lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,490
Mechi za UCL leo Group E sio rahisi hata kidogo
Japo matokeo hayana madhara kwa Chelsea ila kama Chelsea inataka kushinda kwa kulipiza kisasi na kulinda heshima ya daraja, Dinamo hawatakuwa warahisi kwa sababu ushindi kwao ni muhimu ili hata waende Europa huku wakliamini AC Milan lazima wawafunge Salzburg ili waqualify kwenda round of 16
Japo matokeo hayana madhara kwa Chelsea ila kama Chelsea inataka kushinda kwa kulipiza kisasi na kulinda heshima ya daraja, Dinamo hawatakuwa warahisi kwa sababu ushindi kwao ni muhimu ili hata waende Europa huku wakliamini AC Milan lazima wawafunge Salzburg ili waqualify kwenda round of 16
