Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Katika hao hawa watakuwa wamesharudi ligi ikianza
  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Ben Chilwell
  3. Ruben Loftus-Cheek
  4. Wesley Fofana
  5. Reece James
Na watakuwa wamebaki wanne (4) ambao ni
  1. N'Golo Kante - Misuli ya kwenye paja - Kurudi ni 18 Feb 2023
  2. Armando Broja Knee Injury Kurudi hadi msimu uishe
  3. Carney Chukwuemeka Misuli ya kwenye paja - Kurudi haijulikani bado
  4. Cesar Azpilicueta Misuli kuvuta - Kurudi haijulikani bado
Fofana ameumia tena kwenye mechi ya kujipima nguvu Jana Vs Brentford
 
Katika hao hawa watakuwa wamesharudi ligi ikianza
  1. Kepa Arrizabalaga
  2. Ben Chilwell
  3. Ruben Loftus-Cheek
  4. Wesley Fofana
  5. Reece James
Na watakuwa wamebaki wanne (4) ambao ni
  1. N'Golo Kante - Misuli ya kwenye paja - Kurudi ni 18 Feb 2023
  2. Armando Broja Knee Injury Kurudi hadi msimu uishe
  3. Carney Chukwuemeka Misuli ya kwenye paja - Kurudi haijulikani bado
  4. Cesar Azpilicueta Misuli kuvuta - Kurudi haijulikani bado
James jana kacheza friendly match dhidi ya Brentford,

Fofana kaumia tena jana, ila yeye anasema atarejea hiv karibun
 
We inzi badala ya kuamkia dampo unakuja kutuletea kinyaa huku
Nzi siku zote hua hachezi mbali na mzoga.
Hili timu lenu lishakua mzoga, sasa hivi tegemeeni kuona rundo la nzi limekusanyika humu likiung'ong'a mzoga wa marehemu kenge.

Kenge ni kenge tu, Kenge hata akijitutumua vipi hawezi kua mamba.
 
Tunarudi EPL huku tukiwa na majeruhi 9
Chelsea na Leeds United ndio wanaoongoza kwa majeruhi EPL
Kongoro Fc sasa hivi imeshakua ni hospitali ya wangojwa wa mifupa.
tapatalk_1884293064_512x512.jpg
tapatalk_386854997_470x680.jpg
 

Mbappe to 'announce intention to quit' PSG​

Kylian Mbappe is set to announce his plan to quit PSG in a matter of weeks, according to Spanish publication Sport.

They claim the forward "seems to be determined to change scenery" despite recently signing a new deal in Paris.

Real Madrid are firm favourites to sign him.
 
Wesley Fofana kaumia tena kwenye mechi ya siri ya kirafiki na Brentford, Yeye kadai siyo serious
 
Tumpe mitatu anayotaka, hiki ni kifaa kweli kweli halafu tumlete Moises Caicedo acheze naye katika formation ya 4-2-3-1 tutatisha

4-2-3-1
-----------------------Datro Fofana------------------------

Sterling ---------------- Nkunku ----------------------Mount

------------ Caicedo -------------------- Kante ------------

Cucurella----------Koulibally -----------Silva -------- James

------------------------- Kepa -----------------------------

AU
3-4-2-1

-----------------------Datro Fofana------------------------

-----------Sterling------------------------ Nkunku ---------

Chilwell--------- Caicedo --------- Kante ----------- James

-------Cucurella------------Silva ------------ Fofana--------

------------------------- Kepa -----------------------------

 
Jina: Andrey Nascimento dos Santos
Utaifa: Brazil
Umri: Miaka 18
Nafasi: Kiungo
Bei: Paundi 20milioni tu
Klabu anayoichezea: Vasco Dagama
Mji; Rio De Janeiro
Ligi: Brazil
images
Chelsea ikiongeza wabrazili kama watatu au wanne kwenye timu itacheza vizuri zaidi ya inavyocheza sasa. Wabrazili wanakuwaga serious sio kama haya mataifa mengine

1671704855535.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom