lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,709
- 25,953
Tutaongeza zaidi ya mil 100 tul;iyotoa ofa, au Tunatoa yote, lengo ni kujenga timu upyaChangamoto ya enzo ni Benfica kutala €120M kwa wakat mmoja hapo ndio shida ilipo
Tutaongeza zaidi ya mil 100 tul;iyotoa ofa, au Tunatoa yote, lengo ni kujenga timu upyaChangamoto ya enzo ni Benfica kutala €120M kwa wakat mmoja hapo ndio shida ilipo
Huko nyuma nilikuambia mkuu case ya Mykhailo ni tofauti na Raphina ninyi mkasema ni Raphina v2.0Hii inamaana Pulisic anaondoka this January same to ziyech kama suitable suitor akipatikana
Yeah ulilisema hili.Huko nyuma nilikuambia mkuu case ya Mykhailo ni tofauti na Raphina ninyi mkasema ni Raphina v2.0
Huyo dogo Arsenal sio timu yake ya ndoto0ni kama ilivyokuwa kwa Raphina
Huyo dogo kaisifia tu Arsenal ili ku- accelerate usajili. Nilisema ikitokea timu yeyote kubwa Mykhailo angeikubali alimradi anakuja kucheza na timu kubwa kubwa kwenye ligi kubwa. Hiyo ndio focus ya Mykhailo
Hata wangeenda liver, city, man u angekibali tu.
Welcome Mudy to Stanford Bridge
Subiri sasa akitua darajani atakavyomwaga sifa kwa Chelsea na KochaYeah ulilisema hili.
Na Ziyech na wengine kwa sababu Chelsea bado wako kwenye advance talk juu ya Marcus Thuram, Noni Madueke. So hata Havertz anaweza uzwaHii inamaana Pulisic anaondoka this January same to ziyech kama suitable suitor akipatikana
Next season ndio tuanze sasa kutoa hukumu, na kama tukatatua tatizo la kiungo basi msim ujao tutakuwa tuko sawa.Kwa usajili unavyoenda hata tukishika nafasi ya 17 msimu huu. I won't care
Tuna project mzee.Kila siku mnasajili na kila siku mnagongwa,khaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna Nkunku hapo mkuuMsimu wa 2023/24 Line Up 3-4-3
Mykhailo -------------- Thuram --------------Nkunku
Chilwell --------Enzo ----------Kante --------- James
----Madiashile ---------- Gvardiol --------- Fofana----
------------------- Kepa ------------------------
Reserve
- Gabriel Slonina
- Silva
- Koilibaly
- Cucurella
- Moises
- Carney
- Sterling
- Mount
- Fofana
Nimemuweka hujaonaKuna Nkunku hapo mkuu
Tukifix tu Mid na back up ya james basi tutakuwa tayar kuchallange ubingwa
Sidhal kama tunaweza toa 100 kwa Gvardiol coz Levi Colwil anarudi + usajil.wa Badiashile wote hawa ni LCB
Kuna uwezekano pia tukamnunua Joao Felix akiperform vizuri kwa sababu kule Antletico De Madrid haelewani na kochaKuna Nkunku hapo mkuu
Tukifix tu Mid na back up ya james basi tutakuwa tayar kuchallange ubingwa
Sidhal kama tunaweza toa 100 kwa Gvardiol coz Levi Colwil anarudi + usajil.wa Badiashile wote hawa ni LCB