juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,976
- 5,463
Hakuna Kocha aliyekuwa anaipenda hii tim kama tuchel, Angeweza ondoka wakat tuko kwenye sanction ila akabaki,You Will Never Value What You Get Until You Loose It.View attachment 2414942
Hakuna Kocha aliyekuwa anaipenda hii tim kama tuchel, Angeweza ondoka wakat tuko kwenye sanction ila akabaki,You Will Never Value What You Get Until You Loose It.View attachment 2414942
Kabisa yani hilo lipo waziHakuna Kocha aliyekuwa anaipenda hii tim kama tuchel, Angeweza ondoka wakat tuko kwenye sanction ila akabaki,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmebanduliwa *****Duh Hii timu yeti ni Zaidi ya majanga sasa
TakatakaDuh Hii timu yeti ni Zaidi ya majanga sasa
Bora nyie ile £250m mmeokotapo Lisandro ,na babu CasemiroCheusii Fc sasa hivi sio timu tena bali ni kigenge cha madalali/wapiga dili kipindi cha usajili.
Sijaona bado kikosi cha £300m kwenye hii timu, inasemekana kipindi cha usajili kuna watu walikua wanatoka na mifuko ya sandarusi utadhania ni wale maharamia wa skendo ya IPTL.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu leo kichapo kipo pale pale sioni tukishinda hii mechi
MAUHARO KAMA MAUHARO,yaani muendelee KUGONGWA mpaka huko mnakogongwa kuote kutu mamamaeDuh Hii timu yeti ni Zaidi ya majanga sasa