Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Joao Paulinha ile ndio mido sasa kazi chafu zote inafanya, sisi huku tuko na wauza sura,

Sisi huku kwetu Omar Hutchinson anakipaj ila hapat hata dakika 10, za kucheza, Ten Hag anampa mda garnacho na dogo unaona kabisa anakitu n sio muoga
Kaiwezesha MAn U kuondoka ugenini na point zote 3 dk ya 93
 
Pass ya Ericksen kwa Garnacho, hatuna mchezaj yeyote anayeweza piga, zaid ya kupeleka mpira pembeni pale
Nilipohoji Ericksena ni bonge la mchezaji kwa nini Chelsea hawakumsajili nikabezwa hapa na mashabiki plastics wasiofuatilia wachezaji. Watu wakawaona akina Kovacic na Jorginho kuwa ndio mabonge ya viungo kuliko yule mgonjwa.

Ericksena ndio yuko kwenye peak sasa at 30yrs na ameipaiza sana Man U
We angalia goli alilofunga, ile timing na prediction ya wapi mpira utatua kwa wakati gani haipo Chelsea, akina pulisic wanatupotezea muda tu. Napenda sana aina ya Uchezaji wa Ericksen. wataalamu wengi wanasema Spurs hadi leo wameshindwa kumfanyia replacement hata baada ya kucheza timu tatu + majeraha makubwa iliyomlazimu kukaa nje ya mpira kwa almost msimu mzima wa 2021/22
 
Naangalia mechi ya Fulham.

Willan mzee yuko na kiwango bora kuliko Pulisic + Ziyech.
Willian hachezi vizuri kwenye mkataba mrefu, ila mkataba wa mwaka mmoja mmoja atacheza vizuri ili kibarua kisionte ndago au tumemsahau Willian wetu nini?
 
Hii timu hata Baada ya world cup itahangaika Sana

Hakuna Cha majeruhi Wala Nini ,timu ni mbovu

Hao majeruhi mnamuhesabu kante ambaye hata akirudi hawez kucheza mech 2

Majeruhi Ni wawili James na chillisosi
Kuweka akiba ya manenoi ni vyema kama kuweka pesa zako benki
 
Ushauri wangu kwa wakereketwa wa Chelsea
  1. Tuache kuwa makocha bora kuliko GP
  2. Tuache kuwa optimistic kwenye kipindi hichi cha mpito - bado ujenzio unaendelea
  3. Tuache kuwakosoa hawa wachezaji hasa wenye umri mdogo, Havertz alitupa UEFA at 22 na bado anao muda wa kufikia peak yake ambayo italeta manufaa kwa Chelsea, Chalobah ndio kwanza anapata muda ili aje kuwa defender mzuri. Mimi naamini Chalobah is a good defender, wacha arudishe mipira nyuma hadi atakapojiamini. Rudiger alipokuja Chelsea alikuwa hata hawezi kutoa pasi mbali na kumrudishia kipa au CB mwenzako aliye kulia kwake. Ila alipokuja TT alibadilika sana akawa yeye ndie mwalimu na kila kitu kule nyuma
  4. Hawa wachezaji tulionao karibu wote ni wazuri, kilichokosekana hapo ni viungo vichache tu ili pilau inukie vizuri. Ongeza hapo Nkunku na DM mzuri. Ongeza hapo RB/RWB mzuri, wape muda akina Galagher, Broja, Lewis Hall, Fofana, Cucurela, Chunwuemeka, Omar. Utaona Chelsea ya kuotea mbali ikiwaka
  5. KOcha aongoze pressing kwenye style yake ya ufundishaji, wachezaji waache kucheza kimlenda
 
Anakuja huyo January

1668392106329.png
 
Spurs wamemnunua Bentancur kwa €19m Chelsea wangepigwa mil 50
 
Enrick Felipe Vs Armando Broja?

Age: 16yrs
Position: Striker
Release clause: €60m

1668392913205.png
 
CHELSEA FC NA PROJECT UCHWARA

1. Mkurugenzi wa ufundi - Hayupo

2. Performance Advisor - Hayupo

3. Scouting team - Wapumbavu

4. Koulibaly - Mzee (Uwezo umeshuka)

5. Azip - Mzee (Uwezo umeshuka)

6. Auba - Mzee (Uwezo umeshuka)

7. Silva - Mzee (tegemezi)

8. Jorgnho - Mzito, Hana kasi, hawezi kukaba wala kupora mipira

9. Cheek - Uwezo wake ni kucheza crystal Palace/ Kubwa jinga

10. Cucurela - Uwezo wake mdogo, ana mawenge, anatia huruma

11. Kante - Majeruhi Yasioisha

12. Kovacic - Majeruhi Yasioisha

13. Sterling - Mchezaji Waruwaru, faida yake uwanjani ni ndogo kuliko hasara

14. Pulisic - Mtumishi hewa

15. Ziyech - Tumeshindwana

16. Harvetz - Tunapotezeana muda

17. Zakaria - Tatizo la kutokuwa na mechi fitness
Mkuu unauhakika mkurugenz wa ufundi hayupo au unaongea tu hufatilii,
Till now washamuappoint
Laurence Stewart from monaco huku Christopher viviel soon nae anakuwa appointed

Huku tena wakimuappoint Joe Shield kama co-director of recruitment n talent


Kumbuka kuna tofaut kati ya Technical director na Director of football,

Technical director ashaanza kuwa appointed boehly-clearlak wanataka wawe na atleast 3 technical director kwa sababu wanampango wakunua club zingine
Ambao wanategemewa kuwa appointed siku yoyote kutoka sasa ni Christopher Vivel kutoka Liepzig

Upande wa Sporting Director,Boehly-Clearlak wanamtaka Michael Edward, ambae kwa sasa amewaambia yuko mapumziko mpka mwakan mwez wa 6, so kwa upande huo hakuna haraka,
 
Ushauri wangu kwa wakereketwa wa Chelsea
  1. Tuache kuwa makocha bora kuliko GP
  2. Tuache kuwa optimistic kwenye kipindi hichi cha mpito - bado ujenzio unaendelea
  3. Tuache kuwakosoa hawa wachezaji hasa wenye umri mdogo, Havertz alitupa UEFA at 22 na bado anao muda wa kufikia peak yake ambayo italeta manufaa kwa Chelsea, Chalobah ndio kwanza anapata muda ili aje kuwa defender mzuri. Mimi naamini Chalobah is a good defender, wacha arudishe mipira nyuma hadi atakapojiamini. Rudiger alipokuja Chelsea alikuwa hata hawezi kutoa pasi mbali na kumrudishia kipa au CB mwenzako aliye kulia kwake. Ila alipokuja TT alibadilika sana akawa yeye ndie mwalimu na kila kitu kule nyuma
  4. Hawa wachezaji tulionao karibu wote ni wazuri, kilichokosekana hapo ni viungo vichache tu ili pilau inukie vizuri. Ongeza hapo Nkunku na DM mzuri. Ongeza hapo RB/RWB mzuri, wape muda akina Galagher, Broja, Lewis Hall, Fofana, Cucurela, Chunwuemeka, Omar. Utaona Chelsea ya kuotea mbali ikiwaka
  5. KOcha aongoze pressing kwenye style yake ya ufundishaji, wachezaji waache kucheza kimlenda
Ndo nn umeandika hapa ??
 
CHELSEA FC NA PROJECT UCHWARA

1. Mkurugenzi wa ufundi - Hayupo

2. Performance Advisor - Hayupo

3. Scouting team - Wapumbavu

4. Koulibaly - Mzee (Uwezo umeshuka)

5. Azip - Mzee (Uwezo umeshuka)

6. Auba - Mzee (Uwezo umeshuka)

7. Silva - Mzee (tegemezi)

8. Jorgnho - Mzito, Hana kasi, hawezi kukaba wala kupora mipira

9. Cheek - Uwezo wake ni kucheza crystal Palace/ Kubwa jinga

10. Cucurela - Uwezo wake mdogo, ana mawenge, anatia huruma

11. Kante - Majeruhi Yasioisha

12. Kovacic - Majeruhi Yasioisha

13. Sterling - Mchezaji Waruwaru, faida yake uwanjani ni ndogo kuliko hasara

14. Pulisic - Mtumishi hewa

15. Ziyech - Tumeshindwana

16. Harvetz - Tunapotezeana muda

17. Zakaria - Tatizo la kutokuwa na mechi fitness
Eti wapumbavu
 
trossard anauzwa p[aundi mil 20ila Chelsea akitaka kununua bei itaanzia mil 60+
 
‘We need to look at ourselves’ – Conor Gallagher makes honest Chelsea admission after Newcastle defeat #ChelseaFC | Metro
 
trossard anauzwa p[aundi mil 20ila Chelsea akitaka kununua bei itaanzia mil 60+
Achaneni na Trossard, dirisha dogo likifunguliwa tu Ronaldo anakuja kuwapambania ili msishuke daraja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom