Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hawa mafala wameweka mgomo na matokeo yatakuwa haya haya mpaka huyu kichwa maji pooter afukuzwe , hii timu inahitaji makocha strict na tough kuinforce discipline , machezaji yanacheza kama yamet0mbw@ ,mxieew
Machezaji hayana hata spirit ya kupambana kama kweli yako mchezoni, sasa hivi hata Makolokolo watawatandika Chelsea FC magoli ya kutosha
 
Ushindi wa mchongo ule aliekokota mpira toka kushoto mwa Chelsea alikuwa offside lakini si sababu Chelsea washindwe kuchomoa goli 1 hata kama New Castle alibebwa
Huyu hapa shabiki wa mChelemweusi ndio alikua offside.
tapatalk_386854997_470x680.jpg
 
Mkuu me huwa niko nakocha yoyote yule atakaekuwepo,,

Kocha hata akiwa Mgunda bado nitamsupport, huwa naamini katika swala la mda,

Naiman hizi siku 28 zijazo Potter ataweza implement Mbinu zake na idea yake,

Mda aliopewa tim ulikuwa ni wakat mbaya sana based na ratiba iliyokuwepo, every 2-3 days uko na game inakuwa ngumu sana kuweka idea zako na mbinu zako

Ila sasa kwa haya mapumziko ya world cup ndio wakat sahihi sasa
Mkuu shida washabiki wa Chelsea tulishazoea kupata mabadiliko ya ubingwa wa muda mfupi mara kwa mara, kumbe kila kitabu na zama zake na mambo hubadilika kama ilivyo kwa Barcelona sasa hivi
 
Machezaji hayana hata spirit ya kupambana kama kweli yako mchezoni, sasa hivi hata Makolokolo watawatandika Chelsea FC magoli ya kutosha
Wanakera sana hawa wachezaji aisee , unajua kuna ile kufungwa lakini inaangalia kwamba timu imecheza kwa kujituma ,kubuni na kusukuma mashambulizi na possession ya kueleweka lakini Chelsea inavyocheza yaani haikupi hata hamu ya kuangalia mpira to be honest ,timu inacheza as if ni timu ya mchangani aisee ,mi sijui hata nieleze vipi ,aliyeangalia hizi game toka game ya Brighton ,Arsenal ,City , Newcastle ataelewa nilichoandika hapa
 
pia ukiamua unaweza waita Cheusii.
Hizi ng'ombe zinatakiwa ziendelea kupelekewa moto hivihivi mpaka zitoe samadi ya kutosha ndio zitatia akili.
Hii timu mi nashindwa kuelewa ,halafu ukiangalia nusu ya wachezaji pale wana number national teams zao ,sasa nashindwa kuelewa ni mbinu za mwalimu ndio zinafail au viburi vya hawa wapuuz
 
Chelzuzu,cheltako wowowo chelchuchu hv hamjui kubana mnaachia mtajapata mimba za utotoni nimewakanya tu kama vip mliwe tu
 
Wanakera sana hawa wachezaji aisee , unajua kuna ile kufungwa lakini inaangalia kwamba timu imecheza kwa kujituma ,kubuni na kusukuma mashambulizi na possession ya kueleweka lakini Chelsea inavyocheza yaani haikupi hata hamu ya kuangalia mpira to be honest ,timu inacheza as if ni timu ya mchangani aisee ,mi sijui hata nieleze vipi ,aliyeangalia hizi game toka game ya Brighton ,Arsenal ,City , Newcastle ataelewa nilichoandika hapa
Machezaji yanachezak hovyo
 
Ukishajua duniani hatuwezi kupenda kitu kimoja kamwe huwezi kuteseka na Chelsea FC

Ndiyomaana wapo wanaoshabikia Barcelona, wengine Real Madrid, Yanga, wengine Simba,
Hii timu inaniumiza sana na kunichafua nyongo , huwa sipati raha kabisa tukiloose games hasa kuloose kifala kama hivi mpira mbooovu .
Yaani back passes 10000000000 ,My goodness .
 
Kitu cha maana timu ilichofanya ni kupigana tu mwishoni mwa mechi. Mengine ni kama Fulham
Nidhamu hamna kwenye ile timu na wameshamuona Porter ni zoba , hata dressing room itamshinda ,tupo hapa mtaona . Hii timu sijui ina jinamizi gani ,we need tough and ruthless managers like Guardiola / Arteta ,a no nonsense / Micky mouse foolishness man can implement real changes la sivyo hata top 10 Chelsea haiingii msimu huu nakwambia
 
Wanakera sana hawa wachezaji aisee , unajua kuna ile kufungwa lakini inaangalia kwamba timu imecheza kwa kujituma ,kubuni na kusukuma mashambulizi na possession ya kueleweka lakini Chelsea inavyocheza yaani haikupi hata hamu ya kuangalia mpira to be honest ,timu inacheza as if ni timu ya mchangani aisee ,mi sijui hata nieleze vipi ,aliyeangalia hizi game toka game ya Brighton ,Arsenal ,City , Newcastle ataelewa nilichoandika hapa
Uko sahihi, niliwahi kusema humu matokeo ya mechi zile 8 za awali ni kumkaribisha tu Kocha, lakini baada ya hapo rangi halisi ya Wachezaji imeonekana kuwa kikosi kinatakiwa kusafishwa chote ili tupate kaliba ya wachezaji wanaostahili kiubora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom