Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mazungumzo kuongeza mkataba wa Kante yanaendelea
Sema chochote

FlKLkrPWQA09r00
 
Shida ninayoiona boss wenu ana viashiria hamsikilizi Sana mwalimu, kifupi mwalimu Hana final decision .

Ila huyu Toddy ,anamwaga Sana pesa aisee,

Kwa Enzo Fernandes hapo mmepata mtu , yule Jude mngepigwa mapema Sana

Enzo nimemuona mechi ngumu ,anachafua vzr tu
Mkuu hayo ni mawazo yako, according to report issue nzima ya usajili wa sasa inasimamiwa n mkurugenzi wa ufundi,

Usajili wa sasa Boehly ni mto hela na kunegotiate tu ila issue nzima ya scouting imefanywa recruitment team yetu mpya ndio wanaopendekeza mchezaj based na kocha anahitaj nini

Recruitment team
Christopher Vivel- Technical Director
Lawrance Stewar- Technical director to focus on football globally.
Joe Shield-Co-Director of Recruitment and Talent
Paul Winstanley-Director of Global Talent and Transfers.
Kyle Macaulay- huyu alikuja na potter
 
Mkuu hayo ni mawazo yako, according to report issue nzima ya usajili wa sasa inasimamiwa n mkurugenzi wa ufundi,

Usajili wa sasa Boehly ni mto hela na kunegotiate tu ila issue nzima ya scouting imefanywa recruitment team yetu mpya ndio wanaopendekeza mchezaj based na kocha anahitaj nini

Recruitment team
Christopher Vivel- Technical Director
Lawrance Stewar- Technical director to focus on football globally.
Joe Shield-Co-Director of Recruitment and Talent
Paul Winstanley-Director of Global Talent and Transfers.
Kyle Macaulay- huyu alikuja na potter
Moja ya mashabiki wa Chelsea ,unajibu hoja vzr bila mihemko
 
Mkuu hayo ni mawazo yako, according to report issue nzima ya usajili wa sasa inasimamiwa n mkurugenzi wa ufundi,

Usajili wa sasa Boehly ni mto hela na kunegotiate tu ila issue nzima ya scouting imefanywa recruitment team yetu mpya ndio wanaopendekeza mchezaj based na kocha anahitaj nini

Recruitment team
Christopher Vivel- Technical Director
Lawrance Stewar- Technical director to focus on football globally.
Joe Shield-Co-Director of Recruitment and Talent
Paul Winstanley-Director of Global Talent and Transfers.
Kyle Macaulay- huyu alikuja na potter
Wameanza Kwa kasi
 
Hivi hatuwezi kweli tukakutana na rungu la financial fair play?
Ndio maana wanapatania jinsi ya malipo kwa Enzo ili isikiuke FFP rules.
FFP inaconsider pesa inayolipwa kwa mchezaji iendane na mapato ya timu

AU

Cashout <= Cashin
Pesa inayotoka iwe sawa au chini ya pesa inayoingia kama mapato
Sidhani kama wao wajinga kiasi cha kutozingatia hayo
 
Line Up kuanzia March 23
3-4-3
------------------------Kai Havertz------------------------

----------Mount -------------------------Sterling----------

Chilwell --------Enzo Fernandez------Kante------James

------ Badiashile ------------ Silva ------------ Fofana ------

---------------------------Kepa---------------------------

4-2-3-1
----------------------Datro Fofana---------------------

Mount--------------------Havertz -----------------Sterling

--------------Enzo------Kante-------------

Chilwell ------- Koulibally-------- Silva -------- James

---------------------------Kepa---------------------------
 
Hivi hatuwezi kweli tukakutana na rungu la financial fair play?
Hapana, tuko safe kwenye FFP, sababu sajil nyingi hela hazilipwi kwa wakat mmoja, fofana,nkunku hawa wote hela hailipwi kwa pamoja,hela inalipwa kwa awamu na ndio maana kwa enzo tunataka tuwape benfica zaidi ya releace clause ila upande wa malipo inakuwa different structure, hela inalipwa katika awam ambazo club zote mbili zitakavyokubaliana na si kwa mara moja
 
Binafsi napenda hii kitu itukute, kama ikitokea ina maana tutapigwa Ban katika usajili labda madirisha mawili kama ile Ban iliyo tukuta hapo mwanzo. Kwasasa tusajili wachezaji kwa fujo alafu tupigwe hilo rungu.

Kwann, hilo jambo litasaidia kuwapa muda wachezaji tutakao wasajili pamoja na madogo kutoka akademi. Hapa tutapata kina Mount na James kutoka kwenye akademi yetu wenyewe. Kule akademi kuna wachezaji wazuri ambao wanapaswa kupewa muda kwenye timu kubwa, wachezaji kama Jude Soonsup Bell, Malik Mothersille, Cesare Casadei, Omari Hutchinson, Lewis Hall, Ben Elliot, Bashir Humphreys, Brodi Hughes na wengineo hawa madogo inapaswa wapate muda kwenye timu kubwa.
Hivi hatuwezi kweli tukakutana na rungu la financial fair play?
 
Napenda jins hii winter transfer tulivyosharp, naona hata huko mbelen mambo yatakuwa vizuri.

Mara nyingi sana tumekuwa wazito sana kwenye issue ya usajil na huwa tunajikuta tunaishia kwenye 3rd/4th option.

Dirisha bado halijafunguliwa ila jinsi tunavyoact utasema tuko kwenye deadline day, uzuri sasa hiv ni kwa zile option zetu za 1 tu,. Miaka ya nyuma tulikuwa tunasubir siku za mwisho ndio tunahangaika na option ya 3 huko.
 
Benefica wako tayari kumuuza Enzo january hii
Tatizo wanataka pesa yote kwa sababu wana financial crisis
Kocha (Roger Schmidt) alishasema hatasimama njiani kumzuia mchezaji anayetaka kutoka
Rais wa Benefica naye kasema hatupendi kumuuza Fernandez January ila hatutasimama kumzuia Fernandez asiondoke kama RC itafikiwa

But reports elsewhere suggest the club are already lining up a replacement for Fernandez with Racing Club’s Carlos Alcaraz and Velez Sarsfield’s defensive midfielder Maximo Perrone both on Benfica’s shortlist.

Latest comments from Costa would also suggest Benfica are now preparing for his exit, with the club president admitting they will not stand in his way should the clause be met.

‘We will sell Enzo Fernandez in January only for the €120m clause,’ he told DAZN. ‘We would not like to sell Enzo Fernandez in January, but we are willing to satisfy the boy in the event of an offer of €120m.
 
Binafsi napenda hii kitu itukute, kama ikitokea ina maana tutapigwa Ban katika usajili labda madirisha mawili kama ile Ban iliyo tukuta hapo mwanzo. Kwasasa tusajili wachezaji kwa fujo alafu tupigwe hilo rungu.

Kwann, hilo jambo litasaidia kuwapa muda wachezaji tutakao wasajili pamoja na madogo kutoka akademi. Hapa tutapata kina Mount na James kutoka kwenye akademi yetu wenyewe. Kule akademi kuna wachezaji wazuri ambao wanapaswa kupewa muda kwenye timu kubwa, wachezaji kama Jude Soonsup Bell, Malik Mothersille, Cesare Casadei, Omari Hutchinson, Lewis Hall, Ben Elliot, Bashir Humphreys, Brodi Hughes na wengineo hawa madogo inapaswa wapate muda kwenye timu kubwa.
Nimesoma sehemu kuwa Todd kaifikia mwisho wa matumizi kulingana na rules za FFP, ndio maana sasa wanataka swap deal kwa Badiashile ili wasave pesa kwa ajili ya Enzo. Baad ya hao wawili sidhani tena kama tutasajili hadi Kiangazi
 
Hapana, tuko safe kwenye FFP, sababu sajil nyingi hela hazilipwi kwa wakat mmoja, fofana,nkunku hawa wote hela hailipwi kwa pamoja,hela inalipwa kwa awamu na ndio maana kwa enzo tunataka tuwape benfica zaidi ya releace clause ila upande wa malipo inakuwa different structure, hela inalipwa katika awam ambazo club zote mbili zitakavyokubaliana na si kwa mara moja
Hapo umezungumzia hela tunatoa lakini vipi kuhusu pato tunaloingiza je lipo sawa au pungufu na hela tunatumia kusajili wachezaji?
 
Andrey Santos?
Nimesoma sehemu kuwa Todd kaifikia mwisho wa matumizi kulingana na rules za FFP, ndio maana sasa wanataka swap deal kwa Badiashile ili wasave pesa kwa ajili ya Enzo. Baad ya hao wawili sidhani tena kama tutasajili hadi Kiangazi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom