Mpira wa uleya hasa Epl mikataba haina nguvu bila matokeo namaelewano mazuri na wa chezaji hata angepewa miaka kumi bila kushinda mechi muhimu atakua sacked ndani ya mwaka moja,Na mna bahati mbaya Todd Boehl ana tabia ya kutoa mikataba mirefu na Potter amepewa kandarasi ya miaka mi5 na wamesisitiza kuwa Potter hatafukuzwa regardless na position atakayomaliza msimu huu.
Hapo kwanza ncheke!![]()
NoNa mna bahati mbaya Todd Boehl ana tabia ya kutoa mikataba mirefu na Potter amepewa kandarasi ya miaka mi5 na wamesisitiza kuwa Potter hatafukuzwa regardless na position atakayomaliza msimu huu.
Hapo kwanza ncheke!šš
Na mna bahati mbaya Todd Boehl ana tabia ya kutoa mikataba mirefu na Potter amepewa kandarasi ya miaka mi5 na wamesisitiza kuwa Potter hatafukuzwa regardless na position atakayomaliza msimu huu.
Hapo kwanza ncheke!šš
Sex football,
Alichokisema itakuwa tofauti na atakachokifanya. Tuombe Mungu Potter asiperform vibaya. Boehly hana uvumilivu. Mazingira ya kutimuliwa TT inatoa picha halisi. Kama Chelsea ikimaliza ligi nje ya 6 na UCL isifike mbali na kwenye vikombe vidogo Chelsea ikatolewa mapema, Potter hatakuwa na kibaruaMpira wa uleya hasa Epl mikataba haina nguvu bila matokeo namaelewano mazuri na wa chezaji hata angepewa miaka kumi bila kushinda mechi muhimu atakua sacked ndani ya mwaka moja,
Boehl hata weza kuhimili pressure kutoka kwa mashabiki na share holder wengine, na atakua ana risk anguko la biashara ya timu kwa hivo hiyo sio grantee ya potter kutoleta matokeo.
Man U ilikuwa bado mbovu imewafunga 3 mkikutana na hii Man U inayoendelea kuimarika na kuelewana mtafungwa 7Wewe ulishinda Ila unajua mpira niliokutandazia ,Shukran kwa Counter attack, shukuru pia kukosekana Partey na Elneny ,maana 3rd option Lokonga Ndiye alikamata Dimba ,
From the 15th minute to the end of the half these were the key stats.
6 ā Shots for Arsenal, 3 for United
0.4 ā Expected goals for Arsenal, 0.25 for United
203 ā Passes attempted by Arsenal, 86 for United
65 ā Final third passes for Arsenal, 9 for United
11 ā Passes completed into the box for Arsenal, 1 for United.
The start of the second half was more of the same. Here were the stats up to Sakaās equalizer from the start of the second half.
3 ā Shot for Arsenal, 0 for United
0.6 ā Expected goals for Arsenal, 0 for United
120 ā Passes attempted by Arsenal, 36 for United
37 ā Final third passes for Arsenal, 0 for United
3 ā Passes completed into the box for Arsenal, 0 for United.
Arsenal continued to apply pressure, eventually getting a deserved goal. At this point Arsenal could have switched things up, going more conservative looking to escape for a point but Arteta I think rightly saw that Arsenal had over the course of the match been the better team and thought that all three points were there for the team.
TUNAKUKARIBISHA EMIRATES ROUND YA 2 , LIKE LAST SEASON
Duh hii man u imeimarika Nini ? Au sababu aliwakimbizen mchakamchaka nyie wabovu ?Man U ilikuwa bado mbovu imewafunga 3 mkikutana na hii Man U inayoendelea kuimarika na kuelewana mtafungwa 7

Chelsea lazima mna matatizo sio Bure , Tusubiri marudiano hao academy wenu mnaowaringia watakuwa wamekata beringi nani asiyewajua Arsenal nguvu za soda weee. mtafyata mikia na kupotea kwenye jukwaaDuh hii man u imeimarika Nini ? Au sababu aliwakimbizen mchakamchaka nyie wabovu ?
Me naona lengo ilikuwa ni kuattack na kuwafanya brighton wasijarib kupress kuanzia juu, kwa kuanza na pulisic n sterling kama wingback na kuwa na idadi kubwa kwenye kushambulia.Angeweka formation inayoendana na wachezaji waliopo. Mfano 433 ingesaidia Azpi kwenye Rb hana shida sana hivyo hivyo cucu kwenye LB hana shida kwa sababu hao full backs watalindwa na midle. Hii ya 343 inahitaji wingbacks agressive na wenye uwezo mkubwa wa kucover distance kubwa. Kwenye 433 akina sterling na pulisic wangecheza comfortably as wingers na sio kuhangaika kukaba kila saa.. Brighton waligundua hiyo weakness na kutushambulia tusipate muda wa kushambulia. Halafu kwa nini asimjaribu Denis?
Ni vyema kwenye EPL kubaki kwenye reality, hilo Potter aliona ni kosa na amekiri na hatarudia tena. Kumfanya Sterling na Pulisic wawe wanashambulia tu ni kuacha void kubwa huku nyuma na huo udhaifu Brighton waliligundua wakajengea hapo. Hilo kosa pia lilifanywa walipocheza na RB Salzburg ndio maana mimi nilisema Chelsea walionekana kucheza vizuri kwa sababu Salzburg walikuwa wabove, hawapress, walikuwa wanategemea kufanya counter tuMe naona lengo ilikuwa ni kuattack na kuwafanya brighton wasijarib kupress kuanzia juu, kwa kuanza na pulisic n sterling kama wingback na kuwa na idadi kubwa kwenye kushambulia.
Anyway kila kocha huwa anatake risk, Klopp kila siku anataka risk,Pep vile vile
Game ya brighton nafas tulicreat ni vile tu player wetu nao huwa hawako makini + wanaonekana wakishatanguliwa hawana uwezo wa kutafuta magol
Yani kwa team zingine vile mmepata goal 1, ndio kwanza nguvu inaongezeka ya kutafuta goal jingine ila sisi ni tofauti kabisa.