Ili inabidi mashabiki wenzangu mlielewe Lamine Camara alikuwa anakuja kama mchezaji anaenda kuongeza upana wa kikosi sio replacement ya Enzo kwa mujibu wa Alonso na management nzima ya Chelsea.Wachezaji walikuwa wanawata kama replacement ya Enzo ni Alex Scott, Wharton na Gibbs White ila Sasa vilabu vyao vimekataa kuuza ndio maana option ikaja kwa Manu kone naye Roma wakakataa kumuuza ndio ikabidi wamgeukie Camara ambaye profile yake ni tofauti na Enzo kwahiyo kusisita kwao kutopenda na muda ni kwasababu target zao kuu kukosa kwenye hili siwalaumu sana kwasababu wameshafanya kazi kubwa msimu huu.
NB: Mpaka Sasa tuna viungo Reece James, Lavia, Barco na Henderson na kiukweli Lavia na Reece sio wakuwatumainia ni injury prone so nachokiona ni wakati Sasa Alonso kumuamini Barco inawezekana kumkosa Camara dakika za mwisho ndio kutakuwa ni ufunguo wa Alonso kumuamini Barco na jambo zuri ni kwamba tunacheza mechi moja kwa wiki moja kwahiyo tuna muda inaweza hili kutusaidia