tumchukue na kone atafaa zaidiTuongeze mkataba wa Kante
Tumchukue Moises na Mykhailo basi tusubiri akina Nkunku mwezi wa saba
Anakuja Arsenal ,wanachofanya Shakhtar Ni biding warjino kwa jino na Arsenal kwa Mykhailo
Tusubiri tuoneAnakuja Arsenal ,wanachofanya Shakhtar Ni biding war
, Kwa mujibu wa Telegraph hii ishu Kama ya Raphina tu ,nategemea kesho ,Chelsea kuweka bid ya €100m
Halafu Chelsea mmekuwa na fujo Sana aise
Jamaa wanasema hawawez kutuuzia Bei ndogo Wakati Kuna wachezaji wabovu Kama Anthony na Grealish wameuzwa €100m
Same issue Kama ya RaphinaSias za mpira, Arsenal sio timu ya kupendwa wewe usipumbazwe na siasa za wachezaji Mykhailo anasema hivyo kwa sababu Arsenal ndio ilikuwa kwenye pambano peke yake. Wewe fuatilia Arsenal wakishindwa kumchukua, Chelsea wakiingia atageuza kibao na kluanza kumsifia kocha na timu na project. Wewe hujawahi kuomba ajira
Mimi wakati naomba ajira napeleleza kampuni yenye kuniita kwenye interview halafu naandaa maneno ya kuisifia kampuni ili inipe ajira. So the same kwa hawa wachezaji. Arsenal alikuwa ni prospect employer na ni busara tu katumnia kuisifia ili impatia ajira
ngoja tuoneSias za mpira, Arsenal sio timu ya kupendwa wewe usipumbazwe na siasa za wachezaji Mykhailo anasema hivyo kwa sababu Arsenal ndio ilikuwa kwenye pambano peke yake. Wewe fuatilia Arsenal wakishindwa kumchukua, Chelsea wakiingia atageuza kibao na kluanza kumsifia kocha na timu na project. Wewe hujawahi kuomba ajira
Mimi wakati naomba ajira napeleleza kampuni yenye kuniita kwenye interview halafu naandaa maneno ya kuisifia kampuni ili inipe ajira. So the same kwa hawa wachezaji. Arsenal alikuwa ni prospect employer na ni busara tu katumnia kuisifia ili impatia ajira
leo tunapigwa tu hatuna ujanja yaniChelsea leo tupo pamoja
City anaacha point
ebu nipangie icho kikosi nioneKikosi Cha kushinda mnacho kabisa
wanaset mazingira ili kukuza price ya mchezajiShakhtar wahuni Sana, wanatafuta biding war
Leo wanasema Napoli aliunge na yeye
Shakhtar director Carlo Nicolini:
“Napoli have asked about Mudryk. His price? Look at Antony’s fee. The problem with Italian clubs is that they don’t take the chance when they should. Look at Enzo, Milan could have signed him and now he’s worth 100m”
wanazingua wanafanya biashara iwe na ugumu kisa qnthony ambaye kaja united kuflopWanachonifurahisha hoja Yao Ni Anthony wa man u wanamuona average Sana ,why auzwe €100m![]()
Kwa sababu tu unataka kuweka gap kubwa na City ukaamua kuwa mnafiki waziwaziKikosi Cha kushinda mnacho kabisa
Sidhan kama tunaweza toa 100M, kama kwa Enzo tumeshindwa kulipa RC yake, unahis kweli tutaoa hiyo?? Benfica wanataka €120M ila Vivel ambaye ni Technical director kapeleka 80Anakuja Arsenal ,wanachofanya Shakhtar Ni biding war
, Kwa mujibu wa Telegraph hii ishu Kama ya Raphina tu ,nategemea kesho ,Chelsea kuweka bid ya €100m
Halafu Chelsea mmekuwa na fujo Sana aise
Jamaa wanasema hawawez kutuuzia Bei ndogo Wakati Kuna wachezaji wabovu Kama Anthony na Grealish wameuzwa €100m



Hii issue nishawaambia humu yani hili ni kama saga la Raphinha.Same issue Kama ya Raphina
Mimi huyu mchezaji Sina wasiwasi kabisa ,anakuja Arsenal ,
Hili mnaenda kuaibika Kama kwa Raphina
Yupo Mitandaoni ana like tu Post za Arsenal View attachment 2470072
Mkuu unatupa matumain katika sehem ambayo matumain hayapoKikosi Cha kushinda mnacho kabisa
Wanachonifurahisha hoja Yao Ni Anthony wa man u wanamuona average Sana ,why auzwe €100m![]()





shakhtar wahuni tu wale
yani wameona ndio njia yakupiga pesa,