Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mkuu we ni mbishi, hutak kukubali,
Haina tija mimi nikiwa mbishi au wewe, wote tunajudge kwa kuzingatia kuwa kashiriki kwenye full training na wenzake na au hakuna formal information kuwa kapona. hizi taarifa huwa tunapata kwenye Press Conference ya Head Coach. Reece James alipata majeraha tarehe 21 Oct na ilitegemewa baada ya miezi miwili atarudi kwenye timu. Miezi hiyo miwili ilitarajiwa iishie kwenye tarehe za 20+ Dec. Kama kawahi ilitarajiwa kuwepo na formal ripoti. Kumetokea mara nyingi mchezaji katoka injury na kushiriki kwenye full training na bado asiruhusiwe kucheza na madaktari wa timu hadi awe full recovered. Hata hivyo haimake any advantage kwa ubishi wetu kwani hapa katikatiu bado kuna muda mwingi hadi ligi irejee. Weather amerudi jana au atarudi tarehe za 20+, it will still make 27 Dec kwenye mechi na Bournemouth
 
Mkuu we ni mbishi, hutak kukubali,
Usisahau pia kuwa ubishi ni mtu kupinga jambo huku akijustify kwamba yeye ndio yuko right. Tafiti zinaonyesha kuwa wale wanaowaita wenzao wabishi wanaturn kuwa na wao ni wabishi ukweli unapokuja kuwa kinyume nao
 
Haina tija mimi nikiwa mbishi au wewe, wote tunajudge kwa kuzingatia kuwa kashiriki kwenye full training na wenzake na au hakuna formal information kuwa kapona. hizi taarifa huwa tunapata kwenye Press Conference ya Head Coach. Reece James alipata majeraha tarehe 21 Oct na ilitegemewa baada ya miezi miwili atarudi kwenye timu. Miezi hiyo miwili ilitarajiwa iishie kwenye tarehe za 20+ Dec. Kama kawahi ilitarajiwa kuwepo na formal ripoti. Kumetokea mara nyingi mchezaji katoka injury na kushiriki kwenye full training na bado asiruhusiwe kucheza na madaktari wa timu hadi awe full recovered. Hata hivyo haimake any advantage kwa ubishi wetu kwani hapa katikatiu bado kuna muda mwingi hadi ligi irejee. Weather amerudi jana au atarudi tarehe za 20+, it will still make 27 Dec kwenye mechi na Bournemouth
Reece alitegemea atatudi mwezi huu na ndio maana alikuwa namatumain ya kuwepo kwenye kikosi cha england cha wc, akijua kabisa atakosa games za group stage ila game kuanzia r16 na kuendelea alijua tayar atakuwa ashapona
 
Kitendawili.....
....Tega Tutegue

  1. Akiwa AC Milan alikuwa Kapteni na kuiongoza timu kushinda taji la ligi ya Italia.
  2. Akiwa PSG alikuwa ni beki ghali kuliko wote duniani na kushinda mataji 7 ya ligi ya ufaransa.
  3. Na akiwa Chelsea katika mwaka wake wa kwanza kaiongoza Chelsea kushinda kombe la mabingwa ulaya.
  4. Na sasa anaiongoza vyema timu yake ya taifa kushinda kombe la dunia katika umri wake wa miaka 38
 
Sisi tumerelax kufuatilia kombe la Dunia lakini dada zetu upande wa pili wanatembeza vipigo tu bila huruma

1670325944317.png

1670325799172.png
 
Zifahamu tabia za thread za timu mbalimbali.

1. Manchester United hawa mashabiki wao asilimia kubwa wanaongelea usajili wa mchezaji fulani ukifanyika basi timu yao itakuwa bora. Hii ni trend toka aondoke Ferguson. Bahati mbaya wamesajili sana makocha na wachezaji lakini msiba haujaisha.

2. Manchester city wao ni mashabiki oyaoya, hawaujui mpira bali ni kelele nyingi kwasababu Guardiola anawapa mafanikio. Wengi wao ni wahanga kutoka klabu mbalimbali ambazo hazifanyi vizuri.

3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa uchambuzi wa mpira unaochezwa ndani ya uwanja. Wataalamu wote wa uchambuzi wa soka wapo pale. Pia ndio wanaongoza kupokea kejeli kutokana na kutofanya vizuri kwa misimu mingi ikiwemo kutobeba UCL wala Europa.

4. Chelsea wao thread yao imepambwa na malalamiko. Jamaa kila siku wako na lalamiko jipya. Kwa miaka kumi wamebeba karibu makombe yote makubwa lakini malalamiko hayaishi. Watamlaumu kocha, mmiliki, usajili m-bovu na hata timu pinzani.

5. Liverpool kwenye uzi wao utakuta wanaandika komenti ndefu sana lakini hamna cha maana zaidi ya kuwaongelea FSG, kiburi cha Klopp na majeruhi ya wachezaji. Wachambuzi wao wanapenda pia kutumia viingereza na huwa wanapotea kila timu inapofungwa na kurudi wakishinda.
 
Zifahamu tabia za thread za timu mbalimbali.

1. Manchester United hawa mashabiki wao asilimia kubwa wanaongelea usajili wa mchezaji fulani ukifanyika basi timu yao itakuwa bora. Hii ni trend toka aondoke Ferguson. Bahati mbaya wamesajili sana makocha na wachezaji lakini msiba haujaisha.

2. Manchester city wao ni mashabiki oyaoya, hawaujui mpira bali ni kelele nyingi kwasababu Guardiola anawapa mafanikio. Wengi wao ni wahanga kutoka klabu mbalimbali ambazo hazifanyi vizuri.

3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa uchambuzi wa mpira unaochezwa ndani ya uwanja. Wataalamu wote wa uchambuzi wa soka wapo pale. Pia ndio wanaongoza kupokea kejeli kutokana na kutofanya vizuri kwa misimu mingi ikiwemo kutobeba UCL wala Europa.

4. Chelsea wao thread yao imepambwa na malalamiko. Jamaa kila siku wako na lalamiko jipya. Kwa miaka kumi wamebeba karibu makombe yote makubwa lakini malalamiko hayaishi. Watamlaumu kocha, mmiliki, usajili m-bovu na hata timu pinzani.

5. Liverpool kwenye uzi wao utakuta wanaandika komenti ndefu sana lakini hamna cha maana zaidi ya kuwaongelea FSG, kiburi cha Klopp na majeruhi ya wachezaji. Wachambuzi wao wanapenda pia kutumia viingereza na huwa wanapotea kila timu inapofungwa na kurudi wakishinda.
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
 
Zifahamu tabia za thread za timu mbalimbali.

1. Manchester United hawa mashabiki wao asilimia kubwa wanaongelea usajili wa mchezaji fulani ukifanyika basi timu yao itakuwa bora. Hii ni trend toka aondoke Ferguson. Bahati mbaya wamesajili sana makocha na wachezaji lakini msiba haujaisha.

2. Manchester city wao ni mashabiki oyaoya, hawaujui mpira bali ni kelele nyingi kwasababu Guardiola anawapa mafanikio. Wengi wao ni wahanga kutoka klabu mbalimbali ambazo hazifanyi vizuri.

3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa uchambuzi wa mpira unaochezwa ndani ya uwanja. Wataalamu wote wa uchambuzi wa soka wapo pale. Pia ndio wanaongoza kupokea kejeli kutokana na kutofanya vizuri kwa misimu mingi ikiwemo kutobeba UCL wala Europa.

4. Chelsea wao thread yao imepambwa na malalamiko. Jamaa kila siku wako na lalamiko jipya. Kwa miaka kumi wamebeba karibu makombe yote makubwa lakini malalamiko hayaishi. Watamlaumu kocha, mmiliki, usajili m-bovu na hata timu pinzani.

5. Liverpool kwenye uzi wao utakuta wanaandika komenti ndefu sana lakini hamna cha maana zaidi ya kuwaongelea FSG, kiburi cha Klopp na majeruhi ya wachezaji. Wachambuzi wao wanapenda pia kutumia viingereza na huwa wanapotea kila timu inapofungwa na kurudi wakishinda.
1. Manchester United wanaongoza kwa kiburi na dharau, wanajiskia na kuona kuwa timu yao ndio pekee yenye mafanikio makubwa kuliko zingine
 
3. Arsenal ndio thread inayoongoza kwa Matusi na lugha chafu, mashabiki wao wengi ni wale watoto waliokosa malezi ya pande mbili, bila kusahau pia wengi wao ni madereva wa bodaboda hali inayopelekea bomba la matusi muda wote kua wazi, tena zilivyo Nyani hua zinatukanana zenyewe kwa zenyewe.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom