Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chezaji lenu
IMG_20221121_211636.jpg
 
Bahati nzuri mpaka sahv hamna mchezaji kutoka chelsea aliyepata injury kubwa...Ila mchezaji wako Gabriel Jesus ndo kapata injury ya goti hvyo hatoendelea katika mashindano haya ya WC.. ndo utaamini uchawi na husda zako ni vitu vibaya Sana
Kuna Eddie nketiah aliwatoboa hapo darajani ,umemsahau
 
nketiah ndo mchezaji wa kutishia watu?.....kufunga n kawaida Tu lkn in the long run nyie wenyewe mnajua Mmepata pigo
Si ndio nyie mlikuwa mnadai Jesus hafungi sijui mechi ya 8,

System ya Arsenal haipo kumtegemea CF afunge , Tulishatoka huko,tulikuwa Auba asipofunga tunapotea.,

Jesus akifanyiwa surgery anarudi February means anakosa Mechi 5 , asipofanyiwa surgery anakosa Mechi 2 .

Kwahiyo tutetereke sababu ya mchezaji mmoja Kati ya 11?

Kuwa na heshima na Hawa 10 Basi
 
Si ndio nyie mlikuwa mnadai Jesus hafungi sijui mechi ya 8,

System ya Arsenal haipo kumtegemea CF afunge , Tulishatoka huko,tulikuwa Auba asipofunga tunapotea.,

Jesus akifanyiwa surgery anarudi February means anakosa Mechi 5 , asipofanyiwa surgery anakosa Mechi 2 .

Kwahiyo tutetereke sababu ya mchezaji mmoja Kati ya 11?

Kuwa na heshima na Hawa 10 Basi
Naona nusu ya wachezaji wa Chelsea tiyari Wana injury km ulivyotabiri husda na uchawi vitu vibaya Sana...sahv mnajitetea system haitegemei CF kufunga
 
Reece James leo ameanza mazoezi,pamoja na wachezaj wengine huko Abu dhabi.

Source:Chelsea fc
Hata Kante yumo, injuries wote wamo, bado wako kwenye rehabilitation program

Reece James, Ben Chilwell and Wesley Fofana will join Kante in continuing their recovery with the squad in the Middle East. Summer signing Cesare Casadei, who has impressed for the Blues under-21s since completing a £12million switch from Inter, has also been included in the squad.
 
Angalia habar zq leo mkuu, za kwenye mazoezi
Kule Abudhabi wote wameenda kwa ajili ya mazoezi hata Kante akiwemo, James na Fofana hawakutajwa bado watarudi lini? japo inaonekana wanaweza kurudi ligi itakaporudi. tarehe 27/12
 
Sijakataa kwenda AbuDhabi bali bado wako kwenye rehabilitation na wamesindikizwa na madaktari wao maalumu wa kuwapa mazoezi
Ila leo james ameanza mazoezi na wenzake kwa pamoja na si ya pekee yake.

Fofana,Kante hawa wote bado wapo kwenye rehabilitation ndio maana hata kwenye picture za leo za mazoezini hawamo. Na hawawezi jiunga kwenye mazoezi ya pamoja na wenzao till watakapopona.
 
Ila leo james ameanza mazoezi na wenzake kwa pamoja na si ya pekee yake.

Fofana,Kante hawa wote bado wapo kwenye rehabilitation ndio maana hata kwenye picture za leo za mazoezini hawamo. Na hawawezi jiunga kwenye mazoezi ya pamoja na wenzao till watakapopona.
Taarifa hizo hizo za leo zinadai no confirmation kama hiyo physical drill na wenzake ndio karudi mazoezi au is part of rehabilitation. No formal confirmation bado, it is 50/50
 
Sijakataa kwenda AbuDhabi bali bado wako kwenye rehabilitation na wamesindikizwa na madaktari wao maalumu wa kuwapa mazoezi
James tayari yupo fit ndomaana alikuwepo kwenye mazoezi ya pamoja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom