Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Oyaa wazee niaje apo kati ..skia, ichi kikosi kinachojengwa musimu ujao kitakuwa ni balaa na nusu. Tukipata kocha kama ziddane ivi alafu akafukuza jojinyo, Takataka zingine zenye uzembe aloooh hii ligi tutaifanya shamba la bibi 😀😀😀😂
 
Ni Mudryk mkuu yah ataleta kitu kikubwa Sana kwanza anajua kudribble, mzuri kwenye pass za mwisho, ana kasi pia yupo aggressive sana
Anakipiga nafasi gani? Maana sisi kwenye wings ndio tunateseka akiumia tu James au chilwelle basi tunatapata sana
 
Msimu wa 2023/24 Line Up 3-4-3

Mykhailo -------------- Thuram --------------Nkunku


Chilwell --------Enzo ----------Kante --------- James


----Madiashile ---------- Gvardiol --------- Fofana----


------------------- Kepa ------------------------

Reserve

  1. Gabriel Slonina
  2. Mendy
  3. Silva
  4. Koilibaly
  5. Lewis Hall
  6. Levi Colwill
  7. Cucurella
  8. Moises
  9. Kovacic
  10. Carney
  11. Madueke
  12. Sterling
  13. Mount
  14. Havertz
  15. Fofana
Silva hawezi kukaa benchi mpaka now huyo ndio beki wetu Bora na Ndio mchezaji mwenye kujituma zaidi
 
Nasikia na Jao Felix tulimsajili je ni kwa mukopo au mazima? Na alipigwa red dah!?😞yani ndio anaanza kazi na gundu la kadi. Sema nini tutafanya maajabu musimu ujao wacha tumalizane na hii puroject kwanza halafu makombe next season 😀😀😀
 
Nasikia na Jao Felix tulimsajili je ni kwa mukopo au mazima? Na alipigwa red dah!?😞yani ndio anaanza kazi na gundu la kadi. Sema nini tutafanya maajabu musimu ujao wacha tumalizane na hii puroject kwanza halafu makombe next season 😀😀😀
Felix alisajiliwa kwa mkopo
 
Sera ya Roman ilikuwa timu ikivurunda anawatetea wachezaji na kocha kufukuzwa

Akina Boehly wao wamekuja na sera tofauti kabisa
Timu ikivurunda kocha anatetewa na wachezaji wasiocheza vizuri kuuzwa
Je hii sera itaboresha uchezaji na kuwafanya makocha waheshimiwe na wachezaji"
Tuone tutapata majibu mbona Mudryk anacheza kama kiungo mshambuliaji kwa jinsi nilivyomuona kwenye YouTube pamoja na mechi dhidi ya Real Madrid?
 
Nasikia mumeenda Barca kupiga magoti mpewe flop wao Raphina. Huyo hana ushindani mumbebe ila msilipe zaidi ya 35m ili nao Barca wajute ku hijack target ya Chelsea
Uyo Raphina bora hata akuja maana siyoni chochote alichofanya timu ya taifa brazil
 
Nasikia mumeenda Barca kupiga magoti mpewe flop wao Raphina. Huyo hana ushindani mumbebe ila msilipe zaidi ya 35m ili nao Barca wajute ku hijack target ya Chelsea
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila Toddy , kashafikisha €500m Sasa madirisha mawili ,

Raphina simkubali end product yake, angalau Trossard huyu anajua
 
Wide Atacker wote wanacheza nafasi zote za mbele isipokuwa striker. Mount ana ulegelege fulani na utaisha maana Mudryk yuko vizuri sana. Hata Sterling, Havertz watakoma
Mudrky labda mshindwe kumtumia ila Ukiona Hadi Arsenal Tulifika €95m , tulishamskaut Sana


Ana Kasi, anajua kufunga , mzuri mkicheza kaunta attack ,
 
Summer mje kuchukua wakina Pulisic[emoji1787][emoji1787] maana kutakuwa na fagio
Mvivu yule , Pullisic


lile dau walilokuja kumuonesha mwishoni Chelsea ndo limemtamnisha, miaka 7 mzee 200k kutoka kwenye 125k sio poaa

Aliyeweza kushinda alikua Raphinha tu kaenda barca kwa mapenzi thou chelsea walimuekeaa vitamu .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom