juan david
JF-Expert Member
- Jan 23, 2013
- 3,952
- 5,438
Kila shabiki anatamani kuona team yake ikichukua makombe na kuwa na mwendelezo mzuri,
Chelsea yetu tunashinda cups sawa ilq kwenye long marathon tushapoteana, kwa sababu tunapenda vitu vya mda mfupi ila vya mda mrefu hatutaki.
Mara ya mwisho kuchukia premier league ni 2016/17, kuwin premier league ya sasa unahitaj uwe na plan inayoeleweka.
Kuwin premier haitako ushinde game 5 mfululizo, bali inahitaj ushinde 8+ games mfululizo,
Ukiangalia wakat wa Conte baada ya kupoteza game 2 dhid ya Arsenal.n Liverpool tukaenda cheza game 14 kama sijakosea bila kupoteza, hivyo ndio mabingwa wanavyocheza na si kila baada ya game 5 upoteze au udraw hapana,
Sisi tim yetu hii haiwez cheza hata game 5-6 tunashinda mfululizo katika league hatuwezi,
Tuamini katika project ya kocha tulionayo timua timua ya makocha haiwez itufanye tuwe stable.kizaz tulichonacho sio cha kina Lamps/terry,/dd/hazard/cech etc hichi cha sasa hakina mafighter o viongozi,
Now tuanze upya na tuandae tim ya ushindani itakayoweza pigania premier leaguer n other trophy kila msim sio tunaanza league tunakuwa na mawazo ya top 4, au msim huu tuko vizuri msim ujao tuko vibaya,
Tuangalie city,liverpool ya mism iliyopita, hata now Arsenal jins wanavyocheza unaona kabisa kina kitu wanakitafuta msim huu hawa wote walikuwa na project.
City ilihataj msim mmoja tu kwa guardiola kuweka project yake ikae kilichofata hapo ni kila msim kuongeza quality za wachezaj na kutatua mapunguf kwenye tim yake hichi ndicho kitu kilichoiyumbisha liverpool msim huu
Chelsea yetu tunashinda cups sawa ilq kwenye long marathon tushapoteana, kwa sababu tunapenda vitu vya mda mfupi ila vya mda mrefu hatutaki.
Mara ya mwisho kuchukia premier league ni 2016/17, kuwin premier league ya sasa unahitaj uwe na plan inayoeleweka.
Kuwin premier haitako ushinde game 5 mfululizo, bali inahitaj ushinde 8+ games mfululizo,
Ukiangalia wakat wa Conte baada ya kupoteza game 2 dhid ya Arsenal.n Liverpool tukaenda cheza game 14 kama sijakosea bila kupoteza, hivyo ndio mabingwa wanavyocheza na si kila baada ya game 5 upoteze au udraw hapana,
Sisi tim yetu hii haiwez cheza hata game 5-6 tunashinda mfululizo katika league hatuwezi,
Tuamini katika project ya kocha tulionayo timua timua ya makocha haiwez itufanye tuwe stable.kizaz tulichonacho sio cha kina Lamps/terry,/dd/hazard/cech etc hichi cha sasa hakina mafighter o viongozi,
Now tuanze upya na tuandae tim ya ushindani itakayoweza pigania premier leaguer n other trophy kila msim sio tunaanza league tunakuwa na mawazo ya top 4, au msim huu tuko vizuri msim ujao tuko vibaya,
Tuangalie city,liverpool ya mism iliyopita, hata now Arsenal jins wanavyocheza unaona kabisa kina kitu wanakitafuta msim huu hawa wote walikuwa na project.
City ilihataj msim mmoja tu kwa guardiola kuweka project yake ikae kilichofata hapo ni kila msim kuongeza quality za wachezaj na kutatua mapunguf kwenye tim yake hichi ndicho kitu kilichoiyumbisha liverpool msim huu
