juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Naona mara nyingi sana sajili za pesa kidogo ndio huwa zinatulipa sana, hizi za pesa nyingi mara nyingi tumeishia kupigwa za usoWale WA pauni nyingi waliinunuliwa na Chelsea sina hakika km tumenufaika nao Sana zaidi ya kuishia kuflop au wanashindwa kudeliver km tulivyoexpect..Bora sajili za design hii hapa Chelsea nawapa big up