Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hapo umezungumzia hela tunatoa lakini vipi kuhusu pato tunaloingiza je lipo sawa au pungufu na hela tunatumia kusajili wachezaji?
Mkuu sahiv tuko debt free, pato lingia kupitia sponsor,broadcasting right etc, vile vile kuna wachezaj watauzwa tu mbeleni ambao hawako katika mipango ya team depend na watakaoingia
 
Tukimalizana na Enzo Fernandez haraka haraka tuamie kwa Joey Veerman. Itapendeza zaidi Enzo na Veerman wakicheza pale kati moja ya viungo bora kabisa kwa sasa, huyo Veerman ana balaa sana ni mzuri pia kwenye kufunga na kutoa pasi za mwisho.

Pia kuna Ibrahim Sangare na Alexis Mac Allister hawa viungo ni wazuri sana. Nimekuwa mfuatiliaji wa michezo pia nawafuatilia wachezaji wengine kwa ukaribu sana. Ligi ya Ureno na Uholanzi inawachezaji wazuri sana ukitulia unapata wachezaji Watamu sana.

Kule Ureno kuna mu Iran anaitwa Mehdi Taremi huyo mwamba ni bonge la Straka ni vile tu ana miaka 30 ila moja ya wachezaji wazuri sana. Na kuna Otavio aisee ni balaa tupu
 
Tajiri wa chelsea Hana mbamba ,Hasara roho pesa makaratasi

Summer na Sasa kashatumia au anakaribia kutumia €550m-600m kwenye usajili tu


Anakaribia kumchukua Enzo Fernandes kwa €127m , tofaut na release clause yake ya €120m

Hajui msamiati NEGOTIATION

FFP isipoingilia Kati Kazi ipo, sio Roman Abromovic au Madrid waliowahi kufanya fujo hivi
FFP inafanya kazi kwa arsenyeto tu....
 
Yajayo yanafurahisha zaidi, eneo lenye shida miaka yote tangu akina Fab waondoke ni hilo hapo
Enzo yuko fit nyuma na kwenye kushambulia, natumaini atasajiliwa na mwingine calibre hiyo hiyo au zaidi
Enzo ni DM
 
Enzo ni DM
Anakaba na ni atacker pia
Central Midfilder au Holding Mildfilder au box to box mildfilder (depending on formation) ni kiungo mwenye majukumu ya kuwalinda mabeki na pia kuwezesha mashambulizi
DM yeye ni kama beki, ana majukumu ya kulinda timu isifungwe, ndio focus yake kuu
Huyo Enzo yeye ni CM anafanya kazi kama ya Kante, box to box kuwachezesha wenzake washambulie na kufunga lakini pia kutoa msaada kwenye defense

Mfano mzuri wa DM ni Declan Rice, huyu jamaa ni mzuri kwenye kulinda lango na mabeki tu sio mzuri kwenye kushambulia

Ngolo Kante wengine wanamuitaga ni DM lakini kwa kusema kweli na kwa uchezaji wake sio DM, yeye ni CM kwa sababu anafanya kazi zote za kukaba, kunyanganya mipira na kutengeneza mashabulizi ambayo ndio natural responsibilities za CM

Kwa kuhitimisha nimeweka line up inayoonyesha hizo positions. Arangement halisi itategemea ni formation ipi inatumika

1672477009785.png
 
Wachezaji walioko Injuries na Return Dates kwa leo 31/12/2022

Total injuries = 7
  1. Reece James, majeruhi ya goti - anarudi tarehe 03/02/2023
  2. Wesley Fofana, majeruhi ya goti - anarudi tarehe 08/01/2023
  3. Ben Chilwell majeruhi ya paja - anarudi tarehe 05/01/2023
  4. N'Golo Kante, majeruhi ya paja -anarudi tarehe 04/03/2023
  5. Ruben Loftus-Cheek, majeruhi ya kwenye kisigino - anarudi tarehe 05/01/2023
  6. Armando Broja - majeruhi ya goti - hakuna muda maalumu wa kurudi
  7. Edourd Mendy - Majeruhi ya bega - anarudi tarehe 1/1/2023
Wengine ambao watachelewa kuwepo kwa sababu ya off ya wiki moja baada ya World Cup ni
  1. Hakim Ziyech - Off for one week - 01/01/2023
  2. Mateo Kovacic - Off for one week - 01/01/2023
  • Carney Chukwuemeka majeruhi- Kaondolewa kwenye injury list
 
Wachezaji walioko Injuries na Return Dates kwa leo 31/12/2022

Total injuries = 7
  1. Reece James, majeruhi ya goti - anarudi tarehe 03/02/2023
  2. Wesley Fofana, majeruhi ya goti - anarudi tarehe 08/01/2023
  3. Ben Chilwell majeruhi ya paja - anarudi tarehe 05/01/2023
  4. N'Golo Kante, majeruhi ya paja -anarudi tarehe 04/03/2023
  5. Ruben Loftus-Cheek, majeruhi ya kwenye kisigino - anarudi tarehe 05/01/2023
  6. Armando Broja - majeruhi ya goti - hakuna muda maalumu wa kurudi
  7. Edourd Mendy - Majeruhi ya bega - anarudi tarehe 1/1/2023
Wengine ambao watachelewa kuwepo kwa sababu ya off ya wiki moja baada ya World Cup ni
  1. Hakim Ziyech - Off for one week - 01/01/2023
  2. Mateo Kovacic - Off for one week - 01/01/2023
  • Carney Chukwuemeka majeruhi- Kaondolewa kwenye injury list
apo recce na chilwell ndo tegemeo[emoji29][emoji29]
 
Naomba safari hii tumalize 5 au 6 ili tushiriki Europa na tubebe tena hiyo ndoo ndogo msimu ujao
 
Kuna watu wanatamani kusema Brighton ni mbovu [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
 
Vasco Da gama wakumbwa na taharuki huku mashabiki na wadau wakiwatupia lawama uongozi kwa kumtoa Andrey Santos kwa bei ya kutupa
Technical error ilianzia pale walipomuajiri Andrey kwa kumpa mkataba wa majaribio wa miaka mitatu (2020)
Ilipofika mwaka huu alikuwa amebakiza mwaka mmoja tu na February Andrey alikuwa na uhuru wa kunegoatiate mkataba bure na timu yeyote. Ndio maan klabu ikaamua kumuuza kwa haraka kwa bei rahisi ili asije akaondoka bure. Sasa mashabiki na wadau wameachwa na butwaa huku wakiulaumu uongozi kwa kumuachia Andrey Santos aondoke kwa bei ya kutupwa ambayo hata haitoshi kusajili mchezaji mwingine wa calibre yake. Wanadai pesa hizo za €12.5m ni pettycash ya ofisi tu kwa ajili ya matumizi madogomadogo. Pundits kwa upande wao wanadai hiyo pesa ni ya charity tu.
Uongozi kwa upande wao wanadai hawakujua ya moyoniu mwa Santos kwani timu kubwa kubwa za Ulaya walikuwa wanamtaka na Santos asingekwua tayari kusaini mktaba mwingine na kuacha mikataba minono ya timu kubwa za Ulaya. Uongozi wa timu inadai kuwa Santos amebakiza miezi sita tu kwenye mkataba wake na hivyo hicho kiasi ni deal bora kabisa. Kiasi hicho inakuwa ni ya tatu kwa mauzo makubwa ambayo Vasco Da Gama wameshawahi kufanya katika historia ya hiyo klabu
 
Wanatamani kisema brighton wabovu, lakini....
Aaaah au basi
images%20(87).jpg
 
Oya wazee kuna huyu dogo Marcus Bettineli mbona huwa hapewi nafasi ya kucheza ? Hivi huwa anacheza nafasi gani huyu ?
Our XI vs Bournemouth
Kepa
James Silva Koulibal Cucu
Jorg
Zach Mount
Sterling Havertz Pulisic

Sub
Bettinelli, Azpilicueta, Chalobah, Humphreys, Gallagher, Hall, Chukwuemeka, Hutchinson, Aubameyang.
 
James ka ameumia dogo Lewis Hall apewe nafasi acheze ,kuna mechi na Man city alipewa nafasi alikiwasha sana na akakosa magoli mawili ,dogo yuko vizuri apewe nafasi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom