hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 18,430
- 26,977
Bado Huyu GP niko naye bega kwa bega maana tatizo ni wachezaji ila Kocha yuko vizuri sana tu.
Tuendelee kutulia wakati wa hatari, na hapa ndipo kipimo cha mashabiki maandazi wanapopatikana...![]()



Bado Huyu GP niko naye bega kwa bega maana tatizo ni wachezaji ila Kocha yuko vizuri sana tu.
Tuendelee kutulia wakati wa hatari, na hapa ndipo kipimo cha mashabiki maandazi wanapopatikana...![]()



Machezaji hayana hata spirit ya kupambana kama kweli yako mchezoni, sasa hivi hata Makolokolo watawatandika Chelsea FC magoli ya kutoshaHawa mafala wameweka mgomo na matokeo yatakuwa haya haya mpaka huyu kichwa maji pooter afukuzwe , hii timu inahitaji makocha strict na tough kuinforce discipline , machezaji yanacheza kama yamet0mbw@ ,mxieew

Huyu hapa shabiki wa mChelemweusi ndio alikua offside.Ushindi wa mchongo ule aliekokota mpira toka kushoto mwa Chelsea alikuwa offside lakini si sababu Chelsea washindwe kuchomoa goli 1 hata kama New Castle alibebwa![]()
Dah ! Mcheleweusi tenaNyie mChelemweusi mpira umewashinda mnaanza kurusha ngumi eti mnawazuia Newcastle wasishangilie ushindi kwenye uwanja wao hivi mnaakili kweli?
Dah, too much humiliation
Mkuu shida washabiki wa Chelsea tulishazoea kupata mabadiliko ya ubingwa wa muda mfupi mara kwa mara, kumbe kila kitabu na zama zake na mambo hubadilika kama ilivyo kwa Barcelona sasa hiviMkuu me huwa niko nakocha yoyote yule atakaekuwepo,,
Kocha hata akiwa Mgunda bado nitamsupport, huwa naamini katika swala la mda,
Naiman hizi siku 28 zijazo Potter ataweza implement Mbinu zake na idea yake,
Mda aliopewa tim ulikuwa ni wakat mbaya sana based na ratiba iliyokuwepo, every 2-3 days uko na game inakuwa ngumu sana kuweka idea zako na mbinu zako
Ila sasa kwa haya mapumziko ya world cup ndio wakat sahihi sasa

Trust the process eti daah mpaka tushuke darajaBado Huyu GP niko naye bega kwa bega maana tatizo ni wachezaji ila Kocha yuko vizuri sana tu.
Tuendelee kutulia wakati wa hatari, na hapa ndipo kipimo cha mashabiki maandazi wanapopatikana...![]()
Dah ! Mcheleweusi tena


pia ukiamua unaweza waita Cheusii. Wanakera sana hawa wachezaji aisee , unajua kuna ile kufungwa lakini inaangalia kwamba timu imecheza kwa kujituma ,kubuni na kusukuma mashambulizi na possession ya kueleweka lakini Chelsea inavyocheza yaani haikupi hata hamu ya kuangalia mpira to be honest ,timu inacheza as if ni timu ya mchangani aisee ,mi sijui hata nieleze vipi ,aliyeangalia hizi game toka game ya Brighton ,Arsenal ,City , Newcastle ataelewa nilichoandika hapaMachezaji hayana hata spirit ya kupambana kama kweli yako mchezoni, sasa hivi hata Makolokolo watawatandika Chelsea FC magoli ya kutosha![]()
Hii timu mi nashindwa kuelewa ,halafu ukiangalia nusu ya wachezaji pale wana number national teams zao ,sasa nashindwa kuelewa ni mbinu za mwalimu ndio zinafail au viburi vya hawa wapuuzpia ukiamua unaweza waita Cheusii.
Hizi ng'ombe zinatakiwa ziendelea kupelekewa moto hivihivi mpaka zitoe samadi ya kutosha ndio zitatia akili.
Ukishajua duniani hatuwezi kupenda kitu kimoja kamwe huwezi kuteseka na Chelsea FCHuyu hapa shabiki wa mChelemweusi ndio alikua offside. View attachment 2414927


Machezaji yanachezak hovyoWanakera sana hawa wachezaji aisee , unajua kuna ile kufungwa lakini inaangalia kwamba timu imecheza kwa kujituma ,kubuni na kusukuma mashambulizi na possession ya kueleweka lakini Chelsea inavyocheza yaani haikupi hata hamu ya kuangalia mpira to be honest ,timu inacheza as if ni timu ya mchangani aisee ,mi sijui hata nieleze vipi ,aliyeangalia hizi game toka game ya Brighton ,Arsenal ,City , Newcastle ataelewa nilichoandika hapa
Hii timu inaniumiza sana na kunichafua nyongo , huwa sipati raha kabisa tukiloose games hasa kuloose kifala kama hivi mpira mbooovu .Ukishajua duniani hatuwezi kupenda kitu kimoja kamwe huwezi kuteseka na Chelsea FC
Ndiyomaana wapo wanaoshabikia Barcelona, wengine Real Madrid, Yanga, wengine Simba,![]()
Nidhamu hamna kwenye ile timu na wameshamuona Porter ni zoba , hata dressing room itamshinda ,tupo hapa mtaona . Hii timu sijui ina jinamizi gani ,we need tough and ruthless managers like Guardiola / Arteta ,a no nonsense / Micky mouse foolishness man can implement real changes la sivyo hata top 10 Chelsea haiingii msimu huu nakwambiaKitu cha maana timu ilichofanya ni kupigana tu mwishoni mwa mechi. Mengine ni kama Fulham
Inaonyesha hii picha uliihifadhi muda mrefu sana, na sasa tumefungwa bc roho yako starehe
Uko sahihi, niliwahi kusema humu matokeo ya mechi zile 8 za awali ni kumkaribisha tu Kocha, lakini baada ya hapo rangi halisi ya Wachezaji imeonekana kuwa kikosi kinatakiwa kusafishwa chote ili tupate kaliba ya wachezaji wanaostahili kiuboraWanakera sana hawa wachezaji aisee , unajua kuna ile kufungwa lakini inaangalia kwamba timu imecheza kwa kujituma ,kubuni na kusukuma mashambulizi na possession ya kueleweka lakini Chelsea inavyocheza yaani haikupi hata hamu ya kuangalia mpira to be honest ,timu inacheza as if ni timu ya mchangani aisee ,mi sijui hata nieleze vipi ,aliyeangalia hizi game toka game ya Brighton ,Arsenal ,City , Newcastle ataelewa nilichoandika hapa