Mkuuu bakiza basi hata Maneno usimalize yote maaana utakuja kukumbushwa badae halafu ww ni mtu mzima unatahis aibuAuba, Harvetz, Sterling, Pulisic wanatupotezea muda sana THE BLUES.
PL inapata makocha wazuri. Hii itafanya hii ligi kuendelea kuwa bora zaidi dunianiUnai Emery back to EPL
Tunashinda mkuu.Leo tukishinda tutakuwa tumequalify kwenda round 16.
Mkuu inatosha bhana. Kumbuka sisi ni binadamu tu hakuna anayeomba kupata matatizo kaziniKilaleheri THE BLUES
Ila naitwa Dennis Zakaria nimesajiliwa na Chelsea kuja kula mshahara bure.
Mshahara wa bure ni mtamu nyamnyam View attachment 2397718
Takataka kafunga goli zuri tena linaweza kuwa ndilo goli litakalotupeleka kwenye makundiTakataka Havertz na Jorginho kama kawaida.
Daah unavyosema najarubu kuivutia picha game jinsi ilivyokua. Mimi sijafanikiwa kuionaTumecheza game nzuri leo, first half tulikuwa dominant , kwa jins tulivyocheza ingefaa tuwe mbele kwa goal hata 4, tumecreat chance za kutosha
Kuna chance mbili jins tulivyokuwa tunaflow,zile chance auba moja akapoteza nyingine akachelewa tungefunga zile,lingekuwa bao bora kwa miaka ya hiv karibun hatujawah fanya vitu kama vile jins tunavyomove mpira, wow
Ni mda sana kuonq tukitengeneza nafas huku tukiwa tunaflow
Ila pia tulikuwa wazuri kwa sababu Salzburg walikuwa hovyo leoTumecheza game nzuri leo, first half tulikuwa dominant , kwa jins tulivyocheza ingefaa tuwe mbele kwa goal hata 4, tumecreat chance za kutosha
Kuna chance mbili jins tulivyokuwa tunaflow,zile chance auba moja akapoteza nyingine akachelewa tungefunga zile,lingekuwa bao bora kwa miaka ya hiv karibun hatujawah fanya vitu kama vile jins tunavyomove mpira, wow
Ni mda sana kuonq tukitengeneza nafas huku tukiwa tunaflow



Sijaiona hiyo game nzuri unayosema tupo very slow kufanya maamuzi movement zetu tukiwa na mpira zinatabirika mnoTumecheza game nzuri leo, first half tulikuwa dominant , kwa jins tulivyocheza ingefaa tuwe mbele kwa goal hata 4, tumecreat chance za kutosha
Kuna chance mbili jins tulivyokuwa tunaflow,zile chance auba moja akapoteza nyingine akachelewa tungefunga zile,lingekuwa bao bora kwa miaka ya hiv karibun hatujawah fanya vitu kama vile jins tunavyomove mpira, wow
Ni mda sana kuonq tukitengeneza nafas huku tukiwa tunaflow








Hapo unaposema tunashinda kwa bahat sikubaliani nawe,Sijaiona hiyo game nzuri unayosema tupo very slow kufanya maamuzi movement zetu tukiwa na mpira zinatabirika mno
Tunashinda kwa bahati zaidi kuliko uwezo wetu tukija kucheza big mechi tutapata aibu
Unapopata chance kama zile na unashindwa kuscore unategemea nn kama sio kuwa butu kwa forward zetuHapo unaposema tunashinda kwa bahat sikubaliani nawe,
Tumecreat chance za kutosha na sikama ubora wa kipa wa Salzburg we could hav won 4+,
Kuna chance kama 2 tumetengeneza na flow nzuri jins tulivyomove mpira kama si uhodae wa kipa wa salzburg auna angefunga nyingine auba amechelewa unaposema sijui tuko slow sijui game ipi hiyo.