Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mwaka ambao arse8 walikuwa vizuri sisi chelsea tulikuwa vibaya mnoo, angalia msimu ule tunamaliza nafasi ya kumi uko, arse8 alimaliza nazani nafasi ya pili au tatu hivi ..baada ya hapo akaja Conte akafanya kweli. Ivyo msimu ujao naamini tutakuwa na timu bora kabisa ya kusumbua misimu minne au mitano ivi epl.
#CFC💙💙💙
 
Mwaka ambao arse8 walikuwa vizuri sisi chelsea tulikuwa vibaya mnoo, angalia msimu ule tunamaliza nafasi ya kumi uko, arse8 alimaliza nazani nafasi ya pili au tatu hivi ..baada ya hapo akaja Conte akafanya kweli. Ivyo msimu ujao naamini tutakuwa na timu bora kabisa ya kusumbua misimu minne au mitano ivi epl.
#CFC[emoji170][emoji170][emoji170]
Vilio vya nini[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu dogo tushamalizana naye. Na Badiashile naye kwa taarifa zilizopo tayari bado Fernandez
Screenshot_20230101-134823_1672570959971.jpg
 
Exclusive.
Chelsea wamefikia makubaliano na Monaco juu ya Usajil wa Benoit Badiashile kwa ada ya €38M.

Source-David Ornstein
Shida ya chelsea huwa wananunua wachezaji, halafu hutakaa ukamuona huyo mchezaji akicheza. au anatolewa kw mkopo kbs mwisho wa siku wanawauza kw bei ile ile, sasa unajiululiza wanawanunua wa nini.
 
4-3-3 Line up confirmed

Pulisic ------------- Havertz -------------- Sterling

Mount --------------Jorginho -------------Zakaria

Cucurella -----Koulibally -----Silva------Azpilicueta

--------------------Kepa ----------------------

1672587377918.png
 
Mende na Kalabai lake ndio sababu ya Senegal [emoji1211] kusosomekwa goli 3 na mabeberu.
Nyie Mburkenge michezaji yenu ndio chanzo cha matatizo yote ya bara la Afrika kenge maji nyie.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom