OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,932
- 25,245
Oyaaa tupieni magoli asee
Soon watatangazwaHivi ina maana bado hatujapata Mkurugenzi wa ufundi?
Aisee Dirisha la usajili January tunaenda kuwaongeza Zakaria wengine.


Halaf kuna mtu hajaona hilo anakwambia tunatabirikaKuna mpira tumeupiga dakika 31 mpk auba anakosa goal , hile flow ya mpira ni noma kuanzia kwa kepa mpk kwa auba![]()
Ukweli tusitarajie makubwa kwa msimu huu Potter ajitahidi tubaki top 4 tuGenerally hakukuwa na mpira mzuri. Hizo incidence chache zisituhadae.
Mkuu kwani kuna mtu msimu huu anategemea makubwa??? Zaidi ya kubaki top 4.Ukweli tusitarajie makubwa kwa msimu huu Potter ajitahidi tubaki top 4 tu
Tumecheza game nzuri leo, first half tulikuwa dominant , kwa jins tulivyocheza ingefaa tuwe mbele kwa goal hata 4, tumecreat chance za kutosha
Kuna chance mbili jins tulivyokuwa tunaflow,zile chance auba moja akapoteza nyingine akachelewa tungefunga zile,lingekuwa bao bora kwa miaka ya hiv karibun hatujawah fanya vitu kama vile jins tunavyomove mpira, wow
Ni mda sana kuonq tukitengeneza nafas huku tukiwa tunaflow
Matatizo ya chelsea yanajulikanaWana chelsea wenzangu tuwe tunajitahidi na kuangalia mechi nyingine ili tujilinganishe na timu zingine. Jana nimeangalia mech ya PSG hizo pasi na assist za visigino aisee! ni hatarii. kwenye pass 100, moja ndio back pass.
Kwa kiungo yetu Jorgihno huko mbele tutatia huruma

Kwani wewe mwezetu ulitarajia zaidi ya hapo?Ukweli tusitarajie makubwa kwa msimu huu Potter ajitahidi tubaki top 4 tu
Ziyech kapotea kabisa, kwa mechi ya jana hadi Pundits wanamshauri ahame aedne ligi ambayo mpira wake utarudi. Chelsea imemkataa mazimaKweli ziyech mbovu yaani Hadi kocha mpya hampi nafasi Zaid ya kucheza Jana dkik za mwisho
Hatujashinda kwa bahati lakini pia Salzburg walikuwa wabovu kweli kweli. Mpira unaochezwa na Chelsea hauko kwenye kiwango cha kutufariji mashabiki. Kwenye top 6 bado Chelsea ina safari ndefu mno. January tusipofanya jambo la maana hasa kwenye kiungo na upande wa James, tutalia maumivu makubwaHapo unaposema tunashinda kwa bahat sikubaliani nawe,
Tumecreat chance za kutosha na sikama ubora wa kipa wa Salzburg we could hav won 4+,
Kuna chance kama 2 tumetengeneza na flow nzuri jins tulivyomove mpira kama si uhodae wa kipa wa salzburg auna angefunga nyingine auba amechelewa unaposema sijui tuko slow sijui game ipi hiyo.
Mechi ya mwisho ataanza kabisa sio subNiliangalia mechi kipindi cha kwanza tuu, kumbe Zakaria hakuingia sub.