Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mashabiki wenzangu, tumpe muda kocha ajenge timu, tuzoee kufungwa.
 
Ila Sterling mlimsajiri sababu ya jina tu

Mimi naamini Sterling Ni machachari Sana , ila mfumo wa city wa kutengeneza nafasi nyingi ulimbeba Sana ,

Kuna Ferran Torres sikuwahi kumuelewa huyu jamaa ,Ila mfumo wa city ulimbeba Sana ,huyu na Sterling kufunga hattrick ilikuwa kawaida Sana .

Barca akapigwa €58m, kwa Ferran Torres ,Yule mchezaji sijawahi kusikia peak yake Tena
 
Bora hata wangebaki Ermason na Alonso kuliko hako kachalii cucubroiler halafu kaoga balaa.
Pep toka apigwe kwa Grealish amekuwa mbahili ku overpay mchezaji

Aliwaambia Brighton Huyo Cucurella sizidi £40m , Tena hapo mmenipiga ,

Akajitoa akawaachia Chelsea , akaenda kumsajiri Sergio Gomez kutoka anderlech kwa €18m tu
 
Kocha kupewa muda bila club kuwa na smart management ni wastage of time tuu.

Kwa sasa THE BLUES tuna management ya ovyo hata akija PEP ni haitosaidia

Toddy ameshindwa kuajiri watu smart kwenye departments mbalimbali za club.

Timu haina Mkurugenzi wa ufundi, Performance Advisor, head of scouting team.
Pamoja na kocha kupewa mda ambao huenda usitusaidie ila jua hivi vitu muhimu,

Dirisha la January huwezi kulitumia kujenga timu isipo kua unaweza kuongezea wa chezaji wawili au watatu, baada ya kugundua udhaifu wa timu yako uko wapi.

Jambo ambalo mpaka tunaingia break limemshinda potter hatuna mfumo hatuna first 11 hatuna pressing but depressing huwezi kujenga timu nzima kwa diridha moja its impossible

Harry Graham Potter dirisha la Jan hana uwezo wa kushawishi mchezaji mzuri yoyote kujiunga na timu ya Chalsea labda kutoka Brighton, ili tuwe midtable timu vizuri ukiona mwenendo wake, kila mchezaji mzuri angependa ashirki Uefa champions league wakika wa Chelsea kushiriki mwakani bado unasua sua kwahiyo msiwe na matumaini makubwa January

Kila timu ina utamadini culture na philosophy yake, lazima potter ajifunze kutoka na makocha wa nyuma asijifanye kwamba yeye ndo anaanza kujenga timu dressing room itamshinda, tusije tukawa kama Man United ilio tumia zaid ya1bn kwa wachzaji lakini bado inacheza hovyo manaake mpira its not all about players. utapata players ila utashindwa kuwatumia na kukupa matokeo.

Mda ndo mualimu nzuri......

Kunusuru chelsea kwasasa ni kuondoa huyu clueless coach na kuleta mwenye confedence ushawishi na uzoefu, ili aanze na hao wachezaji waliopo kabla ya kuenda sokoni.
 
Pep toka apigwe kwa Grealish amekuwa mbahili ku overpay mchezaji

Aliwaambia Brighton Huyo Cucurella sizidi £40m , Tena hapo mmenipiga ,

Akajitoa akawaachia Chelsea , akaenda kumsajiri Sergio Gomez kutoka anderlech kwa €18m tu
Ukiwa na mkurugenzi wa ufundi kama Txiki na soriano ni ngumu kupigwa, Boehly aliingia kichwa kichwa kwenye usajil atleast now anaanda team ya wakurugenz wa ufundi
 
Mall ni mzuri akicheza katikati ya kiwanja provided bado ni kijana chipukizi pale anapata msaada kwa ma strikers na wingbacks na kocha yoyote mwenye mikakati mzuri huwezi kuweka kijana mpya katika sehemu ya mashambulizi makali Newcastleinajulikana kwa right and left attacks, mkuu mimi sijasomea ukocha ni shabiki tu wapira tena wa chelsea na penda sana kujadili mpira na watu wasio kua na mihemuko hisia kali na makasriko its just a fun to relax and enjoye, nina professional yangu nilio somea,
Uwepo unafuatilia hata team news basi Mzee ... , kocha kwenye team news alisema sterling Na Cucurella walipata illness ambayo ilimfanya sterling asiwepo hata kwenye benchi ingawa Cucurella alikuwa ok kiasi kuweza kufeature ndo akaamua amuanzishe bench..so the only option iliyobaki n huyo dogo tusikurupuke aisee kulaumu tu
 
Uwepo unafuatilia hata team news basi Mzee ... , kocha kwenye team news alisema sterling Na Cucurella walipata illness ambayo ilimfanya sterling asiwepo hata kwenye benchi ingawa Cucurella alikuwa ok kiasi kuweza kufeature ndo akaamua amuanzishe bench..so the only option iliyobaki n huyo dogo tusikurupuke aisee kulaumu tu
Timu hii ni mbovu,hakuna cha majeruhi wala nini ni mbovu
 
Naangalia mechi ya Fulham.

Willan mzee yuko na kiwango bora kuliko Pulisic + Ziyech.
Joao Paulinha ile ndio mido sasa kazi chafu zote inafanya, sisi huku tuko na wauza sura,

Sisi huku kwetu Omar Hutchinson anakipaj ila hapat hata dakika 10, za kucheza, Ten Hag anampa mda garnacho na dogo unaona kabisa anakitu n sio muoga
 
Hii timu inaniumiza sana na kunichafua nyongo , huwa sipati raha kabisa tukiloose games hasa kuloose kifala kama hivi mpira mbooovu .
Yaani back passes 10000000000 ,My goodness .
Kuna baadhi ya wachezaji ni wa hovyo sana. Kuna huyu chalobah ana uwezo mdogo sana.akipata mpira anachojua ni kumpasia kipa, mtamuangalia hata mechi zinazofuta.

Broja ana kasi nzuri, ila akili ya mpira hana. mchezaji anaangalia chini. Badala y kuangalia wa kumpasia.

Kocha ni mwehu, kwa kuendelea kuwapanga hawa vilaza.
 
Kuna baadhi ya wachezaji ni wa hovyo sana. Kuna huyu chalobah ana uwezo mdogo sana.akipata mpira anachojua ni kumpasia kipa, mtamuangalia hata mechi zinazofuta.

Broja ana kasi nzuri, ila akili ya mpira hana. mchezaji anaangalia chini. Badala y kuangalia wa kumpasia.

Kocha ni mwehu, kwa kuendelea kuwapanga hawa vilaza.
Yaani back passes ni ufala timu inatakiwa icheze mpira kwenda mbele si kurudisha nyuma
 
Hii timu hata Baada ya world cup itahangaika Sana

Hakuna Cha majeruhi Wala Nini ,timu ni mbovu

Hao majeruhi mnamuhesabu kante ambaye hata akirudi hawez kucheza mech 2

Majeruhi Ni wawili James na chillisosi
 
Jose Mourinho : "Gareth Southgate anasema Tammy Abraham amekuwa na kiwango kibovu cha Kufunga Magoli kwa wakati usiofaa?... Ni kisingizio gani cha kitoto... Ni lazima ajitokeze moja kwa moja na kusema Tammy si rangi anayoipenda zaidi. Kwa sababu Philips alicheza dakika 56 pekee. na amechaguliwa.Kama mimi ni Tammy, naenda moja kwa moja FIFA kupeleka malalamiko kuwa taaluma yangu ya kimataifa imehujumiwa na nchi nyingine, kwa hiyo nahitaji kibali cha kwenda kuiwakilisha nchi yangu halali ambayo ni Nigeria.Hilo ni pendekezo langu .Nichukie, tayari najua munanichukia ”…
 
IMG_20221113_235323.jpg
 
Makocha WA whatsap sasa hampitwi na Jambo hili swala la hall kuchezeshwa out of position hukuhoji Dhidi ya city jumatano kwenye carabao, Tuchel mwenyewe alishamchezesha kwenye hyo POS game moja ya FA ...au upewe timu nn Mzee
Chelsea ingeshinda angepewa sifa kibao, sasa ameshindwa makosa kibao. hii timu ilishasambaratika wakati inapigwa mnada, sasa majeruhi ndio ikaongeza tatizo. hata angekuwepo TT, matatizo yangekuwa yale yale. wakati wa TT tulikuwa tunafungwa na timu dhaifu, leeds na southampton. GP kaja ikawa the opposite, tunafungwa na 7 kwenda juu
GP amekutana na schedule ngumu miliyoambatana na majeruhi kwa wachezaji muhimu
 
Pamoja na kocha kupewa mda ambao huenda usitusaidie ila jua hivi vitu muhimu,

Dirisha la January huwezi kulitumia kujenga timu isipo kua unaweza kuongezea wa chezaji wawili au watatu, baada ya kugundua udhaifu wa timu yako uko wapi.

Jambo ambalo mpaka tunaingia break limemshinda potter hatuna mfumo hatuna first 11 hatuna pressing but depressing huwezi kujenga timu nzima kwa diridha moja its impossible

Harry Graham Potter dirisha la Jan hana uwezo wa kushawishi mchezaji mzuri yoyote kujiunga na timu ya Chalsea labda kutoka Brighton, ili tuwe midtable timu vizuri ukiona mwenendo wake, kila mchezaji mzuri angependa ashirki Uefa champions league wakika wa Chelsea kushiriki mwakani bado unasua sua kwahiyo msiwe na matumaini makubwa January

Kila timu ina utamadini culture na philosophy yake, lazima potter ajifunze kutoka na makocha wa nyuma asijifanye kwamba yeye ndo anaanza kujenga timu dressing room itamshinda, tusije tukawa kama Man United ilio tumia zaid ya1bn kwa wachzaji lakini bado inacheza hovyo manaake mpira its not all about players. utapata players ila utashindwa kuwatumia na kukupa matokeo.

Mda ndo mualimu nzuri......

Kunusuru chelsea kwasasa ni kuondoa huyu clueless coach na kuleta mwenye confedence ushawishi na uzoefu, ili aanze na hao wachezaji waliopo kabla ya kuenda sokoni.
Ujenzi wa Chelsea ulianza summer iliyopita, January hata tumnunue mmoja bado ni kujenga timu. Bado tunao uwezo wa kumpata au kuwapata wachezaji wazuri January. Kuna kazi inaendelea undergroung muachage wenge. Wako watu wana mapenzi na timu kuliko sisi na wanaweza kupindua meza muda wowote

Sioni Potter akifukuzwa japo najua uvumilivu hautakuwa mkubwa Chelsea ikiendelea kuboronga

Potter alionyesha kubadili falsafa ya ushambuliaji kwe nye mechi za mwanzo pamoja na za UEFA ila kwenye hizi mechi kubwa naona tumezidiwa ujanja na sio kama hawajajaribu, bahati haikuwa kwentu.

Bado naamini GP ni kocha mzuri kwenye attack kuliko TT

Bado pia naamini sehemu kubwa inayohitaji revamp ili Chelsea iweze kuonekana ikishambulia ni viungo wetu wabovu kuliko. Hata huyo Kova wa mwaka huu ni hovyo na hakuna mtu anasema hapa

Tunahitaji viungo new generation watakaobadili jinsi tunavyoshambulia na kufunga magoli

Pia kocha anatakiwa kusisitiza agresiveness kwenye uchezaji

Kila mchezaji anatakiw akuwa agressive huu umlenda mlenda wanaoucheza Chelsea hautatufikisha popote
 
Mall ni mzuri akicheza katikati ya kiwanja provided bado ni kijana chipukizi pale anapata msaada kwa ma strikers na wingbacks na kocha yoyote mwenye mikakati mzuri huwezi kuweka kijana mpya katika sehemu ya mashambulizi makali Newcastleinajulikana kwa right and left attacks, mkuu mimi sijasomea ukocha ni shabiki tu wapira tena wa chelsea na penda sana kujadili mpira na watu wasio kua na mihemuko hisia kali na makasriko its just a fun to relax and enjoye, nina professional yangu nilio somea,
Ni mapema mno kusema Hall ni mzuri akicheza katikati. Kijana kwanza ndio anaanza career yake ya soka, na anacheza nafasi zote mbili za LB na MF. Tumpe muda tujue wapi anafit. Tusiwe wakosaji kuliko hata wale mapundit ambao wengi wao walikuwa wachezaji wazuri kuliko sisi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom