Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,796
Cheltako chelwowo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, mkuu comments zako kila mahali zinachekesha!Hii timu kuanzia Mashabiki mpka wachezaji wana laana chelnyani kazi kufuga matako tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kutwa kuja jukwaa la Arsenal kupiga keleleMALENGO yenu ni yapi season hii katika EPL?
Tutaendelea kulalamika kwa kila kocha atakaekuja, Tuchel mlimsema anaua vipaj,Timu gani inaocheza kipindi kimoja tu, kipindi cha pili wote wanaanza kuangaika kuzuia katimu kadogo kama ako, potter anaua vipaji vya wachezaji wetu, Chelsea haina wachezaji wa bomvu. Kocha ndo shida hapo. Hamna cha project yoyote hapo
Hawa malengo yao ni kusajili wachesaji tuMALENGO yenu ni yapi season hii katika EPL?