Tukiwa na kikosi Chetu kamili.Tumefungwa ila atleast leo tumecheza, juhudi zilikuwepo.
1st half tumecheza vizuri shida ni kwenye kushoot hatushoot,
2nd half dakika 20 za mwanzo tuliwaruhusu city, kepa nae mpira wa kudaka ule anauangalia,
Performance ya hiv tuwe tunaiona hata hizi game ndogo.
Zakaria ameongeza kitu kwenye kiungo chetu
Je tutaweza cheza hivi kila game???
Watu hawaoni hili wanaishia kuangalia matokeo Livescore, ila gem za city msimu huu anashinda mara nyingi ila huuoni mpira wake tuliouzoeaIla city wamechoka kweli. Kwa game walioonyesha jana ni ngumu kuwashika Arsenal
Denis Zakaria ameshapata kibali cha mashabiki. Yuko soli, ana composure, anadrible, anazidi kuwa na umiliki mzuri wa mpira zaidi ya Jorginho. Kocha akiendelea kumwamini na kumpanga atakuja kuwa kiungo wa kutegemewa. Hana kiburi kama cha jorginho.
Hata wale akina Carney, Omari na Hall wapewe muda zaidi. Wanabadili taratibu ladha ya uchezaji wa Chelsea
Kocha awahi.ize wanapokuwa final third waonane badala ya kubutua. Kuna mpira jana Hall aliniudhi tena sana kabisa
Jana Chelsea mlikamia game Sana maana kupigwa mara nne mfululizo sio mchezo ,kuanzia kocha ,wachezaji ,wote walikuwa wamekamia na kujitoa sanaa ....Ila city wamechoka kweli. Kwa game walioonyesha jana ni ngumu kuwashika Arsenal
Denis Zakaria ameshapata kibali cha mashabiki. Yuko soli, ana composure, anadrible, anazidi kuwa na umiliki mzuri wa mpira zaidi ya Jorginho. Kocha akiendelea kumwamini na kumpanga atakuja kuwa kiungo wa kutegemewa. Hana kiburi kama cha jorginho.
Hata wale akina Carney, Omari na Hall wapewe muda zaidi. Wanabadili taratibu ladha ya uchezaji wa Chelsea
Kocha awahi.ize wanapokuwa final third waonane badala ya kubutua. Kuna mpira jana Hall aliniudhi tena sana kabisa
Hali ya Chelsea inayopitia ni ngumu sana, tatizo la msingi ni ugeni wa kocha wachezaji na majeruhiChelsea imetumia zaidi ya pound milion 300, lakini inaonekana kuwa bado wapo mbali sana na makombe.... Je tatizo lipo wapi? tujadiliane..
Binafsi naona kocha viatu havimtoshi...
Kocha mzuri huwa hasuburi muda mrefu sana kusuka kikosi, bado nina wasiwasi na uwezo wa huyu kocha. Ana game 3 zijazo akipigwa zote aisee anasepeshwa hakutakuwa na mamna uwekeze kiasi hicho afu usicheze champions league.Hali ya Chelsea inayopitia ni ngumu sana, tatizo la msingi ni ugeni wa kocha wachezaji na majeruhi
Wachezaji wengi hawana Chemistry nzuri, wengine majeruhi. Kocha naye mgeni
Wako desperate... wanataka kila mchezaji hivyo wanapigwa... wachezaji wa kawaida wanauziwa kwa bei ya juu.. ishu ni wana wachezaji wa kawaida wengi.Chelsea imetumia zaidi ya pound milion 300, lakini inaonekana kuwa bado wapo mbali sana na makombe.... Je tatizo lipo wapi? tujadiliane..
Binafsi naona kocha viatu havimtoshi...
Tunaomba msimamo unaoijumuisha Chelsea😂😂
Ukweli Potter uwezo wake mdogo hana tofauti na akina Moyes ameifanya chelsea kuwa timu ya kawaida mno kiasi kwamba mpaka mashabiki wamejikatia tamaaChelsea imetumia zaidi ya pound milion 300, lakini inaonekana kuwa bado wapo mbali sana na makombe.... Je tatizo lipo wapi? tujadiliane..
Binafsi naona kocha viatu havimtoshi...
waingeleza hawana vipaji vya kufundisha soka, huyu jamaa game 3 zijazo atapigwa tu na ataondoka.Ukweli Potter uwezo wake mdogo hana tofauti na akina Moyes ameifanya chelsea kuwa timu ya kawaida mno kiasi kwamba mpaka mashabiki wamejikatia tamaa
Mimi sintajali sana akitimuliwa ila nitajali sana nani atampokeaKocha mzuri huwa hasuburi muda mrefu sana kusuka kikosi, bado nina wasiwasi na uwezo wa huyu kocha. Ana game 3 zijazo akipigwa zote aisee anasepeshwa hakutakuwa na mamna uwekeze kiasi hicho afu usicheze champions league.
Hadi now bado yupo kweli ??Chelsea imetumia zaidi ya pound milion 300, lakini inaonekana kuwa bado wapo mbali sana na makombe.... Je tatizo lipo wapi? tujadiliane..
Binafsi naona kocha viatu havimtoshi...
yupo na timu, jamaa ni mweupe peeee !! bora wangempa walau Gadiola munene angesaidia... 🙂 🙂 🙂Hadi now bado yupo kweli ??