Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sijamkosoa TT, ndio manna nasema shida yetu sio kocha bali wachezaji.

Inconsistence hazijaanza leo wala jana bali ni mda mrefu tu. Bila kutatua tatizo hata aje Enrique kwa hawa hawa tutamuona mbaya. UNLESS He demand squad overhaul otherwise tutaendelea kulalamika kwa kila kocha atakaekuja
Huwezi kumtenga kocha na yanayotokea Chelsea. Kuficha udhaifu kwa kocha kwa sasa tumpe muda tu
Arteta ni mfano mzuri ya kwamba kocha hawezi kutengwa timu inapofanya vibaya

Arteta badala ya kufundisha kikasuku aliwang'amua wachawi wote wanaosababisha uchezaji uwe wa kijinga. Alkiwabangua wote wasio faa na Arsenal ikatulia baada ya hao kutolewa

Kocha anayekumbatia wachezaji wabovu na yeye ni mbovu
Kuna wacheza wanaoizamisha Chelsea na wanajulikana
Wa kwanza ni Jorginho
Wa pili Azpilicueta anfaa kuwa backup tu, hawezi tena presure ya EPL, Pale anatakiwa hata awajaribu vijana wa academy ili wazoee. Ni bora academy akafanya makosa lakini atakuwa na kuzoea. Azpi sasa hivi hatutegemei atakuwa na kuja kucheza vizuri. Safari yake imeisha kabisa
Kova mzuri lakini natakiwa acheze na kiungo mbunifu, sio mpikaji, sio mtengenezaji, sio muundaji. Creator, proactive
 
Team inapiga back pass mpaka kero jamaa wamesharudisha ila team haiyoneshi inataka ushindi kiukweli kocha ni sehemu ya yeye kutufelisha hivi huyu Mount ni nani pale kiasi ambacho afanyiwi sub na kila game lazima aanze hata kama hayupo kwenye performance nzuri, kuna wale matakataka wawili wa kiingereza Gallagher na RLC yaani huyu kocha anawapenda Sana, angalia Ziyech dakika alizocheza alikuwa Bora kuliko sterling aliyecheza muda mwingi.Tunaweza kuwa tunashangaa kwanini Pulisic, Ziyech hawafanyi vizuri kulinganisha na uwezo wao hii yote ni kwasababu aina ya uchezaji wetu back pass kama 1000 na Ndio maana forward wetu wanaonekana ni butu
Kwa sabau hawako wabunifu
 
Kwani hatukuchukua kombe la Uefa, epl tukamalizia no 3. Uefa ya pili tukaenda robo fainali, kwa huyu porter na wachezaji hao hao tutamaliza na fasi ya nane au 10,. Mkuu na kuambia hili mchezaji yoyote anaetakwa na barca jua ni mzuri Azipp barca inamhitaji Joghinio, Kante covicic nk, mimi kwangu kwa porter tumepigwa.
Ila wewe unachekesha sana, Azpi huyu huyu tunayejua uwezo wake sasa kachoka , Alonso Barca wamemchukua lakini unamfuatilia anafanya vitu gani huko? Yale yale makosa aliyokuwa nafanya Chelsea anaendelea kuyafanya Barca. Juzi aliwazamisha na kitimu kidogo
 
Tuna wachezaji daraja la kwanza ila tuna kocha wa daraja la chini mno, kuna vitu viko wazi hata asiyekuwa kocha anaviona.

Mfano huko nyuma hakuna timu iliyokuwa inatamani kucheza na Chelsea maana ilikuwa mchakamchaka kwenda mbele mwanzo mwisho lakini njoo sasa yaani kinachochezwa uwanjani utadhani genge la wahuni linafanya mazoezi.
Kwa wachezaji tulio nao kwa Epl ilitakiwa City ndo tutunishiane nao msuli tu ila wengine tupa kule.

Mchezaji kama hakupi unachotaka, kuendelea kumng'ang'ania wakati wapo wengine means wewe viatu ulivyovaa sio size yako.

Una vijana wenye hamu ya mafanikio lakini hata benchi wanakaa kwa mbinde kila siku akina Joji ndo kipaumbele, hapo kwa nini timu isikushinde?, act kama manager mchezaji akizingua weka pembeni uone kama hawatafanya kazi.

Siku hizi timu ikitanguliwa goli moja tu hesabu hiyo mechi tumepoteza, hakuna morali wala juhudi za kupambania timu yaani kila mmoja anacheza kivyake, kwa mazingira hayo tambua timu haina mwalimu ila ina msimamia mazoezi tu.
GP ni kocha wa daraja la juu, anaweza asimfikie PEP na Conte lakini sio kocha mdhaifu kama mnavyofikiri. Wachezaji wanaoharibu Chelsea sio wengi, ninaapa ni wachezaji wachache sana tena katika wachezaji hao sio mabeki wala washambuliaji. Pale kwenye kiungo narudia
Hatuna
  1. Creators
  2. Proactive
Mfano mzuri na

Fabregas ------------ Kante

Kiungo ambaye ni attacking minded
Kila wakati anawaza kutendenza nafasi, kuanzisha mashambulizi
Kupeleka majalo kwa akina Havertz, Sterling, Pulisic, Auba, akija Datro Fofana
Hatuna viungo wa naman hiyo. Tunao viungo wa kuwaza kurudisha mipira nyuma tu

Koulibaly angecheza pale kati angekuwa bora mara 10 ya Jorgninho
 
Hii shida tuko nayo tangu msim uliopita, Tangu wakat wa Tuchel tuko hivi, tukishatanguliwa tu ndio basi tena ni draw au tumefungwa.
Hasa tukifanyiwa pressing. Chelsea haiendani kabisa na timu inayofanya pressing
 
Watu tunajificha kwenye kivuli cha Potter ila wakat wa Tuchel mwezi August n September tulikuwa tunamlalamikia Tuchel. Wakat tunafungwa na Leeds,Southamptom,Zagreb, watu walilamika humj kuwa Tuchel kashindwa,Kapoteza dress room,sio kocha wakutupeleka nchi ya ahadi,kocha ambae hawez kukaa na wachezaj vizur or uongozi.

Ila now mzigo tunamshushia Potter, issue ya backpass,sideway pass, kutokucheza kwa intensity, kutanguliwa n kutojarib kusawazisha or kuwin game hakujaanza leo.

Wakat nilipokuwa namtetea Tuchel watu walisema na mahaba nae ila ukweli ni Kila kocha atakae kuja tutamuona mbaya til tutakapobadilisha wachezaj,

Mchezaj kama Azp hakufaa hata kuongezewa mkataba, Galagher,RLC hawa wote hawastahil kuvaa zile jezi,

Poor summer signing tulifanya panic signing,
Sifa hizi ni za shabiki walio wengi
  1. kulalamika timu inapofanya vibaya, kumlalamikia mchezaji, kocha, uongozi, wawekezaji nk
  2. kusifia timu inapofanya vizuri, kumsifia mchezaji, kocha, uongozi, wawekezaji nk
  3. Mchezaji akifunga goli hata kama kacheza vibaya anasifiwa
  4. Mchezaji akikosa goli muhimu hata kama kacheza vizuri atalalamikiwa
  5. Timuikibeba kombe na timu mbovu au mbinu za kubahatisha za kocha bado kocha huyo atasifiwa sana
 
Watu tunajificha kwenye kivuli cha Potter ila wakat wa Tuchel mwezi August n September tulikuwa tunamlalamikia Tuchel. Wakat tunafungwa na Leeds,Southamptom,Zagreb, watu walilamika humj kuwa Tuchel kashindwa,Kapoteza dress room,sio kocha wakutupeleka nchi ya ahadi,kocha ambae hawez kukaa na wachezaj vizur or uongozi.

Ila now mzigo tunamshushia Potter, issue ya backpass,sideway pass, kutokucheza kwa intensity, kutanguliwa n kutojarib kusawazisha or kuwin game hakujaanza leo.

Wakat nilipokuwa namtetea Tuchel watu walisema na mahaba nae ila ukweli ni Kila kocha atakae kuja tutamuona mbaya til tutakapobadilisha wachezaj,

Mchezaj kama Azp hakufaa hata kuongezewa mkataba, Galagher,RLC hawa wote hawastahil kuvaa zile jezi,

Poor summer signing tulifanya panic signing,
Hata TT asingefaa tuseme ukweli, Timu ilikuwa inazama yeye akiwa Kocha, Utundu wake unaweka mgawanyiko wa wachezaji kwa sababu hawezi funga domo kuwasema wachezaji kwenye vyombo vya habari.

Potter akipewa muda nahari nikatulia atakuwa kocha bora kuliko TT
 
3 loss, 3 draw, 1 win

Huwa nasema siku zote hapa, why uinvest 300M kwa mwalim ambae ulijua utamfukuza,? BOEHLY N CO walikurupuka last summer sawa tulikuwa tuna uhitaj wa kusajil ila Spending 300M kwa wachezaj ambao unajua kabisa huyo unayemnunulia utamfukuza ni kama kupoteza hizo hela
That was a big mistakes. Ila siwashangai, Wamerakani huwa ni wakurupukaji tu
 
Kwani wameanza kupangwa wakat wa Potter tu????Tuchel alikiwa hawapangi????

Azp mkataba ulikuwa umeisha ila Tuchel ndie akataka board imuongeze mkataba au tumesahau ????
TT alikuwa hawapangi, Galagher alikuwa mkopo, Azpi na RLC walikuwa wanapangwa wachezaji muhimu wakiwa majeruhi na ni mara chache
 
Huwezi kumtenga kocha na yanayotokea Chelsea. Kuficha udhaifu kwa kocha kwa sasa tumpe muda tu
Arteta ni mfano mzuri ya kwamba kocha hawezi kutengwa timu inapofanya vibaya

Arteta badala ya kufundisha kikasuku aliwang'amua wachawi wote wanaosababisha uchezaji uwe wa kijinga. Alkiwabangua wote wasio faa na Arsenal ikatulia baada ya hao kutolewa

Kocha anayekumbatia wachezaji wabovu na yeye ni mbovu
Kuna wacheza wanaoizamisha Chelsea na wanajulikana
Wa kwanza ni Jorginho
Wa pili Azpilicueta anfaa kuwa backup tu, hawezi tena presure ya EPL, Pale anatakiwa hata awajaribu vijana wa academy ili wazoee. Ni bora academy akafanya makosa lakini atakuwa na kuzoea. Azpi sasa hivi hatutegemei atakuwa na kuja kucheza vizuri. Safari yake imeisha kabisa
Kova mzuri lakini natakiwa acheze na kiungo mbunifu, sio mpikaji, sio mtengenezaji, sio muundaji. Creator, proactive
Hapo ndipo shida ya Potter ilipo, kukumbatia baadhi ya wachezaj na ndio kinachomponza.

Ni bora uumpe chance omar,hall, ambao wako wanajifunza kuliko hao.
 
BREAKING: Chelsea broad will have a meeting with Graham Potter today and they might sack him following the bad results,

Jamani tuombe wana Chelsea tunao pata furaha timu yetu ekishinda huyu jama apewe onyo la mwisho au afukunzwe, ili timu yetu etufurahishe tena. Huyu potter ndo tstizo hana mbinu Chelsea nikumbwa kwakeView attachment 2466634
Lies
 
GP ni kocha wa daraja la juu, anaweza asimfikie PEP na Conte lakini sio kocha mdhaifu kama mnavyofikiri. Wachezaji wanaoharibu Chelsea sio wengi, ninaapa ni wachezaji wachache sana tena katika wachezaji hao sio mabeki wala washambuliaji. Pale kwenye kiungo narudia
Hatuna
  1. Creators
  2. Proactive
Mfano mzuri na

Fabregas ------------ Kante

Kiungo ambaye ni attacking minded
Kila wakati anawaza kutendenza nafasi, kuanzisha mashambulizi
Kupeleka majalo kwa akina Havertz, Sterling, Pulisic, Auba, akija Datro Fofana
Hatuna viungo wa naman hiyo. Tunao viungo wa kuwaza kurudisha mipira nyuma tu

Koulibaly angecheza pale kati angekuwa bora mara 10 ya Jorgninho
Kama ni kocha mzuri unampaje mtu namba ya kudumu wakati hakupi kile unachotaka?, pale chelsea kuna vijana wengi wanaozea kwenye mbao ndefu ambao wamesajiliwa wanaoweza kumpa kile anachotaka kwa asilimia kubwa na bado anaweza kuwafunda wakafundika maana hawajawa virusi kama huyo Joji.

Kocha mzuri anabadilika falsafa ya uchezaji kulingana na mahitaji ya mechi husika, lakini pale Chelsea kila siku afadhali ya jana.

Katika kipindi cha miaka zaidi ya 40 hakuna kocha amewahi fanya vibaya mfululizo kama huyo GP. Mechi 8 mfululizo ushindi 1, sare 2 na vipigo 5.
Hakuna kocha aliyepita darajani mwenye takwimu mbovu zaidi ya huyu GP, tuongee kwa data na pia tufanye analysis ya performance uwanjani utapata majibu kuwa kocha viatu ni vikubwa kwake.

Lampard alikuta timu imefungiwa kusajili akawa anawatumia vijana akina James & Co lakini hakufanya vibaya kwa kiwango cha GP mwenye kila kitu ila hajui kutumia rasilimali watu.
 
Kama ni kocha mzuri unampaje mtu namba ya kudumu wakati hakupi kile unachotaka?, pale chelsea kuna vijana wengi wanaozea kwenye mbao ndefu ambao wamesajiliwa wanaoweza kumpa kile anachotaka kwa asilimia kubwa na bado anaweza kuwafunda wakafundika maana hawajawa virusi kama huyo Joji.

Kocha mzuri anabadilika falsafa ya uchezaji kulingana na mahitaji ya mechi husika, lakini pale Chelsea kila siku afadhali ya jana.

Katika kipindi cha miaka zaidi ya 40 hakuna kocha amewahi fanya vibaya mfululizo kama huyo GP. Mechi 8 mfululizo ushindi 1, sare 2 na vipigo 5.
Hakuna kocha aliyepita darajani mwenye takwimu mbovu zaidi ya huyu GP, tuongee kwa data na pia tufanye analysis ya performance uwanjani utapata majibu kuwa kocha viatu ni vikubwa kwake.

Lampard alikuta timu imefungiwa kusajili akawa anawatumia vijana akina James & Co lakini hakufanya vibaya kwa kiwango cha GP mwenye kila kitu ila hajui kutumia rasilimali watu.
GP kaja kipindi kibaya
  1. Timu inafanyiwa rebuilding na hapohapo
  2. Timu zilziokuwa goigoi sasa ziko imara ambazo ni Arsenal, Newcastle, Man U, Spurs na hata Brighton
  3. Pia majeruhi kwa wachezaji muhimu imeongezeka kuliko vipindi vingine
Yuko kipindi yenye chnagmoto kubwa na naamini hali ya hewa itabadilika tu
 
GP kaja kipindi kibaya
  1. Timu inafanyiwa rebuilding na hapohapo
  2. Timu zilziokuwa goigoi sasa ziko imara ambazo ni Arsenal, Newcastle, Man U, Spurs na hata Brighton
  3. Pia majeruhi kwa wachezaji muhimu imeongezeka kuliko vipindi vingine
Yuko kipindi yenye chnagmoto kubwa na naamini hali ya hewa itabadilika tu
Tusubiri muda utaongea, japo ninajua ameshambiwa timu isipofika top 4 msimu huu hana chake tena, he will be sacked.
 
Tusubiri muda utaongea, japo ninajua ameshambiwa timu isipofika top 4 msimu huu hana chake tena, he will be sacked.
Hayo ni maoniu ya pundits, Boehly alisema hata ispomaliza Top 4 bado atabakia
Kwa maoniu yangu sio lazima top 4
Timu ikifanya vbaya UEFA na ikafanya ikamaliza nje ya no 7 ndipo anaweza kufukuzwa
Ila timu ikifika hata robo finali za UEFA na ikamaliza no. 7 GP tunaye msimu ujao
 
Kante anabaki, Kocha ashirikiane na physical therapist kuhakikisha Kante, James, Fofana hawapati majeruhi za mara kwa mara

1672677064820.png
 
Hata TT asingefaa tuseme ukweli, Timu ilikuwa inazama yeye akiwa Kocha, Utundu wake unaweka mgawanyiko wa wachezaji kwa sababu hawezi funga domo kuwasema wachezaji kwenye vyombo vya habari.

Potter akipewa muda nahari nikatulia atakuwa kocha bora kuliko TT
Watu hawataki kuelewa kuwq shida yetu tunawachezaj ambao ni wafanyakaz hewa.
 
TT alikuwa hawapangi, Galagher alikuwa mkopo, Azpi na RLC walikuwa wanapangwa wachezaji muhimu wakiwa majeruhi na ni mara chache
Sijazungumzia msimu uliopita, msim huu hao wote wameanza kucheza wakat tuchel yupp bado hajafukuzwa,
Game zote hiz hapa Kocha alikuwa Tuchel na Galagher n RLC walikuwq wanaanza
Vs Everton, RLC alianza
Vs leicester,Galagher+Jorg+Rlc
Vs Soton, RLC ameanzs
Vs Leeds,Galagher + Rlc wanaaza
Vs westh ham, galagher,rlc wameanza

Azp anacheza coz ya James kuwa Injury, haijaanza kwa potter tu tangu kwa tuchel.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom