Wakati nyie mnaendelea kumlaumu kocha na wachezaji, binafsi naendelea kulaumu management ya club.
Swali:- Nani alishauri au kupendekeza wasajiliwe Fofana, Koulibaly, Zakaria, Auba, Cucurela na Sterling?
Swali:- Nani alishauri Lukaku na timo Werner waondolewe na Ziyech, Azip na Pulisic wakaachwa kikosini?
Yalikuwa na mapendekezo/Ushauri wa Tuchel, Marina, Peter Cech, Toddy, Scouting team au madalali wa mjini?
Kwa sababu Chelsea mbovu tuliyo nayo kwa sasa, tatizo limeanzia hapa kwenye maamuzi ya ovyo yaliyofanywa na management sokoni