Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Waniletee Enzo sasa
Enzo anakuja Kiangazi, tumewaacha kwanza ile kiwewe cha WC cup itulie. Wanamuona kijanawao ni wa dhamani sana kwa sababu ya WC. July watakuwa wamepoa watamtoa hata kwa mil80. Sisi tumewapa mil 85 wakakataa
 
Mechi na Liverpool

Line Up 4-2-3-1

--------------------Havertz ---------------------

Mykhailo -------------Mount--------------Sterling

--------Kovacic ----------Galagher---------

Cucurella----Koulibally ------- Silva------- Azpi

------------------- Kepa ------------------------
 
Willian January 2013 alishapanda ndege kwenye North London kusajiliwa na Spurs, Chelsea tulipoingia akakodisha taxi kuja West London biashara ikaishia hapo. Willian naye alikuwa ni winga ambaye alipata mafanikio makubwa ndani ya jezy ya Chelsea

Mudryk naye anasajiliwa January kama Winger mdomoni mwa Arsenal kutokja North London. Tofauti yake ni tu Mudryk hatapanda tax kuja west London. Atatua na ndege moja kwa moja

Fmc74OPXwAQTBJJ
 
Sera ya Roman ilikuwa timu ikivurunda anawatetea wachezaji na kocha kufukuzwa

Akina Boehly wao wamekuja na sera tofauti kabisa
Timu ikivurunda kocha anatetewa na wachezaji wasiocheza vizuri kuuzwa
Je hii sera itaboresha uchezaji na kuwafanya makocha waheshimiwe na wachezaji"
 
Sera ya Roma ilikuwa timu ikivurunda anawatetea wachezaji na kocha kufukuzwa

Akina Boehly wao wamekuja na sera tofauti kabisa
Timu ikivurunda kocha anatetewa na wachezaji wasiocheza vizuri kuuzwa
Je hii sera itaboresha uchezaji na kuwafanya makocha waheshimiwe na wachezaji"
Hii Sera nzuri sana na italeta mabadiliko sema kwa kuchelewa
 
Hii bet transfer ya Mudryk ni bonge moja la jackpot kwa Chelsea kama ikiworkout ila itakuwa ni bonge moja ya career failure kwa mchezaji kama mfumo ukimkataa.

Kama naziona media za uingereza zinavyosubiria kwa hamu kumshambulia, ili Nunez nae apumzike.

BTW tumeshawasiliana na mganga wetu, na ametuhakikishia round hii atamfanya zaidi ya Vlahovic. (Jokes)
20230115_072716.jpg


Sent from my M2101K7AG using JamiiForums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] pongezi nyingi sana kwenu hakika mmeupiga mwingi sana kwa hio suprize mliyowafanyia Arsenyani.
Kuna wachezaji wengi sokon, Chelsea wametufanyia uhuni

Sisi tunaamini katika skauti yetu, tumekosa wachezaji wangapi na tujasajili wengine wakafanya vizuri

Tulizodolewa kumkosa buendia ,tukastick na Øde

Mifano Ni mingi
 
Kuna Nkunku hapo mkuu

Tukifix tu Mid na back up ya james basi tutakuwa tayar kuchallange ubingwa

Sidhal kama tunaweza toa 100 kwa Gvardiol coz Levi Colwil anarudi + usajil.wa Badiashile wote hawa ni LCB
Kwani Nkunku tumeisha mchukua teyari?!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom