John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Mchezaji machachari Tu yuleWanachonifurahisha hoja Yao Ni Anthony wa man u wanamuona average Sana ,why auzwe €100m![]()
Mchezaji machachari Tu yuleWanachonifurahisha hoja Yao Ni Anthony wa man u wanamuona average Sana ,why auzwe €100m![]()
Mount ni kiazi , Hana Kiu ya kufungaHuwezi kumtenga kocha na yanayotokea Chelsea. Kuficha udhaifu kwa kocha kwa sasa tumpe muda tu
Arteta ni mfano mzuri ya kwamba kocha hawezi kutengwa timu inapofanya vibaya
Arteta badala ya kufundisha kikasuku aliwang'amua wachawi wote wanaosababisha uchezaji uwe wa kijinga. Alkiwabangua wote wasio faa na Arsenal ikatulia baada ya hao kutolewa
Kocha anayekumbatia wachezaji wabovu na yeye ni mbovu
Kuna wacheza wanaoizamisha Chelsea na wanajulikana
Wa kwanza ni Jorginho
Wa pili Azpilicueta anfaa kuwa backup tu, hawezi tena presure ya EPL, Pale anatakiwa hata awajaribu vijana wa academy ili wazoee. Ni bora academy akafanya makosa lakini atakuwa na kuzoea. Azpi sasa hivi hatutegemei atakuwa na kuja kucheza vizuri. Safari yake imeisha kabisa
Kova mzuri lakini natakiwa acheze na kiungo mbunifu, sio mpikaji, sio mtengenezaji, sio muundaji. Creator, proactive
Huyu jamaa si ndo starring wa movie ya lone survivor 😳BREAKING: Chelsea broad will have a meeting with Graham Potter today and they might sack him following the bad results,
Jamani tuombe wana Chelsea tunao pata furaha timu yetu ekishinda huyu jama apewe onyo la mwisho au afukunzwe, ili timu yetu etufurahishe tena. Huyu potter ndo tstizo hana mbinu Chelsea nikumbwa kwakeView attachment 2466634
Leo lazima tufungwe ili tuwakomoe, siku zote mnatuponda ila leo mmekuwa wakarimu Arse8 ninyi sio lolote
shakhtar wahuni tu wale
yani wameona ndio njia yakupiga pesa,
Acheni kuzigeuza hizi Kenge kama Toilet paper, Nnya ikiwabana ndio mnaziona zina thamani ila mkishamaliza kuchamba mnaziflash kwenye chemba ya maji taka.Chelsea leo tupo pamoja
City anaacha point
Kila mtu ashinde Match zakeChelsea leo tupo pamoja
City anaacha point
Nyie kenge mna neno lolote la mwisho kabla ya mazishi yenu?View attachment 2470298



Today and only today my prayers are with you. Hopes you won’t let me down after spending more than £200m on defenders since the new owners arrrived
We unaona kuna hata sare hapo?Hii game hata sare Chelsea anapata bwana.
Kweli Chelsea afungwe Stamford bridge sio kweli kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app



