Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Cheusii Fc sasa hivi sio timu tena bali ni kigenge cha madalali/wapiga dili kipindi cha usajili.
Sijaona bado kikosi cha £300m kwenye hii timu, inasemekana kipindi cha usajili kuna watu walikua wanatoka na mifuko ya sandarusi utadhania ni wale maharamia wa skendo ya IPTL.
 
images%20(17).jpg
 
Cheusii Fc sasa hivi sio timu tena bali ni kigenge cha madalali/wapiga dili kipindi cha usajili.
Sijaona bado kikosi cha £300m kwenye hii timu, inasemekana kipindi cha usajili kuna watu walikua wanatoka na mifuko ya sandarusi utadhania ni wale maharamia wa skendo ya IPTL.
Bora nyie ile £250m mmeokotapo Lisandro ,na babu Casemiro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom