Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Huko nyuma nilibisha kuwa Reece James bado hajarecover kabisa nikaambiwa mbishi
Lates news zinasema hivyo, James na Fofana wanajaribu kufanya training na timu lakin bado hawajarecover kabisa. Bado wako kwenye rehabilitation phase
Hii ni kutoka kwa Graham Potter hapo juzi tarehe 7 Dec akiongea na website ya ChelseaFC
‘Reece is not quite fully training but he’s integrating into training along with Wesley,’ he said. ‘Wesley is a little bit further behind but not too far.’
Wachezaj wote wa first team isipokuwa Kante watarudi tarehe 27 Dec
Reece James na Wesley wanajaribu kuintegrate kwenye mazoezi na timu lakini hawako fully recovered. Fofana yuko nyuma kidogo ya James ila by 27 Dec watakuwa wote fit
1670575454568.png
 
Unaweza ukakuta wachezaji kama hawa ndio wanakuja kulipa kuliko wale wa Mil 100. Ana miaka 19 tu na kashafunga magoli 21 na assists 7 msimu huu na bado haujaisha. Atakuja fuata nyayo za Didier Drogba

View attachment 2447747
View attachment 2447749
Wale WA pauni nyingi waliinunuliwa na Chelsea sina hakika km tumenufaika nao Sana zaidi ya kuishia kuflop au wanashindwa kudeliver km tulivyoexpect..Bora sajili za design hii hapa Chelsea nawapa big up
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom