usichambue uwezo wa mchezaji kwa kubase facts finyu kama hizo
Zipo ushahidi mwingi kwamba wachezaji wengi wanaopfanya vizuri EPL walitoka kwenye hizo ligi unazidharau
Erling Haaland ufungaji wake wa Bundesliga haukuwa wa juu kama anavyofunga EPL
Salah alitoka Serie A alipokuja hapa akazidi kufunbga zaidi
Didier drogba alitoka kwenye ligi ndogo akaja EPL kawa mfungaji hodari
Mchezaji kuflop haihusiani sana na ligi, it is a more individual case
Mudryk kafikisha hadi thamani ya mil 100 kutokea kwenye ligi hafifu kuliko hata Bundesliga na waliomnunua wanaamini huku atakiwasha zaidi
Hatuwezi acha kumdhamini na kumpa heshima yake mchezaji kwa kubase stats zake eti kwa sababu hatoki EPL
Thuram ni mchezaji mwenye qualities nyingi kwa aina ya strikers ambao Chelsea imekuwa ikiwachukua
Akiflop ni bahati mbaya kama wachezaji wengine
Hazard amekuwa mfungaji mzuri EPL ligi bora alienda Laliga akawa flop wa karne. Hatuwezi kusema EPL ni ligi ndogo kuliko Laliga eti kwa sababu Hazard alishindwa kufunga magoli kama alivyokuwa anafany huku
 
EPL si sawa na bundles Liga, kumbuka hizi statistics hata Timo Werner aliletwa nazo Chelsea na uliona kilichompata.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Werner sio kama chance alikuwa hapat, chance nyingi amepata ila ni yeye tu, jinsi unavyopoteza chance ndio confidence yako inapotea na unakuwa flop.

Kingine mchezaj anakuwa flop kwa sabab ya mfumo wa team, mfumo usipo mfit mchezaj utamuona takataka.
 
Mykhalio Mudryk is on around £97,000 a week at Chelsea - less than the likes of Hudson Odoi and Loftus Cheek. (@SJohnsonSport @AdamCrafton_ @TheAthleticFC)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom