Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Rashford alitukanwa sana akaitwa flop kumbe ni makocha walikuwa wanamshusha kiwango
Kaja Ten Hag sasa mechi 9 mfululizo akifunga tu mabao

Hata huku Chelsea mifumo ya makocha inaua vipaji vya wachezaji,
 
Msimamo wa ligi mpaka kufikia May
1: Manchester United
2: Manchester city
3: Newcastle United
4: Arsenal
Nyie maboya huo👆 ndio msimamo wa ligi msimu huu, napia si hivyo tu Hadi carabao,FA na Europe huyo mwamba hapo juu namba 1 bado anashiriki, hivyo mtajua hamjui msimu huu mechi 8 mfululizo unbeaten and still more suplise to come for the red devil's👍
 
Rashford alitukanwa sana akaitwa flop kumbe ni makocha walikuwa wanamshusha kiwango
Kaja Ten Hag sasa mechi 9 mfululizo akifunga tu mabao

Hata huku Chelsea mifumo ya makocha inaua vipaji vya wachezaji,
Kumbuka man utd wamemuajiri pia Ben Maccarthy kwa ajilk ya striker wao.

Kingine Rashford alikuwa mzuri tangu mwanzo ukiachana na hapa kati kwa Ole,

Alishaprove kuanzia mwanzo ni mzuri.

Sasa sisi chelsea havertz kutoka kwa lampard mpk sasa kwa potter ni yule yule
 
Napenda jins Ten Hag alivyo. Yuko ruthless hana utani.
Maguire mwanzo aliona form yake sio nzuri akala bench akaendelea na wengine
Rashfors game ya wolves alianzia bench kama adhab kwasababu ya kuchelewa team meeting.
Ronaldo akaleta ujuaji akachomolewa fasta


Ila sasa njoo kwa Potter anasupport yote kutoka kwa uongozi ila bado anaendelea kuwabeba wale wanaomuangusha kila siku. Mount,havertz,jorginho,Koulibaly etc hawa wote viwango vyao vimeshuka mda sana na hakuna dalili yakuimprove ila bado anawangangania
 
Takataka zifuatazo hazifai kuvaa uzi wa blue wa the Blues na zifukuzwe immediately :Joginho ,Pullisic ,Kai , loftus cheek , Chalobah ,Koulibaly , ziyech , Azpilicueta ,Sterling , Aubameyang , Mount , fukuza mbuzi zote hizo tuanze kusuka timu upya ,Ng'olo Kante mtumishi hewa na umri umekwenda auzwe ,
 
Kuna huyu Kaoru Mitoma anafanya dribling za hatari

Huyu mjapani kasoma digrii ya physical education katika chuo kikuu cha Tsukuba na kwenye thessis yake kafanya dribling. Kwa hiyo sasa anafanya kwa vitendo.

Brighton wanawafundisha Liverpool football

Born in Kanagawa, Mitoma grew up in the Kawasaki area and joined the Frontale academy at the U10 level. Offered a promotion from the U-18s to the senior team coached by Yahiro Kazama, he chose instead the University of Tsukuba, a Japanese university football powerhouse who had recently produced Frontale stalwarts such as Shogo Taniguchi and Shintaro Kurumaya. Mitoma professed to feel unprepared to enter professional football at age 18, citing the struggles of fellow Kawasaki academy products Ko Itakura and Koji Miyoshi to win regular playing time with the senior squad. He wrote his university thesis on dribbling.

FgP1blGWYAEZBn0
 
Yona atoswe Ili merikebu ipone isiende na dhoruba.

Unapewa Kila kitu ila huwezi kudeliver unaanza sema kufundisha Chelsea ni kazi ngumu.

Maana yake kazi imemshinnda anafanya nini hadi Sasa pale Cobham.

He is an average Coach got lucky to manage Big Club with a lot of achievement while he achieved nothing.

Viatu havimtoshi.
 
Huyu Madueke tukimpata uzuri wake ana mashuti, clinical na anadrible. Good scout work
Perfect timing km wakimpata Kwa hyo bei..maake km psv wangemuuza Kwa kina RB Leipzig au Dortmund au timu nyingine ya epl ...Unashangaa thamani yake inapanda km ya English boys wengine kina Bellingham pauni mil 150
 
Hivi mnajielewa kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2481181
Hatujui nini tunataka wakat huu wa usajili.

Usajil wa madueke niliukubal inaonekana kabisa ilikuwa ni mchezaj ambae potter alikuwa anamtaka tangu yuko bha, same to vivel alimscout wakat yuko liepzig

Ila huu wa Mudryk sijui nani kapendekeza.

Hiyo pesa bora tungejikaza kwa enzo
 
Naona pia Chelsea wanataka kutumia staili ya Barcelona ya kuuza haki za TV kwa sababu hizi pesa zote zitatoka wapi bila kuviolate FFP?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom