Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hatuna uwezo wa kumfunga Arsenal kwa sasa. Wamekamilika kila idara Halafu morali yao ya kushinda mechi ipo juu.

Kwa upande wetu kuendelea kukosekana kwa Kante & James ni kama tunacheza pungufu + Safu ya Ushambuliaji bado ni butu.

Arsenal sio ile Man u mbovu tuliyodraw nayo.

January tusajili kiungo mkabaji, mchezeshaji na RWB.

Mwisho naitwa Dennis Zakaria nimesajiliwa na Chelsea kuja kula mshahara bure.

Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam

View attachment 2397018
Unamkandia sana aisee, akija kukiwasha atakapopewa nafasi utasemaje?
 
Huyu Bruno Guimaraes ameitransform kiungo ya New Castle, very creative. Amesababisha yale matakataka ya zamani ya New Castle sasa wanacheza kandanda safi

Hii ndio tunasema hata hapa Chelsea, wanaotuchelewesha ni akina Jorgninho, Kova na Cheek. Sio wabunifu kabisa hata kama wakicheza vizuri. Viungo wasioweza kutengeneza nafasi au kuanzisha mashambulizi BURE KABISA

Newcastle vs Spuirs 2-0 - Wamewazidi Conte mens kila kitu
View attachment 2395720
Mtoe hapo Kovacic kwenye hiyo list tafadhari
 
Hatuna uwezo wa kumfunga Arsenal kwa sasa. Wamekamilika kila idara Halafu morali yao ya kushinda mechi ipo juu.

Kwa upande wetu kuendelea kukosekana kwa Kante & James ni kama tunacheza pungufu + Safu ya Ushambuliaji bado ni butu.

Arsenal sio ile Man u mbovu tuliyodraw nayo.

January tusajili kiungo mkabaji, mchezeshaji na RWB.

Mwisho naitwa Dennis Zakaria nimesajiliwa na Chelsea kuja kula mshahara bure.

Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam

View attachment 2397018
Huyu jamaa amekukosea Nini?😂😂😂
 
Tunaitaka round ya 16
20221025_184733.jpg
 
Line up sikuipenda kabisa. Too many out of positions

Pulisic
Sterling

Na Havertz nafasi yake angecheza Mount

Poter anajua kuliko sisi ila naona leo tukibana makende hadi mwisho
 
Leo form ya Salzburg iko chini sana, Chelsea wanashindwa kutumia hii fursa kufunga mabao mengi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom