Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ila Potter Ni Kocha mzuri hata kimbinu ,Chelsea ilishakuwa butu kufunga , niliwahi kusema humu nikashambuliwa ,Chelsea ushindi wao chini ya Tuchel msimu huu ilikuwa 1-0,1-1,2-1,0-0,

Ila Potter ka unlock Attacking , Sijui man u wanakwama wapi kupata makocha Kama Potter, Yule kipara wao anashinda lkn dah unaona kabisa JINI KATOKA MGANGA HOI.
Mech na everton magoli yote mawili Ni Baada ya Gueye na Iwobi kukosea pass , ila Sio Kwamba eti Man u ya kipara unaona kabisa mipango ya kutafuta goli, do za mwisho Man u akapaki Basi🤣🤣(+_+)

Sio Kwamba ana wachezaji wabaya ila naamini Ten hag uwezo mdogo ,anayebisha nipo tayari kwa mjadala

Kwasasa Chelsea ya Potter lazima tuiangalie kwa makini , nabadili Kauli , 🤣🤣

Chelsea ya Tuchel ilikuwa inatabilika , inarukaruka tu,

Lakini Potter timu yake in flow , Ten hag anasubiri miujiza dk 90 aone kasshinda,

Kwasasa Naiona Chelsea kwenye Challenge pale juu .
Mkuu umeongea facts sana
 
Man u hawawez kuelewa wanadai anajenga timu , wanadai mbona Klopp kachukua misimu mitatu,, Sijui Arteta kachukua muda, 🤣🤣

Wanasahau hao Ni sababu ya bajeti zao ndio zimevuta muda

Kama Klopp msimu wa Kwanza angepewa £250m ,msimu wa 2 angepigania mataji makubwa , mfano mzuri Pep , msimu wakwanza kafanya usafi ,wapili kawekewa Mzigo timi ikatembea , Klopp msimu wa 3 ndio alipewa kibunda £180m

Arteta msimu wa Kwanza kapewa £70m, wa pili £150m watatu huu £120m

Hawa kweli Ni sawa kujenga timu kwa muda maana bajeti inatoka mdogomdogo

Ten hag kapewa £250m kaenda kumnunua Casemiro 70 ambaye anaonekana haendan na mfumo wake, kamnunua MALACIA ,Sasa hivi karudi kwa Shaw ambaye alimuona hafai

Cha ajabu timu inacheza Kama Burney ya Sean Dyche.

Tuchel alifukuzwa maana huwez kutumia £230m halafu timi haipati magoli
Denis Zakaria alikuwa kama emergency maana chaguo la kwanza alikuwa ni Edson Alvarez wa Ajax dakika za mwisho kabisa Ajax wakagoma kumuuza tukiwa tayari tumeshakubaliana na mchezaji mwenyewe.Ila niwaambie kitu Aaron Arsenal na hamis77 sisi Chelsea faida yetu ni kitendo Cha kusajili wachezaji nyota hii umetusaidia Sana kiasi ambacho hata kocha mwingine akija anafaida ya kukuta wachezaji wazuri mfano Conte kaja Chelsea ikiwa tuna Costa, Fabregas,Hazard, Oscar, Willian, Matic n.k ndio maana imemrahisishia kuchukua ubigwa. Kuna Wachezaji tayari ni mipango ya Team kuwasajili dirisha la January na Summer bila hata kujali kama GP anawataka au lah! Ambao ni Nkunku pamoja na Josko gvardiol hivi kweli kea kocha mzuri anawakataa vipi hao kuna wakati Chelsea haifuati matakwa ya kocha inaangalia quality ya mchezaji
 
Man u hawawez kuelewa wanadai anajenga timu , wanadai mbona Klopp kachukua misimu mitatu,, Sijui Arteta kachukua muda,

Wanasahau hao Ni sababu ya bajeti zao ndio zimevuta muda

Kama Klopp msimu wa Kwanza angepewa £250m ,msimu wa 2 angepigania mataji makubwa , mfano mzuri Pep , msimu wakwanza kafanya usafi ,wapili kawekewa Mzigo timi ikatembea , Klopp msimu wa 3 ndio alipewa kibunda £180m

Arteta msimu wa Kwanza kapewa £70m, wa pili £150m watatu huu £120m

Hawa kweli Ni sawa kujenga timu kwa muda maana bajeti inatoka mdogomdogo

Ten hag kapewa £250m kaenda kumnunua Casemiro 70 ambaye anaonekana haendan na mfumo wake, kamnunua MALACIA ,Sasa hivi karudi kwa Shaw ambaye alimuona hafai

Cha ajabu timu inacheza Kama Burney ya Sean Dyche.

Tuchel alifukuzwa maana huwez kutumia £230m halafu timi haipati magoli
Arsenal bana, kumbe iliyokuwa inawafanya muongee utumbo ni stress za kufungwa. Sasa timu inashhinda mechi mmegeuka kuwa mapadre na watumishi wa Bwana wenye kuongea maneno iliyojazwa munyu. Hongereni na karibuni darajani. Wale watukanaji wote wa Arsenal hawapo tena
 
Arsenal bana, kumbe iliyokuwa inawafanya muonge utumbo ni stress za kudungwa. Sasa timu inashhinda mechi mmegeuka kuwa mapadre na watumishi wa Bwana wenye kuongea maneno iliyojazwa munyu. Hongereni na karibuni darajani. Wale watukanaji wote wa Arsenal hawapo tena
Lin Arsenal walitukana ? Kuna watukanaji kuliko mashabik wa Chelsea wakiongozwa na ollachuga?
 
Naona now back pass, zimepungua tuko more direct now na vertical pass, n sharp katika kushambulia.

Goal la pulisic vs Wolves na goal la Auba vs Milan jana unaona kabisq wqcheza wanajaribu bilq hata kuogopa kitu ambacho mwanzon ni kama walikuwa wanaogopa na wanacheza kwa kuenjoy mpira wao

Natumai tutaendelea kuimarika kadri siku zinavyozidi kwenda,
Wale waliokuwa wanamponda GP wako wapi. Mara hana uzoefu na timu kubwa, mara hana uzoefu wa UEFA ni mara yake ya kwanza, mara Mwingereza huyo waingereza hawana rekodi ya kichukua makombe. Na blaa blaa nyingi. Wanasubiri ateleze waje na dharau
 
Acha kubisha wanajulikana
🤣🤣Mimi binafsi nadra Sana kutukana , tatizo mashabik hatupend Ukweli hasa ukisemwq na wapinzan,

Mimi nilikuwa nawaponda humu na sikuwaona hata top 6 Kama mngeendelea na tuchel

Ila GP Mimi namkubali kitambo, Kama utagundua Mimi Ni muumini wa mpira mzuri, Sex football, ndio maana sikuwahi kumkubali Unai emery pale arsenal .

Now ndio maana napingana Sana na mashabiki wa man u wanaomuona ten hag bonge la kocha wakati anacheza mpira wa ujanja ujanja
 
Wale waliokuwa wanamponda GP wako wapi. Mara hana uzoefu na timu kubwa, mara hana uzoefu wa UEFA ni mara yake ya kwanza, mara Mwingereza huyo waingereza hawana rekodi ya kichukua makombe. Na blaa blaa nyingi. Wanasubiri ateleze waje na dharau
Cc Olarchuga ktk mechi ya kwanza tu Chelsea FC ilipodroo na Salzburg FC
 
Mimi binafsi nadra Sana kutukana , tatizo mashabik hatupend Ukweli hasa ukisemwq na wapinzan,

Mimi nilikuwa nawaponda humu na sikuwaona hata top 6 Kama mngeendelea na tuchel

Ila GP Mimi namkubali kitambo, Kama utagundua Mimi Ni muumini wa mpira mzuri, Sex football, ndio maana sikuwahi kumkubali Unai emery pale arsenal .

Now ndio maana napingana Sana na mashabiki wa man u wanaomuona ten hag bonge la kocha wakati anacheza mpira wa ujanja ujanja
Mbona pale Ajax Ten Hag alikuwa mzuri tu na mpira ulikuwa unapigwa kisawa sawa, shida ni nini haswa akiwa sasa hivi Old Trafford
 
Mbona pale Ajax Ten Hag alikuwa mzuri tu na mpira ulikuwa unapigwa kisawa sawa, shida ni nini haswa akiwa sasa hivi Old Trafford
Ajax Kama Ajax Wana falsafa yao ,halafu Ligi laini,

Style anayotaka kuiweka man u asilimia kubwa haiendan na wachezaji

Hivi Zile winger zao zinaweza ku track back ? Pale mchezaji wa mfumo hasa Ni ericksen ,Martinez Ni passer wazuri
 
Mbappe hawez Kuondoka pale, PSG waliikataa €200m akiwa kabakiza miez 6, iwe Sasa akiwa na miaka sijui minne 🤣🤣

Wapo tayari aozee bench Kama alivyowahi fanyiwa rabiot
Mbape mwenye ndie kaanzisha PSG wameenda kinyume na mkataba waliousaini. Hariziki na formation ya kocha yeye anapendelea formation yenye mastriker wawili. Na mamlaka hayo alipewa kwenye mkiataba wa kuinfluence nani asajiliwe, Kocha gani aje, formation ipi itumike na blaa blaa nyingi. Sasa PSG wamekiuka hayo makubaliano
 
🤣🤣Mimi binafsi nadra Sana kutukana , tatizo mashabik hatupend Ukweli hasa ukisemwq na wapinzan,

Mimi nilikuwa nawaponda humu na sikuwaona hata top 6 Kama mngeendelea na tuchel

Ila GP Mimi namkubali kitambo, Kama utagundua Mimi Ni muumini wa mpira mzuri, Sex football, ndio maana sikuwahi kumkubali Unai emery pale arsenal .

Now ndio maana napingana Sana na mashabiki wa man u wanaomuona ten hag bonge la kocha wakati anacheza mpira wa ujanja ujanja
Ndio nini hii Sex football au ulimaanisha Sexy football
Sex football ni matusi pia na umedhihirisha jinsi Arsenal mlivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom